Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Qalibaf asema enzi ya ndege za Marekani aina ya F-35 “kuwindwa” imeanza

    Qalibaf asema enzi ya ndege za Marekani aina ya F-35 “kuwindwa” imeanza

    Sep 19, 2026 11:59

    Spika wa Bunge la Iran, Mohammad Baqer Qalibaf, amesema enzi ambayo ndege za kisasa kabisa za kivita za Marekani aina ya F-35 na F-15 zinafuatiliwa na kulengwa tayari imeanza, wakati ripoti zikionyesha kuongezeka kwa shinikizo na uharibifu kwa jeshi la Marekani, miezi saba baada ya Washington kuanzisha vita haramu dhidi ya Iran.

  • “Machozi ya kinafiki”: Araghchi amjibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa kuhusu madai ya haki za binadamu

    “Machozi ya kinafiki”: Araghchi amjibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa kuhusu madai ya haki za binadamu

    Sep 19, 2026 11:56

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amejibu madai ya hivi karibuni yaliyotolewa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Ufaransa, Jean-Noël Barrot, aliyeshutumu Iran kwa ukiukaji wa haki za binadamu, huku akiikosoa Paris kwa ukimya wake kuhusu mauaji ya watoto wa shule wa Iran yaliyosababishwa na Marekani.

  • Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa: Marekani imetenda uhalifu wa kivita nchini Iran

    Tume ya Uchunguzi ya Umoja wa Mataifa: Marekani imetenda uhalifu wa kivita nchini Iran

    Sep 18, 2026 03:54

    Tume ya Kutafuta Ukweli ya Umoja wa Mataifa imetangaza kwamba, baada ya kufanya uchunguzi na kuchambua ushahidi, imefikia hitimisho kwamba mashambulizi ya Marekani dhidi ya Minab na Lamerd yalikuwa ni uhalifu wa kivita.

  • Trump apanga kuipatia Israel 'shehena kubwa zaidi ya mabomu katika historia ya Marekani'

    Trump apanga kuipatia Israel 'shehena kubwa zaidi ya mabomu katika historia ya Marekani'

    Sep 16, 2026 03:34

    Ripoti moja inasema, serikali ya Trump inaandaa mpango wa kuupatia utawala wa kizayuni wa Israel shehena ya mabomu 40,000 yenye uzito wa pauni 2,000 kila moja, ambayo thamani yake ni dola bilioni 2.8.

  • Rais wa Iran aihimiza BRICS kulinda kanuni ya kutotumia mabavu

    Rais wa Iran aihimiza BRICS kulinda kanuni ya kutotumia mabavu

    Sep 13, 2026 11:29

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Dkt. Masoud Pezeshkian, ametoa wito kwa kundi la mataifa yanayoinukia kiuchumi la BRICS kuchukua jukumu “lenye ufanisi zaidi” katika kulinda mamlaka ya kitaifa na kusimamia kanuni ya kimataifa ya kutotumia nguvu, hasa katika kipindi hiki cha sasa chenye changamoto nyingi.

  • Hifadhi ya makombora ya Marekani yaathiriwa pakubwa na vita vya Iran

    Hifadhi ya makombora ya Marekani yaathiriwa pakubwa na vita vya Iran

    Sep 09, 2026 11:05

    Vita na Iran vimepunguza pakubwa akiba ya makombora ya Marekani na kuibua vizuizi katika uzalishaji katika sekta ya ulinzi huku Washington ikilazimika Washington kupima uwezo wake wa kuhuisha upya akiba ya makombora ili kuwa tayari kukabiliana na migogoro mingine.

  • Katibu Mkuu wa Harakati ya Nujaba: Kuanzia mwezi ujao, hatutambakisha hai mwanajeshi hata mmoja wa Marekani nchini Iraq

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Nujaba: Kuanzia mwezi ujao, hatutambakisha hai mwanajeshi hata mmoja wa Marekani nchini Iraq

    Sep 03, 2026 09:09

    Katibu Mkuu wa harakati ya al Nujaba ya Iraq amesema kwamba Kambi ya Muqawama imejitayarisha kikamilifu kwa ajili ya kuwafukuza wanajeshi wa kigeni nchini humo tarehe 30 mwezi huu wa Septemba, na kwamba baada ya tarehe hiyo, hatutamwacha hai hata mwanajeshi mmoja wa Marekani atakayesalia nchini Iraq.

  • Viongozi wa Jumuiya ya Shanghai walaani vikali vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Viongozi wa Jumuiya ya Shanghai walaani vikali vita vya Marekani na Israel dhidi ya Iran

    Sep 02, 2026 02:51

    Wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO) wamelaani vikali vita vya kichokozi vya Marekani pamoja na utawala ghasibu wa Israel dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kupitia azimio lao la pamoja, wakionya kwamba jinai na chokochoko hizo zinaweka amani na usalama wa kimataifa katika hatari kubwa mno.

  • IRGC yamuadhibu vikali mchokozi kwa kupiga kambi za Marekani Jordan baada ya kushambulia Kisiwa cha Larak

    IRGC yamuadhibu vikali mchokozi kwa kupiga kambi za Marekani Jordan baada ya kushambulia Kisiwa cha Larak

    Aug 31, 2026 04:43

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran limetangaza kuwa Kikosi chake cha Anga kimeshambulia maeneo na kambi za kijeshi za Marekani huko Jordan, na kutoa jibu la haraka kwa shambulio la kigaidi la Marekani katika Kisiwa cha Larak nchini Iran jana usiku.

  • Mauzo ya Mafuta ya Iran kwa China yaimarika licha ya vita vya kiuchumi vya Marekani

    Mauzo ya Mafuta ya Iran kwa China yaimarika licha ya vita vya kiuchumi vya Marekani

    Aug 30, 2026 03:35

    Takwimu mpya zinaonyesha kuwa mauzo ya mafuta ya petroli ya Iran kuelekea China yameendelea kuwa imara kwa kiasi kikubwa mwaka huu, licha ya Marekani kushadidisha vita vyake vya kiuchumi na kijeshi dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu, huku Tehran ikithibitisha kuendelea kwa usambazaji wa mafuta ghafi kwa wateja wake wa kimataifa bila kusitishwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS