-
Mripuko wa kipindupindu waua mamia ya watu nchini Malawi
Nov 10, 2022 10:59Wizara ya Afya ya Malawi imetangaza habari ya kuaga dunia mamia ya watu kutokana na mripuko wa ugonjwa wa kipindupindu nchini humo.
-
Malawi yaripoti mripuko wa polio, kesi ya kwanza Afrika baada ya miaka 5
Feb 19, 2022 02:55Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza habari ya kuibuka mripuko wa ugonjwa wa kupooza (polio) nchini Malawi, hii ikiwa ni kesi ya kwanza ya virusi vya polio ya msitu kuripotiwa barani Afrika baada ya kupita zaidi ya miaka mitano.
-
Malawi kutokuwa na umeme kwa muda wa miezi sita kufuatia kimbunga kikali
Feb 08, 2022 12:03Kituo kikuu cha kusambaza nishati ya umeme nchini Malawi hakifanyi kazi baada ya bwawa la Chikwawa kuathiriwa pakubwa na mvua nkali zilizosababishwa na kimbunga kikubwa cha kitropiki cha Ana tarehe 24 mwezi Januari mwaka huu.
-
Watu 19 waaga dunia kutokana na athari za kimbunga 'Ana' Malawi
Jan 27, 2022 07:49Idara ya Kitaifa ya Kupambana na Majanga ya Malawi imesema watu 19 wamefariki dunia kutokana na kimbunga kikali cha kitropiki kilichopewa jina la Ana katika maeneo ya kusini mwa nchi hiyo.
-
Marais wa Malawi na Mauritania wamtumia Raeisi salamu za pongezi
Jul 01, 2021 03:26Marais wa nchi za Afrika za Malawi na Mauritania wamemtumia ujumbe Rais mteule wa Iran, Hujjatul Islam Walmuslimin Ebrahim Raeisi wakimpongeza kwa kuchaguliwa kuwa Rais mpya wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Rwanda na Malawi zafunga shule tena baada ya maambukizo ya corona kuongezeka
Jan 18, 2021 11:52Serikali za Rwanda na Malawi kuanzia leo Jumatatu zimefunga shule zikiwemo za chekechea kutokana na ongezeko la kesi za maambukizi ya ugonjwa wa Covid-19 katika nchi hizo.
-
Malawi kuwa nchi ya kwanza ya Afrika kufungua ubalozi Quds inayokaliwa kwa mabavu
Nov 05, 2020 03:57Malawi inatazamiwa kuwa nchi ya kwanza ya Afrika kufuata mkumbo wa Marekani wa kufungua ubalozi katika mji mtukufu wa Quds huko Palestina unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Kiongozi wa upinzani Malawi aapishwa kuwa rais baada ya kushinda uchaguzi wa marudio
Jun 28, 2020 16:06Kiongozi wa upinzani nchini Malawi Lazarus Chakwera leo ameapishwa kuwa rais mpya wa nchi hiyo ya kusini mwa Afrika, baada ya kushinda uchaguzi uliokuwa na ushindani mkali, ambao uliitishwa tena baada ya matokeo ya uchaguzi wa awali kubatilishwa.
-
Kinara wa upinzani nchini Malawi ashinda uchaguzi wa rais, chama tawala chalia rafu
Jun 28, 2020 03:35Kinara wa chama cha upinzani cha Malawi Congress Party (MCP), Lazarus Chakwera ameshinda uchaguzi wa urais wa marudio uliofanyika Jumanne iliyopita, kwa kupata asilimia 58.57 ya kura.
-
Mgombea wa upinzani aongoza katika matokeo ya muda ya uchaguzi wa urais Malawi
Jun 25, 2020 07:43Vyombo vya habari vya Malawi vimetangaza kuwa, kinara wa chama cha upinzani cha Malawi Congress Party (MCP), Lazarus Chakwera yupo kifua mbele katika matokeo ya awali ya uchaguzi wa urais uliofanyika Jumanne iliyopita.