-
Araghchi: Iran inaingia kwenye mazungumzo 'ikiwa makini'
Feb 06, 2026 06:47Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Sayyid Abbas Araghchi amesema Tehran inaingia katika duru mpya ya mazungmzo ya kidiplomasia na Marekani ikiwa hadhiri, makini kabisa na "kwa macho yaliyo wazi."
-
Lengo jipya la mkakati wa kijeshi wa Marekani barani Afrika
Feb 05, 2026 07:08Kamandi ya Marekani barani Afrika (AFRICOM) imetangaza kupeleka kikosi kidogo cha kijeshi cha Marekani nchini Nigeria na hivyo kwa mara ya kwanza kukiri rasmi kutumwa wanajeshi wa Marekani katika nchi hiyo ya Afrika.
-
Araghchi: Iran, US kufanya mazungumzo ya nyuklia Muscat
Feb 05, 2026 02:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi ametangaza kwamba mazungumzo ya nyuklia kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani yanatazamiwa kufanyika katika mji mkuu wa Oman, Muscat kesho asubuhi.
-
Jalali: Madai ya Trump kwamba anawaunga mkono Wairani hayana msingi
Feb 04, 2026 10:55Balozi wa Iran nchini Russia, Kazem Jalali amepuuzilia mbali matamshi ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani Donald Trump akidai kuwa analiunga mkono na kulisaidia taifa la Iran, akisisitiza kuwa madai hayo hayana msingi wowote.
-
Kwa nini Marekani inafuatilia sera ya "mazungumzo na vitisho kwa wakati mmoja" dhidi ya Iran?
Feb 03, 2026 11:19Utawala wa Rais Donal Trump wa Marekani umekuwa ukifuatiilia sera ya "mazungumzo na vitisho" kwa wakati mmoja dhidi ya Iran.
-
Pompeo aanika nafasi ya US katika ghasia za karibuni nchini Iran
Feb 03, 2026 03:11Mkurugenzi wa zamani wa Shirika la Ujasusi la Marekani CIA, Mike Pompeo, amekiri kwamba, Washington ilikuwa na mchango wa moja kwa moja katika ghasia za hivi karibuni nchini Iran, akisema Marekani "iliwasaidia moja kwa moja" wafanya fujo.
-
Jumatatu, tarehe Pili Februari, 2026
Feb 02, 2026 02:39Leo ni Jumatatu tarehe 13 Sha'ban 1447 Hijria ambayo inasadifiana na tarehe Pili Februari 2026.
-
US yaidhinisha kuiuzia silaha Israel za $ bilioni 6.6 zikiwemo inazotumia kuulia Wapalestina
Feb 01, 2026 02:27Serikali ya Marekani imeidhinisha mauzo ya silaha zenye thamani ya dola bilioni 6.67 kwa utawala wa kizayuni wa Israel wakati huu ambapo kuna usitishaji mapigano unaolegalega katika vita vya mauaji ya kimbari vilivyoanzishwa na utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.
-
Kucheza na moto kwa Trump kunaweza kusababisha mzozo kamili kanda ya Asia Magharibi
Jan 30, 2026 12:00Iran imetangaza kwamba kauli za "kuchochea vita" za Donald Trump zinazidisha mvutano wa kikanda.
-
'Hakuna vita vya masaa 2', yasema Iran ikiapa kutoa jibu la haraka kwa uchokozi wa US au Israel
Jan 30, 2026 07:47Jeshi la Iran limetoa onyo kali kwamba kitendo chochote kipya cha uchokozi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu kitakabiliwa na jibu kali na la haraka, likisisitiza kwamba uzoefu na tajiriba ya vita vya Juni vimebadilisha kimsingi muelekeo wa kijeshi wa Iran na kanuni zake za makabiliano.