Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Malawi

  • Umoja wa Afrika wampongeza Mutharika kwa kuibuka mshindi katika uchaguzi wa urais

    Umoja wa Afrika wampongeza Mutharika kwa kuibuka mshindi katika uchaguzi wa urais

    Sep 26, 2025 02:31

    Umoja wa Afrika umempongeza Peter Mutharika kwa kushinda uchaguzi wa urais wa Malawi na kuwasifu wananchi wa Malawi kwa kuendesha kampeni za uchaguzi kwa amani na utulivu.

  • Tume ya uchaguzi Malawi yamtangaza Mutharika mshindi rasmi wa uchaguzi wa urais

    Tume ya uchaguzi Malawi yamtangaza Mutharika mshindi rasmi wa uchaguzi wa urais

    Sep 25, 2025 06:41

    Tume ya Uchaguzi ya Malawi imemtangaza aliyekuwa rais wa nchi hiyo Peter Mutharika wa chama cha Democratic Progressive Party (DPP) mshindi wa uchaguzi wa urais uliofanyika Septemba 16.

  • Rais wa Malawi akubali kushindwa uchaguzi wa rais hata kabla ya matokeo rasmi kutangazwa

    Rais wa Malawi akubali kushindwa uchaguzi wa rais hata kabla ya matokeo rasmi kutangazwa

    Sep 24, 2025 14:08

    Rais wa Malawi, Lazarus Chakwera amekubali kushindwa katika uchaguzi wa rais wa nchi hiyo, akimtaja rais wa zamani Peter Mutharika kuwa "mshindi mtarajiwa".

  • Polisi Malawi yawatia mbaroni maafisa wa uchaguzi kwa madai ya udukuzi wa data

    Polisi Malawi yawatia mbaroni maafisa wa uchaguzi kwa madai ya udukuzi wa data

    Sep 21, 2025 06:50

    Polisi nchini Malawi imewatia mbaroni maafisa wanane wa uchaguzi wanaotuhumiwa kujaribu kudukua matokeo ya uchaguzi wakati zoezi la kuhesabu kura likiendelea kufuatia ucaguzi mkuu wa Jumanne iliyopita nchini humo.

  • Jumapili, 6 Julai, 2025

    Jumapili, 6 Julai, 2025

    Jul 06, 2025 02:24

    Leo ni Jumapili 10 Mfunguo Nne Muharram 1447 Hijria mwafaka na 6 Julai 2025 Miladia.

  • Wananchi wa Malawi waandamana kulalamikia uhaba mkubwa wa petroli na dizeli

    Wananchi wa Malawi waandamana kulalamikia uhaba mkubwa wa petroli na dizeli

    Nov 25, 2024 13:31

    Polisi katika mji wa Lilongwe nchini Malawi leo Jumatatu wametumia gesi ya kutoa machozi kutawanya umati wa waandamanaji waliotaka kujiuzulu Waziri wa Nishati na Madini wa nchi hiyo kutokana na uhaba mkubwa wa mafuta ya petroli na dizeli katika miji mbalimbali ya nchi hiyo unaoendelea kwa muda wa mwezi mmoja sasa.

  • Wanaharakati Malawi waitaka serikali isiunge mkono jinai za Israel Gaza

    Wanaharakati Malawi waitaka serikali isiunge mkono jinai za Israel Gaza

    Oct 08, 2024 11:46

    Mashirika ya kiraia nchini Malawi yameiomba serikali ya Lilongwe kutazama upya msimamo wake kuhusu vita vya Israel huko Gaza "kwa sababu mtazamo na msimamo wake wa sasa ni kinyume na maadili yake ya amani na heshima kwa ubinadamu."

  • Maelfu ya wakimbizi wa Kiafrika warejea makwao baada ya kuishi Malawi kwa miongo kadhaa

    Maelfu ya wakimbizi wa Kiafrika warejea makwao baada ya kuishi Malawi kwa miongo kadhaa

    Sep 23, 2024 11:43

    Makumi ya wakimbizi na watafuta hifadhi kutoka nchi za Kiafrika zilizoathiriwa na vita ambao walikuwa wakiishi Malawi kwa miongo kadhaa sasa wanarejea katika nchi zao kutokana na mpango wa hiari wa serikali unaotekelezwa na serikali ya Malawi pamoja na Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR ili kuwarejesha makwao wakimbizi.

  • Jumamosi, 6 Julai, 2024

    Jumamosi, 6 Julai, 2024

    Jul 06, 2024 02:35

    Leo ni Jumamosi 29 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1445 Hijria mwafaka na 6 Julai 2024.

  • Rais wa Malawi aitangaza Jumatatu kuwa siku ya mapumziko kwa ajili ya maziko ya Makamu wa Rais

    Rais wa Malawi aitangaza Jumatatu kuwa siku ya mapumziko kwa ajili ya maziko ya Makamu wa Rais

    Jun 16, 2024 06:08

    Rais Lazarus Chakwera wa Malawi ameitangaza Jumatatu ya kesho ya Juni 17 kuwa siku ya mapumziko ya kitaifa ili kuruhusu raia wa Malawi kuhudhuria au kufuatilia, maziko ya Makamu wa Rais wa nchi hiyo Saulos Chilima aliyefariki dunia katika ajali ya ndege siku ya Jumatatu iliyopita ya Juni 10.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS