Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Malawi

  • Mripuko wa kipindupindu waua mamia ya watu nchini Malawi

    Mripuko wa kipindupindu waua mamia ya watu nchini Malawi

    Nov 10, 2022 10:59

    Wizara ya Afya ya Malawi imetangaza habari ya kuaga dunia mamia ya watu kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini humo.

  • Malawi yaripoti mripuko wa polio, kesi ya kwanza Afrika baada ya miaka 5

    Malawi yaripoti mripuko wa polio, kesi ya kwanza Afrika baada ya miaka 5

    Feb 19, 2022 02:55

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza habari ya kuibuka mripuko wa ugonjwa wa kupooza (polio) nchini Malawi, hii ikiwa ni kesi ya kwanza ya virusi vya polio ya msitu kuripotiwa barani Afrika baada ya kupita zaidi ya miaka mitano.

  • Malawi kutokuwa na umeme kwa muda wa miezi sita kufuatia kimbunga kikali

    Malawi kutokuwa na umeme kwa muda wa miezi sita kufuatia kimbunga kikali

    Feb 08, 2022 12:03

    Kituo kikuu cha kusambaza nishati ya umeme nchini Malawi hakifanyi kazi baada ya bwawa la Chikwawa kuathiriwa pakubwa na mvua nkali zilizosababishwa na kimbunga kikubwa cha kitropiki cha Ana tarehe 24 mwezi Januari mwaka huu.

  • Watu 19 waaga dunia kutokana na athari za kimbunga 'Ana' Malawi

    Watu 19 waaga dunia kutokana na athari za kimbunga 'Ana' Malawi

    Jan 27, 2022 07:49

    Idara ya Kitaifa ya Kupambana na Majanga ya Malawi imesema watu 19 wamefariki dunia kutokana na kimbunga kikali cha kitropiki kilichopewa jina la Ana katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.

  • Marais wa Malawi na Mauritania wamtumia Raeisi salamu za pongezi

    Marais wa Malawi na Mauritania wamtumia Raeisi salamu za pongezi

    Jul 01, 2021 03:26

    Marais wa nchi za Afrika za Malawi na Mauritania wamemtumia ujumbe Rais mteule wa Iran, Hujjatul Islam Walmuslimin Ebrahim Raeisi wakimpongeza kwa kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Rwanda na Malawi zafunga shule tena baada ya maambukizo ya corona kuongezeka

    Rwanda na Malawi zafunga shule tena baada ya maambukizo ya corona kuongezeka

    Jan 18, 2021 11:52

    Serikali za Rwanda na Malawi kuanzia leo Jumatatu zimefunga shule zikiwemo za chekechea kutokana na ongezeko la kesi za maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 katika nchi hizo.

  • Malawi kuwa nchi ya kwanza ya Afrika kufungua ubalozi Quds inayokaliwa kwa mabavu

    Malawi kuwa nchi ya kwanza ya Afrika kufungua ubalozi Quds inayokaliwa kwa mabavu

    Nov 05, 2020 03:57

    Malawi inatazamiwa kuwa nchi ya kwanza ya Afrika kufuata mkumbo wa Marekani wa kufungua ubalozi katika mji mtukufu wa Quds huko Palestina unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.

  • Kiongozi wa upinzani Malawi aapishwa kuwa rais baada ya kushinda uchaguzi wa marudio

    Kiongozi wa upinzani Malawi aapishwa kuwa rais baada ya kushinda uchaguzi wa marudio

    Jun 28, 2020 16:06

    Kiongozi wa upinzani nchini Malawi Lazarus Chakwera leo ameapishwa kuwa rais mpya wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, baada ya kushinda uchaguzi uliokuwa na ushindani mkali, ambao uliitishwa tena baada ya matokeo ya uchaguzi wa awali kubatilishwa.

  • Kinara wa upinzani nchini Malawi ashinda uchaguzi wa rais, chama tawala chalia rafu

    Kinara wa upinzani nchini Malawi ashinda uchaguzi wa rais, chama tawala chalia rafu

    Jun 28, 2020 03:35

    Kinara wa chama cha upinzani cha Malawi Congress Party (MCP), Lazarus Chakwera ameshinda uchaguzi wa urais wa marudio uliofanyika Jumanne iliyopita, kwa kupata asilimia 58.57 ya kura.

  • Mgombea wa upinzani aongoza katika matokeo ya muda ya uchaguzi wa urais Malawi

    Mgombea wa upinzani aongoza katika matokeo ya muda ya uchaguzi wa urais Malawi

    Jun 25, 2020 07:43

    Vyombo vya habari vya Malawi vimetangaza kuwa, kinara wa chama cha upinzani cha Malawi Congress Party (MCP), Lazarus Chakwera yupo kifua mbele katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne iliyopita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS