-
Ukiukaji wa MoU wa Marekani unathibitisha saini ya rais wa Marekani 'haina thamani'
Jul 19, 2026 03:44Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema ukiukaji wa mara kwa mara wa Marekani wa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU) umethibitisha tena kwamba sahihi ya rais wa Marekani "haina thamani kabisa na ni batili."
-
Marekani yakiri wanajeshi wake wameuawa katika shambulizi la Iran nchini Jordan
Jul 19, 2026 03:29Jeshi la Marekani limethibitisha kwamba wanajeshi wake wasiopungua wawili wameuawa katika mashambulizi ya Iran yaliyolenga mali na kambi za kijeshi za za Marekani nchini Jordan.
-
EU yaunga mkono ICC, yapinga kampeni ya Trump ya kuvunja mahakama ya uhalifu wa kivita
Jul 16, 2026 02:55Umoja wa Ulaya (EU) umesisitiza tena uungaji mkono wake kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), ukipinga kampeni mpya ya utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump ya kudhoofisha mahakama hiyo yenye makao yake makuu The Hague nchini Uholanzi.
-
UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran
Jul 15, 2026 11:09Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) katika barua rasmi kwa Mkuu wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imelaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, huduma za matibabu, magari ya wagonjwa na miundombinu ya misaada.
-
Iran yaalaani uchokozi wa kihalifu wa Marekani, yaapa kushambulia chanzo cha mashambulizi
Jul 13, 2026 03:10Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali jinai na mashambulizi yaliyofanywa na Marekani dhidi ya Iran katika saa 24 zilizopita.
-
Seneta Graham, msaidizi mkuu wa Trump na mchochezi mkuu wa vita dhidi ya Iran ameangamia ghafla
Jul 12, 2026 10:17Seneta Lindsey Graham, anayetambuliwa kuwa mhandisi wa mipango ya Washington dhidi ya Iran na mhamasishaji mkuu wa Trump kufanya mashambulizi ya kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, hatimaye ameangamia na ndoto yake ya kunyakua "matrilioni ya dola katika pesa na mafuta ya Iran."
-
‘Zungumza kwa heshima, Bw. Trump; la sivyo Wairani watajibu kwa lugha tofauti’: Mkuu wa usalama Iran amwambia Trump
Jul 07, 2026 03:30Katibu wa Baraza Kuu la Usalama wa Kitaifa la Iran (SNSC), Mohammad Baqer Zolqadr, ametoa jibu madhubuti kwa vitisho vya hivi karibuni vya Rais wa Marekani, Donald Trump dhidi ya taifa la Iran, akisisitiza kwamba Tehran haitavumilia lugha isiyo na heshima na itajibu ipasavyo ikiwa italazimu.
-
Pezeshkian: Dola bilioni 6 za Iran zinazozuiwa Qatar kuachiliwa
Jun 30, 2026 03:51Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Masoud Pezeshkian, ametangaza kuwa kiasi cha dola bilioni 6 mali ya nchi hii zinazozuiliwa Qatar kufuatia mashinikizo ya Marekani, zitaachiliwa.
-
Wasomi wanawake wa Iran wataka Marekani na Israel ziwajibishwe kwa jinai zao
Jun 30, 2026 03:27Kundi la wanazuoni wanawake wa Iran, wasomi wa taaluma mbalimbali na wataalamu wa masuala ya utamaduni, limesambaza barua ya wazi likirekodi ukiukaji wa kimfumo uliofanywa na Marekani na Israel wakati wa vita vya hivi karibuni dhidi ya Iran, na limetoa wito kwa jamii ya kimataifa kuchukua hatua za dharura za uwajibikaji.
-
IRGC yashambulia ngome za jeshi la Marekani kulipiza kisasi shambulio dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran
Jun 27, 2026 03:24Kikosi cha Wanamaji la Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) kimeshambulia ngome za kijeshi za Marekani katika eneo la Magharibi mwa Asia kulipiza kisasi uchokozi wa awali dhidi ya maeneo ya pwani ya Iran.