Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Pezeshkian: Dola bilioni 6 za Iran zinazozuiwa Qatar kuachiliwa

    Pezeshkian: Dola bilioni 6 za Iran zinazozuiwa Qatar kuachiliwa

    Jun 30, 2026 03:51

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, ametangaza kuwa kiasi cha dola bilioni 6 mali ya nchi hii zinazozuiliwa Qatar kufuatia mashinikizo ya Marekani, zitaachiliwa.

  • Wasomi wanawake wa Iran wataka Marekani na Israel ziwajibishwe kwa jinai zao

    Wasomi wanawake wa Iran wataka Marekani na Israel ziwajibishwe kwa jinai zao

    Jun 30, 2026 03:27

    Kundi la wanazuoni wanawake wa Iran, wasomi wa taaluma mbalimbali na wataalamu wa masuala ya utamaduni, limesambaza barua ya wazi likirekodi ukiukaji wa kimfumo uliofanywa na Marekani na Israel wakati wa vita vya hivi karibuni dhidi ya Iran, na limetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura za uwajibikaji.

  • IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

    IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran

    Jun 27, 2026 03:24

    Kikosi cha Wanamaji la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimeshambulia ngome za kijeshi za Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia kulipiza kisasi uchokozi wa awali dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran.

  • Mamilioni ya Wairani washiriki maombolezo kuelekea siku ya Ashura

    Mamilioni ya Wairani washiriki maombolezo kuelekea siku ya Ashura

    Jun 24, 2026 11:04

    Mamilioni ya Waislamu katika Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na maeneo mengine ya dunia leo mchana wameshiriki katika maombolezo ya kumbukumbu ya Ta'asua na jioni hii wanashiriki katika hafla za mkesha wa Ashura ambayo ni kukumbuka siku ya kuuliwa shahidi mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW), Imam Hussein bin Ali bin Abi Twalib (AS).

  • Seneti yapitisha azimio la kuondoa wanajeshi wa Marekani kwenye vitani na Iran

    Seneti yapitisha azimio la kuondoa wanajeshi wa Marekani kwenye vitani na Iran

    Jun 24, 2026 03:55

    Seneti ya Marekani imepiga kura ya kuidhinisha azimio la kuwaondoa wanajeshi wa Marekani kwenye vita na Iran, katika hatua ambayo imetajwa na wachambuzi wa mambo kuwa ni kielelezo cha pigo la kisiasa kwa Rais Donald Trump.

  • Kamanda: Jeshi la Iran bado halijaonesha uwezo wake kamili

    Kamanda: Jeshi la Iran bado halijaonesha uwezo wake kamili

    Jun 24, 2026 03:45

    Majeshi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran yamebadili mwelekeo wa kimkakati kutoka kwenye ulinzi pekee na kuelekea kwenye mafundisho ya kijeshi ya mashambulizi (offensive military doctrine), huku operesheni za kutangulia kumzuia adui (preemptive operations) zikiwa sasa mezani.

  • Pezeshkian: Kuwajibika kwa Marekani ndio sharti la kuendelea mazungumzo

    Pezeshkian: Kuwajibika kwa Marekani ndio sharti la kuendelea mazungumzo

    Jun 23, 2026 10:33

    Rais Masoud Pezeshkian wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametilia mkazo umuhimu wa kutekelezwa makubaliano yaliyofikwa baina ya Iran na Marekani kwa ajili ya kuendelezwa mazungumzo kati ya pande hizo kuhusu utekelezaji wa mkataba wa maelewano uliosainiwa hivi karibuni.

  • Waziri Mkuu wa Italia amwambia Trump: Pilipili usioila inakuwashia nini?

    Waziri Mkuu wa Italia amwambia Trump: Pilipili usioila inakuwashia nini?

    Jun 22, 2026 14:09

    Waziri Mkuu wa Italia, Giorgia Meloni amemshauri Rais wa Marekani, Donald Trump kujalia ya kwake mwenyewe badala na kufuatilia ya wengine baada ya kudai kwamba kiongozi huyo wa Italia anajaribu kuongeza umaarufu na viwango vyake vya kukubalika ndani ya nchi kwa kurekebisha uhusiano na Washington.

  • Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US

    Spika wa Bunge la Iran aapa kuwa mwaminifu kwa mashahidi baada ya kuwasili Uswisi kwa mazungumzo na US

    Jun 21, 2026 04:41

    Spika wa Bunge la Iran amesisitiza tena kwamba atatetea haki za Wairani waliouawa shahidi wakati wa mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu baada ya kuwasili Uswisi kufuatilia mkataba wa Hati ya Maelewano uliosainiwa na viongozi wa nchi mbili kwa lengo la kukomesha vita.

  • Picha ya mazishi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Minab yashinda tuzo ya picha bora zaidi ya mwaka

    Picha ya mazishi ya wanafunzi wa Shule ya Msingi ya Minab yashinda tuzo ya picha bora zaidi ya mwaka

    Jun 21, 2026 02:58

    Picha iliyochukuliwa kutokea angani inayoonyesha mazishi ya wanafunzi 168 waliouawa shahidi wakati wa shambulio la makombora ya Marekani dhidi ya Shule ya Msingi ya Shajareh Tayyebeh huko Minab, kusini mwa Iran, imeshinda tuzo ya juu katika Kategoria ya Upigaji Picha za Habari ya tuzo za Golden Shot Photography Awards 2026.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS