-
Wananchi wa Malawi waandamana kulalamikia uhaba mkubwa wa petroli na dizeli
Nov 25, 2024 13:31Polisi katika mji wa Lilongwe nchini Malawi leo Jumatatu wametumia gesi ya kutoa machozi kutawanya umati wa waandamanaji waliotaka kujiuzulu Waziri wa Nishati na Madini wa nchi hiyo kutokana na uhaba mkubwa wa mafuta ya petroli na dizeli katika miji mbalimbali ya nchi hiyo unaoendelea kwa muda wa mwezi mmoja sasa.
-
Wanaharakati Malawi waitaka serikali isiunge mkono jinai za Israel Gaza
Oct 08, 2024 11:46Mashirika ya kiraia nchini Malawi yameiomba serikali ya Lilongwe kutazama upya msimamo wake kuhusu vita vya Israel huko Gaza "kwa sababu mtazamo na msimamo wake wa sasa ni kinyume na maadili yake ya amani na heshima kwa ubinadamu."
-
Maelfu ya wakimbizi wa Kiafrika warejea makwao baada ya kuishi Malawi kwa miongo kadhaa
Sep 23, 2024 11:43Makumi ya wakimbizi na watafuta hifadhi kutoka nchi za Kiafrika zilizoathiriwa na vita ambao walikuwa wakiishi Malawi kwa miongo kadhaa sasa wanarejea katika nchi zao kutokana na mpango wa hiari wa serikali unaotekelezwa na serikali ya Malawi pamoja na Shirika la Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR ili kuwarejesha makwao wakimbizi.
-
Jumamosi, 6 Julai, 2024
Jul 06, 2024 02:35Leo ni Jumamosi 29 Mfunguo Tatu Dhul-Hija 1445 Hijria mwafaka na 6 Julai 2024.
-
Rais wa Malawi aitangaza Jumatatu kuwa siku ya mapumziko kwa ajili ya maziko ya Makamu wa Rais
Jun 16, 2024 06:08Rais Lazarus Chakwera wa Malawi ameitangaza Jumatatu ya kesho ya Juni 17 kuwa siku ya mapumziko ya kitaifa ili kuruhusu raia wa Malawi kuhudhuria au kufuatilia, maziko ya Makamu wa Rais wa nchi hiyo Saulos Chilima aliyefariki dunia katika ajali ya ndege siku ya Jumatatu iliyopita ya Juni 10.
-
Malawi yawataka wakulima kustafidi na soko la China ili kukuza uchumi
Apr 21, 2024 07:48Mamlaka husika nchini Malawi zinawataka wakulima wa ndani kuingia katika soko la tumbaku na soya nchini China ili kukuza akiba ya fedha za kigeni nchini humo na kuimarisha uchumi.
-
Alkhamisi, tarehe 6 Julai, 2022
Jul 06, 2023 02:17Leo ni Alkhamisi tarehe 17 Dhulhija 1444 Hijria sawa na Julai 6 mwaka 2023.
-
Waliofariki dunia kwa Kimbunga Freddy Malawi wakaribia 700
Mar 30, 2023 02:29Idadi ya watu walioaga dunia kutokana na Kimbunga Freddy nchini Malawi, ambacho kinatajwa kuwa kimbunga kilichodumu kwa muda mrefu zaidi, imeonezeka na kufikia watu 676.
-
UNICEF: Mlipuko wa kipindupindu unatishia maisha ya watoto nchini Malawi
Mar 08, 2023 03:01Ripoti iliyotolewa na Shirika la Watoto la Umoja wa Mataifa (UNICEF) imesema kufikia tarehe 26 Februari mwaka huu, kesi 48,815 za kipindupindu na vifo 1,5471 vimesajiliwa nchini Malawi. Ripoti hiyo imesema kesi 12,293 na vifo 203 kati ya watoto ziliripotiwa kwa jumla nchini Malawi kufikia Februari 19, 2023.
-
Mahakama Kuu ya Malawi yamrejesha kazini mkuu wa kupambana na rushwa
Feb 07, 2023 11:48Mahakama Kuu ya Malawi imeondoa zuio la serikali alilokuwa amewekewa Bi Martha Chizuma, Mkuu wa Taasisi ya Kupambana na Rushwa ya nchi hiyo na hivyo kutoa mwanya wa kurejea kazini.