Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Rais Pezeshkian: Iran haitaingia katika mazungumzo chini ya mashinikizo, vitisho na mzingiro

    Rais Pezeshkian: Iran haitaingia katika mazungumzo chini ya mashinikizo, vitisho na mzingiro

    Apr 26, 2026 09:34

    Rais Masoud Pezeshkian amekosoa utata na mgongano unaoshuhudiwa kati ya mbinu za mashinikizo zinazotumiwa na Marekani dhidi ya Iran na kile kinachotajwa kuwa ni nia yake ya kushiriki katika mchakato wa kidiplomasia na Jamhuri ya Kiislamu.

  • Kwa Nini Chuki Dhidi ya Israel Zinaendelea Kuongezeka Ndani ya Marekani?

    Kwa Nini Chuki Dhidi ya Israel Zinaendelea Kuongezeka Ndani ya Marekani?

    Apr 26, 2026 08:52

    Chama cha Democrat nchini Marekani hivi sasa kinazihama enzi za uungaji mkono wake wa jadi kwa utawala bandia wa Israel na kuhamia kwenye zama za kupingana vikali na utawala huo.

  • Kwa Nini Marekani Inaonekana si Mshirika wa Kuaminika kwa Nchi za Kiarabu?

    Kwa Nini Marekani Inaonekana si Mshirika wa Kuaminika kwa Nchi za Kiarabu?

    Apr 24, 2026 05:51

    Vita vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa Kizayuni dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran vimekuwa na matokeo muhimu katika eneo la Asia Magharibi na hasa Ghuba ya Uajemi. Moja ya matokeo muhimu ya vita hivyo ni kuthibitika kwamba Marekani si mshirika wa kutegemewa na nchi za Kiarabu za eneo hilo.

  • Papa Leo aendelea kukosoa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Papa Leo aendelea kukosoa vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Apr 25, 2026 05:15

    Papa Leo wa Kumi na Nne, kiongozi wa Wakatoliki duniani, ameendelea kukosoaji vikali sera za kuchochea vita za Donald Trump, Rais wa Marekani, akiwa ziarani barani Afrika na kwa mara nyingine amekemea vita na mashambulizi ya nchi hiyo ikishirikiana na utawala haramu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu.

  • Imekuwaje Muungano wa Nchi za Magharibi na Marekani Sasa Unaelekea Kutoweka?

    Imekuwaje Muungano wa Nchi za Magharibi na Marekani Sasa Unaelekea Kutoweka?

    Apr 24, 2026 06:22

    Jarida la Foreign Policy la nchini Marekani limetahadharisha kuwa, vita vya kichokozi vilivyoanzishwa na Marekani na utawala wa kizayuni wa Israel dhidi ya Iran ni nukta ya kushuhudiwa mabadiliko muhimu yanayopelekea kudhoofika muungano wa Magharibi.

  • Baqaei: Iran Iko tayari kujilinda mkabala wa vitisho vya adui

    Baqaei: Iran Iko tayari kujilinda mkabala wa vitisho vya adui

    Apr 23, 2026 09:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesisitiza utayari wa Tehran kujilinda dhidi ya mashambulizi na vitisho vya aina yoyote vya adui.

  • Vita vya maneno vya Trump dhidi ya Papa, chanzo na matokeo yake

    Vita vya maneno vya Trump dhidi ya Papa, chanzo na matokeo yake

    Apr 22, 2026 16:24

    Tofauti zilizozuka kati ya Trump na Papa Leo wa 14 hazitokani na masuala ya kisiasa pekee, lakini zimesababishwa zaidi na hulka ya majivuno na ya kujikweza aliyonayo rais huyo wa sasa wa Marekani.

  • Kwa Nini Trump Ameikasirikia NATO?

    Kwa Nini Trump Ameikasirikia NATO?

    Apr 22, 2026 16:08

    Rais Donald Trump wa Marekani, kwa upande mmoja, analimezea mate eneo lote la ardhi ya Canada ambayo ni mwanachama wa NATO, na kwa upande mwingine, ameonyesha kuwa, ana dhamira ya kuinyakua sehemu kubwa ya ardhi ya Denmark, ambayo nayo pia ni mwanachama wa shirika hilo la kijeshi.

  • Sababu za Kuzidi Kuporomoka Umaarufu wa Israel Mbele ya Wamarekani

    Sababu za Kuzidi Kuporomoka Umaarufu wa Israel Mbele ya Wamarekani

    Apr 22, 2026 04:55

    Uchunguzi uliofanywa hivi karibuni na Kituo cha Utafiti wa Maoni ya Umma cha Pew, yanaonyesha kuwa umaarufu wa Israel mbele ya tabaka la vijana wa chama cha Democrat nchini Marekani umepungua kwa asilimia 31 na mbele ya vijana wa Republican kwa asilimia 22 kulinganisha na ilivyokuwa miaka minne iliyopita.

  • Qalibaf: Hakuna mazungumzo chini ya vitisho, Iran iko tayari kufichua kadi mpya uwanjani

    Qalibaf: Hakuna mazungumzo chini ya vitisho, Iran iko tayari kufichua kadi mpya uwanjani

    Apr 21, 2026 08:51

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema Tehran haitakubali kufanya mazungumzo na Washington chini ya kivuli cha vitisho.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS