Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • China:Uhusiano wetu na Marekani uko katika kiwango cha chini kabisa

    China:Uhusiano wetu na Marekani uko katika kiwango cha chini kabisa

    Jun 19, 2023 05:28

    Mwanadiplomasia wa ngazi ya juu wa China amesema kuwa uhusiano wa nchi hiyo na Marekani umefika katika kiwango cha chini kuwahi kushuhudiwa katika historia na kutahadharisha kuwa hali hiyo haina maslahi kwa nchi yoyote ile.

  • Kuendelea harakati hatari za kijeshi za Marekani barani Asia

    Kuendelea harakati hatari za kijeshi za Marekani barani Asia

    Jun 18, 2023 06:56

    Sera hatari za kijeshi na za kichochezi za Marekani katika bara kubwa duniani yaani bara la Asia zingali zinaendelea.

  • Biden: Kesi za ufyatuaji risasi zinaripotiwa kila siku nchini Marekani

    Biden: Kesi za ufyatuaji risasi zinaripotiwa kila siku nchini Marekani

    Jun 17, 2023 07:36

    Rais Joe Binden wa Marekani ameungama na kusema kwamba, matukio ya ufyatuaji risasi na mauaji ya halaiki kwa silaha za moto yameongezeka kwa kiasi cha kutisha nchini humo.

  • Uganda yajibu tahadhari ya Marekani, yasema: Hatutatishwa

    Uganda yajibu tahadhari ya Marekani, yasema: Hatutatishwa

    Jun 16, 2023 04:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Uganda amesema taifa hilo kamwe halitasalimu amri na kukubali kuburuzwa na Marekani ili likengeuke thamani, maslahi na utamaduni wake.

  • Alamolhoda: Marekani inaihujumu Iran kwa kutumia udikteta wa vyombo vya habari

    Alamolhoda: Marekani inaihujumu Iran kwa kutumia udikteta wa vyombo vya habari

    Jun 16, 2023 04:15

    Mke wa Rais Ebrahim Raisi wa Iran amesema Marekani, ambayo ilikuwa ikiunga mkono tawala za kiimla hapa nchini huko nyuma, hivi sasa inaifanyia hujuma Jamhuri ya Kiislamu kwa kutumia udikteta wa vyombo vya habari.

  • Ombi la Misri la kujiunga na BRICS; ishara ya kupunguza uhusiano wake na nchi za Magharibi

    Ombi la Misri la kujiunga na BRICS; ishara ya kupunguza uhusiano wake na nchi za Magharibi

    Jun 16, 2023 03:03

    Ikiwa ni katika mwenendo wa nchi za dunia kuvutiwa na miungano pamoja na mashirika yasiyofungamana na Marekani na nchi nyingine za Magharibi, Misri imeomba uanachama katika jumuiya ya BRICS.

  • Marekani yakiri; Vikwazo vimepunguza matumizi ya dola duniani

    Marekani yakiri; Vikwazo vimepunguza matumizi ya dola duniani

    Jun 14, 2023 23:21

    Waziri wa Hazina ya Taifa ya Marekani amekiri kuwa, vikwazo vya Washington vinaelekea kusambaratisha ukiritimba na matumizi ya safaru ya dola katika miamala ya kibiashara duniani.

  • Johnson & Johnson yashtakiwa Kenya kwa kuwauzia watu poda iliyopigwa marufuku Ulaya, Marekani

    Johnson & Johnson yashtakiwa Kenya kwa kuwauzia watu poda iliyopigwa marufuku Ulaya, Marekani

    Jun 13, 2023 08:46

    Shirika moja la kutetea haki za binadamu nchini Kenya limeshtaki shirika la kimataifa la Marekani, Johnson & Johnson, kwa kosa la kuwauzia Wakenya poda ya ulanga.

  • EU: Vikwazo vya Marekani vinakanyaga sheria za kimataifa

    EU: Vikwazo vya Marekani vinakanyaga sheria za kimataifa

    Jun 13, 2023 04:03

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema vikwazo vya Marekani mbali na kukiuka mamlaka ya kujitawala nchi nyingine duniani, lakini pia vinakanyaga sheria na kanuni za kimataifa.

  • Imran Khan: Masaibu yangu yametokana na kuipa mgongo Marekani

    Imran Khan: Masaibu yangu yametokana na kuipa mgongo Marekani

    Jun 12, 2023 01:07

    Waziri Mkuu wa zamani wa Pakistan, Imran Khan ameituhumu Marekani kwa kula njama iliyopelekea kuangushwa kwa serikali yake iliyochaguliwa kidemokrasia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS