Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Wataalamu wa haki wa UN walaani mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran

    Wataalamu wa haki wa UN walaani mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran

    Mar 14, 2026 06:59

    Kundi moja la wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa limelaani vikali mashambulizi na jinai zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Lebanon.

  • Russia: Iran ina haki ya kujitetea mbele ya mashambulizi ya Marekani, Israel

    Russia: Iran ina haki ya kujitetea mbele ya mashambulizi ya Marekani, Israel

    Mar 13, 2026 07:36

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina haki ya kujitetea na kukabiliana na hujuma za Marekani na Israel na ametoa wito wa kusitishwa mashambulizi ya Marekani na Israel na kurejea kwenye meza ya mazungumzo.

  • Nini maana ya Marekani kushindwa kistratejia?

    Nini maana ya Marekani kushindwa kistratejia?

    Mar 09, 2026 12:32

    Kwa nini Marekani inakaribia kushindwa kistratejia? Jibu la swali hili linapatika katika utambulisho wa vita vya sasa vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Araghchi: Trump amekiri kutenda jinai kwa kutishia kuwaua Wairani

    Araghchi: Trump amekiri kutenda jinai kwa kutishia kuwaua Wairani

    Mar 09, 2026 10:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema vitisho vipya vilivyotolewa na Rais Donald Trump vya kuwashambulia na kuwaua wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ni kukiri wazi wazi kwa kiongozi huyo wa Marekani juu ya kufanya jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu.

  • Majasusi wa US: Haiyumkiniki kubadilisha mfumo wa uongozi Iran

    Majasusi wa US: Haiyumkiniki kubadilisha mfumo wa uongozi Iran

    Mar 08, 2026 07:43

    Baraza la Ujasusi la Marekani limesema katika tathmini yake 'ya siri' kwamba, ni muhali kubadilisha mfumo uliokita mizizi wa kisiasa na kiusalama nchini Iran, hata kwa kutumia mashambulizi makali ya kijeshi yanayoendelea ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Araghchi: Marekani itapata majuto makubwa kwa kuizamisha manowari ya Iran ya Dena

    Araghchi: Marekani itapata majuto makubwa kwa kuizamisha manowari ya Iran ya Dena

    Mar 05, 2026 07:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi ametoa mjibizo kwa hatua ya jeshi la kigaidi la Marekani ya kuilenga na kuigharikisha manowari ndogo ya Dena na kusisitiza kwamba, Washington itapata majuto makubwa kwa kuanzisha mwenendo huo.

  • IRGC: Hakuna jinai na mauaji ya kidhulma yanayofanywa na US na wazayuni yatayopita bila ya jibu

    IRGC: Hakuna jinai na mauaji ya kidhulma yanayofanywa na US na wazayuni yatayopita bila ya jibu

    Mar 03, 2026 19:19

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limesisitiza kuwa, wahalifu wa Kimarekani na Kizayuni wajue kwamba hakuna hata moja kati ya jinai na mauaji ya kidhulma wanayofanya yatakayopita bila ya jibu.

  • Nara za “Mauti kwa Marekani” zatanda kwenye anga ya barabara za Rome na Vienna

    Nara za “Mauti kwa Marekani” zatanda kwenye anga ya barabara za Rome na Vienna

    Mar 03, 2026 16:12

    Mamia ya wanachama wa asasi zinazopinga vita, wanaharakati wa haki za binadamu na wapinzani wa uchokozi wa kijeshi wa Marekani na utawala wa kizayuni dhidi ya Iran wameandamana katika mitaa na barabara kuu za miji ya Rome, Italia na Vienna, Austria huku wakipiga nara na kaulimbiu za “Mauti kwa Marekani”.

  • Larijani: Taifa la Iran litawafanya maadui wajutie uchokozi wao

    Larijani: Taifa la Iran litawafanya maadui wajutie uchokozi wao

    Mar 01, 2026 05:50

    Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Taifa la Iran, Ali Larijani amesema taifa hili litazifanya Marekani na Israel kujutia uchokozi wao dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump

    Wimbi jipya la upinzani dhidi ya vita nchini Marekani; dalili ya kudhoofika zaidi Trump

    Feb 28, 2026 05:41

    Kadiri matamshi ya kivita yanavyozidi kutoka kwa Rais wa Marekani, Donald Trump, pamoja na baadhi ya maafisa wa utawala wake, wimbi jipya la upinzani dhidi ya uwezekano wa a vita vya kichochezi vya Marekani dhidi ya Iran limeanza kushika kasi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS