Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

makubaliano ya nyuklia

  • Iran yakosoa matamshi ya Rais wa Ufaransa alipokutana na Trump

    Iran yakosoa matamshi ya Rais wa Ufaransa alipokutana na Trump

    Jun 07, 2019 07:28

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amejibu matamshi ya Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa alipokutana na mwenzake wa Marekani mjini Paris na kusema matamshi ya Macron hayasaidii katika kulindwa mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Balozi wa Iran UN: Donald Trump si mtu wa kuaminika

    Balozi wa Iran UN: Donald Trump si mtu wa kuaminika

    May 10, 2019 07:47

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amejibu madai ya rais wa Marekani kuhusu mazungumzo na Iran na kusema: "Donald Trump si mtu wa kuaminika".

  • Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia Iran

    Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia Iran

    Apr 09, 2019 12:13

    Tarehe 20 Farvardin Inasadifiana na "Siku ya Kitaifa ya Teknolojia ya Nyuklia" nchini Iran. Katika siku kama hii mwaka 1385 Hijria Shamsia sawa na Aprili 9 2006, wanasayansi na wasomi Wairani walifanikiwa kukamilisha mzunguko wa utegenezaji fueli ya nyuklia katika maabara.

  • IAEA yasisitiza tena kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    IAEA yasisitiza tena kuwa Iran imefungamana na JCPOA

    Apr 03, 2019 14:50

    Kwa mara nyingine tena Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) amethibitisha kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefungamana na kutekeleza majukumu yake kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • IAEA yathibitisha kwa mara ya 15 kwamba Iran imefungamana na makubaliano ya JCPOA

    IAEA yathibitisha kwa mara ya 15 kwamba Iran imefungamana na makubaliano ya JCPOA

    Mar 04, 2019 14:23

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki (IAEA) kwa mara nyingine amethibitisha kwamba Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imefungamana na kutekeleza majukumu yake kuhusiana na makubaliano ya nyuklia ya JCPOA.

  • EU: Makubaliano ya nyuklia ya Iran hayana chaguo jengine mbadala

    EU: Makubaliano ya nyuklia ya Iran hayana chaguo jengine mbadala

    Nov 15, 2018 08:04

    Kamishna wa Umoja wa Ulaya wa Uadilifu, amesema hakuna chaguo jengine lolote mbadala na lenye itibari kwa ajili ya makubaliano ya nyuklia ya Iran, JCPOA.

  • Salehi katika kikao cha IAEA mjini Vienna;  sisitizo la majukumu na matarajio ya Iran kutoka kwa wakala huo

    Salehi katika kikao cha IAEA mjini Vienna; sisitizo la majukumu na matarajio ya Iran kutoka kwa wakala huo

    Sep 17, 2018 10:23

    Kikao cha 62 cha kila mwaka cha Wakala wa Kimataifa ya Nishati ya Atomiki IAEA kimeanza leo huko Vienna Austria.

  • Iran yajenga kiwanda kipya cha rafadha za mashinepewa

    Iran yajenga kiwanda kipya cha rafadha za mashinepewa

    Jul 19, 2018 03:06

    Iran imekamilisha ujenzi wa kiwanda kipya cha kisasa cha kuunda rafadha za mashinepewa ili kuimarisha urutubishaji madini ya urani pasina kukiuka mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

  • Larijani: Iran iliingia katika mazungumzo ya nyuklia kulingana na misingi yake

    Larijani: Iran iliingia katika mazungumzo ya nyuklia kulingana na misingi yake

    Jun 28, 2018 08:02

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran iliingia kwenye mazungumzo na kundi la 5+1 kulingana na misingi na mbinu zinazofahamika; ambazo matokeo yake ilikuwa ni kufikiwa makubaliano ya nyuklia yaliyoidhinishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa.

  • Amano asisitiza tena kuwa Iran imeshikamana kikamilifu na mapatano ya JCPOA

    Amano asisitiza tena kuwa Iran imeshikamana kikamilifu na mapatano ya JCPOA

    Jun 05, 2018 03:07

    Mkurugenzi Mkuu wa Wakala wa Kimataifa wa Nishati ya Atomiki IAEA kwa mara nyingine tena amesisitiza kuwa, kwa mujibu wa ripoti ya karibuni kabisa ya wakala huo, Iran imeshikamana kikamilifu na mapatano ya nyuklia ya JCPOA.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS