Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Araqchi: Vita vitaisha kwa njia itakayomfanya adui asifikirie tena kutushambulia

    Araqchi: Vita vitaisha kwa njia itakayomfanya adui asifikirie tena kutushambulia

    Mar 17, 2026 10:31

    Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje wa Iran amesema kuwa, Jamhuri ya Kiislamu haijatuma ujumbe wa aina yoyote kwa wavamizi wala haijaomba kusitishwa vita.

  • Iran yawakamata 'mamluki na majasusi' 36 wa Marekani, Israel

    Iran yawakamata 'mamluki na majasusi' 36 wa Marekani, Israel

    Mar 16, 2026 08:48

    Jeshi la Polisi la Iran limefanikiwa kutambua na kuvunja mtandao wa mamluki na majasusi uliokuwa ukiongozwa na mashirika ya kijasusi ya Marekani na utawala haramu wa Israel ndani ya Iran.

  • Jenerali Shekarchi: Tumeharibu kambi zote za US katika eneo, meli ya Abraham Lincoln imetimka

    Jenerali Shekarchi: Tumeharibu kambi zote za US katika eneo, meli ya Abraham Lincoln imetimka

    Mar 15, 2026 08:35

    Msemaji wa Vikosi vya Ulinzi vya Iran, Brigedia Jenerali Abolfazl Shekarchi amesema kambi za kijeshi za Marekani zilizoundwa kwa kutumia rasilimali za Waislamu kwa kisingizio cha kudhamini usalama wa eneo, huku zikifuja mali za mataifa ya Waislamu, zimeharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Spika wa Iran: Kambi za kijeshi za US ni tishio kwa nchi wenyeji wake

    Spika wa Iran: Kambi za kijeshi za US ni tishio kwa nchi wenyeji wake

    Mar 15, 2026 08:34

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) amesema Marekani imeitoa kafara kila nchi kwa maslahi ya utawala wa Kizayuni wa Israel, na kwamba kambi za kijeshi za Marekani katika eneo la Asia Magharibi hazizipi ulinzi nchi wenyeji.

  • Wataalamu wa haki wa UN walaani mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran

    Wataalamu wa haki wa UN walaani mashambulizi ya US, Israel dhidi ya Iran

    Mar 14, 2026 06:59

    Kundi moja la wataalamu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa limelaani vikali mashambulizi na jinai zinazofanywa na Marekani na Israel dhidi ya wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran na Lebanon.

  • Russia: Iran ina haki ya kujitetea mbele ya mashambulizi ya Marekani, Israel

    Russia: Iran ina haki ya kujitetea mbele ya mashambulizi ya Marekani, Israel

    Mar 13, 2026 07:36

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ina haki ya kujitetea na kukabiliana na hujuma za Marekani na Israel na ametoa wito wa kusitishwa mashambulizi ya Marekani na Israel na kurejea kwenye meza ya mazungumzo.

  • Nini maana ya Marekani kushindwa kistratejia?

    Nini maana ya Marekani kushindwa kistratejia?

    Mar 09, 2026 12:32

    Kwa nini Marekani inakaribia kushindwa kistratejia? Jibu la swali hili linapatika katika utambulisho wa vita vya sasa vilivyoanzishwa na Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Araghchi: Trump amekiri kutenda jinai kwa kutishia kuwaua Wairani

    Araghchi: Trump amekiri kutenda jinai kwa kutishia kuwaua Wairani

    Mar 09, 2026 10:34

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema vitisho vipya vilivyotolewa na Rais Donald Trump vya kuwashambulia na kuwaua wananchi wa Jamhuri ya Kiislamu ni kukiri wazi wazi kwa kiongozi huyo wa Marekani juu ya kufanya jinai za kivita na jinai dhidi ya binadamu.

  • Majasusi wa US: Haiyumkiniki kubadilisha mfumo wa uongozi Iran

    Majasusi wa US: Haiyumkiniki kubadilisha mfumo wa uongozi Iran

    Mar 08, 2026 07:43

    Baraza la Ujasusi la Marekani limesema katika tathmini yake 'ya siri' kwamba, ni muhali kubadilisha mfumo uliokita mizizi wa kisiasa na kiusalama nchini Iran, hata kwa kutumia mashambulizi makali ya kijeshi yanayoendelea ya Marekani na Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Araghchi: Marekani itapata majuto makubwa kwa kuizamisha manowari ya Iran ya Dena

    Araghchi: Marekani itapata majuto makubwa kwa kuizamisha manowari ya Iran ya Dena

    Mar 05, 2026 07:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Sayyid Abbas Araghchi ametoa mjibizo kwa hatua ya jeshi la kigaidi la Marekani ya kuilenga na kuigharikisha manowari ndogo ya Dena na kusisitiza kwamba, Washington itapata majuto makubwa kwa kuanzisha mwenendo huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS