-
Watetezi wa Palestina wakusanyika nje ya White House kupinga safari ya Netanyahu
Jul 28, 2026 13:59Waandamanaji wanaoitetea na kuiunga mkono Palestina walikusanyika nje ya Ikulu ya White House jana Jumatatu kupinga ziara ya Waziri Mkuu wa utawala wa kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu huko Washington kabla ya mkutano wake aliopangiwa kufanya na Rais wa Marekani Donald Trump.
-
Wabunge wa US waanza kuchunguza ufisadi kuhusu FIFA na uhusiano wa Infantino na Trump
Jul 28, 2026 13:56Mbunge mmoja nchini Marekani wa chama cha Democratic katika Baraza la Wawakilishi la nchi hiyo ametangaza kuanzishwa uchunguzi kuhusu shirikisho la soka duniani FIFA, akiongeza kuwa inawezekana kukawepo na uhusiano kati ya shirikisho hilo na serikali ya Rais wa Marekani Donald Trump.
-
Mawaziri wa Mambo ya nje wa Iran na Russia wajadili uchokozi wa Marekani
Jul 25, 2026 11:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, amesema kuwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaendelea kujitolea kikamilifu katika kulinda maslahi yake ya kitaifa na usalama wake, akisisitiza kuwa ukosefu wa utulivu wa sasa katika Lango Bahari la Hormuz ni matokeo ya moja kwa moja ya ukiukaji wa ahadi na jinai zilizofanywa na Marekani dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.
-
Hamas: Kuongezeka mashambulizi dhidi ya Gaza ni jaribio la kuua makubaliano ya kusitisha mapigano
Jul 24, 2026 07:13Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imetangaza kwamba mashambulizi makubwa ya anga ya utawala wa Israel eneo la Ukanda wa Gaza katika saa kadhaa zilizopita ni mwendelezo wa vita vya mauaji ya kimbari dhidi ya raia wasio na hatia na msisitizo wa kuvuruga makubaliano ya kusitisha mapigano.
-
Minab yazika vipande 62 vya miili ya watoto 32 waliouawa katika mashambulizi ya Marekani Februari 28 shuleni
Jul 22, 2026 11:54Zaidi ya vipande 62 vya miili ya wanafunzi 32 waliouawa katika shambulio la anga la Marekani katika Shule ya Msingi ya Shajareh Tayyebeh huko Minab kusini mwa Iran vimetambuliwa kupitia vipimo vya vinasaba (DNA) na kuzikwa, karibu miezi mitano baada ya mashambulizi yaliyoua wanafunzi na walimu wao wasiopungua 168.
-
Ukiukaji wa MoU wa Marekani unathibitisha saini ya rais wa Marekani 'haina thamani'
Jul 19, 2026 03:44Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Mojtaba Khamenei amesema ukiukaji wa mara kwa mara wa Marekani wa Mkataba wa Maelewano wa Islamabad (MoU) umethibitisha tena kwamba sahihi ya rais wa Marekani "haina thamani kabisa na ni batili."
-
Marekani yakiri wanajeshi wake wameuawa katika shambulizi la Iran nchini Jordan
Jul 19, 2026 03:29Jeshi la Marekani limethibitisha kwamba wanajeshi wake wasiopungua wawili wameuawa katika mashambulizi ya Iran yaliyolenga mali na kambi za kijeshi za za Marekani nchini Jordan.
-
EU yaunga mkono ICC, yapinga kampeni ya Trump ya kuvunja mahakama ya uhalifu wa kivita
Jul 16, 2026 02:55Umoja wa Ulaya (EU) umesisitiza tena uungaji mkono wake kwa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC), ukipinga kampeni mpya ya utawala wa Rais wa Marekani, Donald Trump ya kudhoofisha mahakama hiyo yenye makao yake makuu The Hague nchini Uholanzi.
-
UN yalaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi na miundombinu ya misaada ya kibinadamu nchini Iran
Jul 15, 2026 11:09Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) katika barua rasmi kwa Mkuu wa Jumuiya ya Hilali Nyekundu ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, imelaani mashambulizi dhidi ya wafanyakazi wa misaada ya kibinadamu, huduma za matibabu, magari ya wagonjwa na miundombinu ya misaada.
-
Iran yaalaani uchokozi wa kihalifu wa Marekani, yaapa kushambulia chanzo cha mashambulizi
Jul 13, 2026 03:10Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran imelaani vikali jinai na mashambulizi yaliyofanywa na Marekani dhidi ya Iran katika saa 24 zilizopita.