Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Uchunguzi mpya wa CNN: Kambi nyingi za Marekani Asia Magharibi ziliharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran

    Uchunguzi mpya wa CNN: Kambi nyingi za Marekani Asia Magharibi ziliharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran

    May 02, 2026 09:54

    Uchunguzi mpya wa CNN: Kambi nyingi za Marekani Asia Magharibi ziliharibiwa katika mashambulizi ya kulipiza kisasi ya Iran

  • Mbunge wa Kongresi: Ni mwehu anayedai Marekani imeshinda vita dhidi ya Iran

    Mbunge wa Kongresi: Ni mwehu anayedai Marekani imeshinda vita dhidi ya Iran

    May 02, 2026 07:25

    Mwakilishi wa cha cha Democratic wa California katika Kongresi ya Marekani, Sara Jacobs, amemkosoa vikali Waziri wa Vita wa nchi hiyo, Pete Hegseth kwa kutangaza ushindi dhidi ya Iran, akitaja madai hayo kuwa ni udanganyifu.

  • Mipaka yetu ni mirefu kuliko kuta mbili kote Marekani: Spika Qalibaf akejeli mzingiro wa Marekani

    Mipaka yetu ni mirefu kuliko kuta mbili kote Marekani: Spika Qalibaf akejeli mzingiro wa Marekani

    May 02, 2026 07:23

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf amekejeli mzingiro wa jeshi la majini la Marekani dhidi ya Iran, akieleza kuwa mipaka mirefu ya nchi hiyo inabatilisha jaribio lolote la kuizingira Jamhuri ya Kiislamu.

  • IRGC: Manowari za Marekani zitateketea ikiwa Iran itashambuliwa tena

    IRGC: Manowari za Marekani zitateketea ikiwa Iran itashambuliwa tena

    May 01, 2026 08:13

    Kamanda wa Kikosi cha Anga cha Jeshi la Iran la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC), Brigedia Jenerali Seyyed Majid Mousavi, amesema Iran itajibu uchokozi wowote wa adui kwa mashambulizi ya muda mrefu na yenye kuumiza, akibainisha kuwa meli za kivita za Marekani zitapata hatima sawa na vituo vya kijeshi vya Marekani katika eneo la Asia Magharibi.

  • Mkuu wa Jeshi la Wanamaji la Iran: Wamarekani wanaogopa silaha yetu mpya

    Mkuu wa Jeshi la Wanamaji la Iran: Wamarekani wanaogopa silaha yetu mpya

    Apr 30, 2026 10:57

    Kamanda wa Jeshi la Wanamaji la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, amesema kwamba majeshi ya Iran yameufunga Mlango Bahari wa Hormuz kutoka Bahari ya Arabia, akisisitiza kwamba: Adui atakutana na silaha yetu ambayo anaiogopa sana.

  • Mchambuzi wa siasa wa Marekani: Trump ndiye gaidi zaidi duniani

    Mchambuzi wa siasa wa Marekani: Trump ndiye gaidi zaidi duniani

    Apr 30, 2026 10:27

    Mchambuzi wa siasa wa Marekani, Kyle Kolinsky, amesema: Donald Trump, rais wa nchi hii, ndiye gaidi mkubwa zaidi duniani.

  • Qalibaf ajibu madai ya Trump na Waziri wa Fedha wa US

    Qalibaf ajibu madai ya Trump na Waziri wa Fedha wa US

    Apr 30, 2026 10:21

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amejibu madai ya Rais wa Marekani na majigambo ya Waziri wa Fedha wa utawala huo wa kigaidi kupitia ujumbe uliotumwa katika ukurasa wake wa mtandao wa kijamii wa X.

  • Vyombo vya habari vya Kizayuni: Jina la Netanyahu ni

    Vyombo vya habari vya Kizayuni: Jina la Netanyahu ni "Shetani" kwa wengi duniani

    Apr 30, 2026 10:14

    Chombo cha habari cha Kizayuni kimechambua kuporomoka kwa nafasi ya utawala wa Israel duniani na kubadilika fikra za umma kuhusu utawala huo.

  • Iran yaitaka ICRC kufuatilia kisheria ukiukwaji wa haki za binadamu katika vita vya siku 40

    Iran yaitaka ICRC kufuatilia kisheria ukiukwaji wa haki za binadamu katika vita vya siku 40

    Apr 30, 2026 08:12

    Mkuu wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Iran (IRCS), katika kikao na Rais wa Kamati ya Kimataifa ya Msalaba Mwekundu (ICRC), ameitaka taasisi hiyo ya kimataifa kuiunga mkono Jumuiya ya Hilali Nyekundu na wananchi wa Iran katika kufuatilia kisheria ukiukwaji wa haki za kibinadamu uliofanyika katika vita vya siku 40 vya Marekani na Israel dhidi ya nchi hii.

  • Kukiri Washirika wa Marekani Kwamba Nchi Hiyo Imeshindwa Katika Vita Dhidi ya Iran

    Kukiri Washirika wa Marekani Kwamba Nchi Hiyo Imeshindwa Katika Vita Dhidi ya Iran

    Apr 30, 2026 04:31

    Baada ya kupita takribani miezi miwili tangu Marekani na utawala wa kizayuni zilipoanzisha uvamizi wa kijeshi dhidi ya Iran, wakosoaji wa sera za kushupalia vita za Trump katika kila pembe ya dunia wanaendelea kukiri na kutamka kwa uwazi zaidi kwamba Marekani imeshindwa katika vita hivyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS