-
Jumamosi, 31 Agosti, 2024
Aug 31, 2024 04:10Leo ni Jumamosi 26 Mfunguo Tano Safar 1446 Hijria mwafaka na 31 Agosti 2024.
-
Jumatatu, 10 Juni, 2024
Jun 10, 2024 03:25Leo ni Jumatatu tarehe 3 Mfunguo Tatu Dhul-Hijja 1445 Hijria sawa na tarehe 10 Juni 2024 Miladia.
-
Amir-Abdollahian: Iran haitoruhusu Israel kuhatarisha usalama wa ukanda huu
Apr 16, 2024 10:49Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaamini kwamba usalama na utulivu wa nchi za eneo hili zima ni muhimu sana kwake, bali ni sawa kabisa na usalama wake yenyewe na haitoruhusu utawala wa Kizayuni kuhatarisha usalama wa eneo hili kwa chokochoko zake.
-
Malaysia: Tunaunga mkono kwa dhati Muqawama wa Palestina dhidi ya uvamizi wa Israel
Mar 13, 2024 02:47Waziri Mkuu wa Malaysia amesema anaunga mkono kwa dhati Muqawama wa makundi ya Wapalestina dhidi ya mashambulizi ya kinyama ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Malaysia: Magharibi ni mshirika wa jinai za Israel kwa kimya chake
Jan 17, 2024 07:42Waziri Mkuu wa Malaysia amezikosoa vikali nchi za Magharibi kwa kuendelea kufumbia macho matukio ya Gaza na kusisitiza kuwa, Wamagharibi ni washirika wa jinai za utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina kwa kimya chao hicho.
-
Kulaaniwa kimataifa veto ya Marekani dhidi ya azimio la Baraza la Usalama la kusitisha vita vya Gaza
Dec 11, 2023 02:48Kitendo cha kinyama na cha kijinai cha Marekani cha kulipigia kura ya veto azimio la kusitisha vita Gaza katika Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kimeendelea kulaaniwa kimataifa.
-
Kuendelea uungaji mkono wa jamii ya kimataifa hususan nchi za Kiislamu kwa wananchi wa Gaza
Oct 18, 2023 02:28Sambamba na kupita zaidi ya siku kumi tangu utawala wa Kizayuni wa Israel uanze kufanya jinai dhidi ya wananchi wa Gaza, himaya na uungaji mkono wa kimataifa kwa watu wa Gaza na wanamapambano wa Palestina nao unaendelea.
-
Erdogan na Anwar Ibrahim walaani kuvunjiwa heshima Qur'ani katika nchi za Ulaya
Sep 21, 2023 03:49Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, na Waziri Mkuu wa Malaysia, Anwar Ibrahim, wamelaani vikali vitendo vya kuchomwa moto nakala za Qur'ani Tukufu katika nchi za Ulaya, na hotuba zinazochochea ouvu, chuki na mashambulizi dhidi ya Uislamu na Waislamu.
-
Kujiunga Jumuiya ya ASEAN na juhudi za kutumia sarafu za kieneo badala ya dola
Sep 02, 2023 02:43Kufuatia kutiwa saini makubaliano ya kifedha kati ya Indonesia, Malaysia na Thailand, sarafu za ndani za nchi hizo sasa zitaanza kutumika katika masoko ya biashara ya Jumuiya ya Kusini Mashariki mwa Asia (ASEAN).
-
Alkhamisi, Agosti 31, 2023
Aug 31, 2023 02:27Leo ni Alkhamisi Mwezi 14 Mfunguo Tano Safar, 1445 Hijria, sawa na tarehe 31 Agosti, 2023 Milaadia.