Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Rais Pezeshkian: Wairani wameungana kuilinda nchi yao dhidi ya vitisho

    Rais Pezeshkian: Wairani wameungana kuilinda nchi yao dhidi ya vitisho

    Jun 12, 2026 12:44

    Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian, amesema kwamba taifa litalinda uhuru na mamlaka yake ya kitaifa licha ya kuongezeka vitisho na mashinikizo.

  • Handala yadukua mifumo ya maji ya California baada ya Marekani kushambulia maghala ya maji ya Iran

    Handala yadukua mifumo ya maji ya California baada ya Marekani kushambulia maghala ya maji ya Iran

    Jun 12, 2026 11:23

    Kundi la wadukuzi wanaopinga uvamizi wa kivita wa Marekani limetangaza kwamba limedukua vituo vya maji vya California kama kulipiza kisasi cha moja kwa moja kwa shambulio la anga la Marekani lililoharibu maghala ya maji ya kunywa kusini mwa Iran.

  • Marekani yashambulia kigaidi kituo cha maji ya kunywa Hormuzgan, Iran

    Marekani yashambulia kigaidi kituo cha maji ya kunywa Hormuzgan, Iran

    Jun 11, 2026 03:12

    Marekani yashambulia kigaidi kituo cha maji ya kunywa Hormozgan, Iran

  • Sanders: Netanyahu anashirikiana na Kongresi kuficha msaada wa kijeshi kwa Israel katika mikataba ya Pentagon

    Sanders: Netanyahu anashirikiana na Kongresi kuficha msaada wa kijeshi kwa Israel katika mikataba ya Pentagon

    Jun 07, 2026 09:22

    Seneta wa kujitegemea kutoka Vermont, Bernie Sanders, ametangaza kwamba atapinga sheria inayochunguzwa bungeni ambayo itaongeza ushawishi wa Israel katika taasisi za kijeshi na viwanda vya Marekani.

  • Papa Leo XIV : Uvamizi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran 'sio vita vya haki'

    Papa Leo XIV : Uvamizi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran 'sio vita vya haki'

    Jun 07, 2026 03:44

    Kiongozi wa kanisa katoliki Dunia, Papa Leo XIV amesema uchokozi wa kijeshi wa Marekani na Israel dhidi ya Iran haukuwa "vita vya haki", akisisitiza kwamba itikadi hiyo ya karne nyingi haiendani na uhalisia wa vita vya kisasa.

  • IRGC yashambulia kambi za Marekani huko Kuwait, Bahrain baada ya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani katika ardhi ya Iran

    IRGC yashambulia kambi za Marekani huko Kuwait, Bahrain baada ya mashambulizi ya ndege zisizo na rubani katika ardhi ya Iran

    Jun 06, 2026 11:24

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kuwa limeshambulia kambi mbili za anga za Marekani huko Kuwait na vituo vilivyobaki vya Kikosi cha Tano cha Marekani (US Fifth Fleet) huko Bahrain ili kujibu uchokozi wa hivi karibuni wa Marekani.

  • Leon Panetta: Vita dhidi ya Iran imekuwa Vietnam nyingine kwa Trump

    Leon Panetta: Vita dhidi ya Iran imekuwa Vietnam nyingine kwa Trump

    Jun 06, 2026 09:33

    Waziri wa zamani wa Vita wa Marekani ameonya kuwa: Vita dhidi ya Iran vinakuwa sawa na vita Vietnam kwa Rais wa Marekani, Donald Trump.

  • Bunge la Marekani lapitisha hatua ya kupunguza mamlaka ya vita ya Trump dhidi ya Iran

    Bunge la Marekani lapitisha hatua ya kupunguza mamlaka ya vita ya Trump dhidi ya Iran

    Jun 04, 2026 03:32

    Baraza la Wawakilishi la Marekani limeidhinisha azimio linalolenga kupunguza mamlaka ya vita ya Rais Donald Trump kuhusiana na Iran, ikiwa ni ishara ya changamoto kubwa kwa jinsi utawala wa Trump unavyoshughulikia uchokozi wake dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Iran yapinga 'matakwa ya kupita kiasi' katika mazungumzo au kusitisha mapigano

    Iran yapinga 'matakwa ya kupita kiasi' katika mazungumzo au kusitisha mapigano

    Jun 04, 2026 03:08

    Mshauri wa Masuala ya Kijeshi wa Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema kuwa Tehran haitairuhusu Marekani kuwasilisha matakwa ya kupita kiasi, iwe ni katika mazungumzo au wakati wa mchakato wa kusitisha mapigano.

  • Jeshi la Iran lashambulia vituo vya kijeshi vya Marekani baada ya ukiukaji karibu na Mlango wa Hormuz

    Jeshi la Iran lashambulia vituo vya kijeshi vya Marekani baada ya ukiukaji karibu na Mlango wa Hormuz

    Jun 03, 2026 03:01

    Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) limetangaza kwamba vikosi vyake vimetekeleza mashambulizi ya kulipiza kisasi dhidi ya meli ya adui, makao makuu ya Kikosi cha Tano cha Jeshi la Wanamaji la Marekani nchini Bahrain, pamoja na kambi ya jeshi la anga ya Marekani katika eneo hilo, kufuatia vitendo viwili vya uchokozi wa Marekani vilivyolenga mali za Iran.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS