Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • China yaikosoa vikali Marekani

    China yaikosoa vikali Marekani

    Mar 09, 2023 04:25

    Rais Xi Jinping wa Uchina, amehutubu kwenye mkutano wa mwaka wa chama tawala cha Kikomunisti, ambapo ameishambulia vikali Marekani na kusema: Washington inaongoza kampeni ya "kuzuia, kuzingira na kuikandamiza" China.

  • Kampuni za silaha za US zashtakiwa kwa jinai za kivita Yemen

    Kampuni za silaha za US zashtakiwa kwa jinai za kivita Yemen

    Mar 08, 2023 23:04

    Mashirika ya kuzalisha silaha ya Marekani yamefunguliwa mashitaka yakituhumiwa kusaidia na kuwa 'mshiriki' wa jinai za kivita nchini Yemen.

  • Mzozo katika kikao cha G20

    Mzozo katika kikao cha G20

    Mar 06, 2023 23:01

    Kikao cha kundi la G20 ambacho kiliitishwa kwa kutiliwa mkazo suala la vita vya Ukraine, kimedhihirisha mzozo na hitilafu kubwa zilizopo baina ya nchi wanachama katika masuala tofauti ya kisiasa na kiuchumi kiasi kwamba kikao hicho kilimalizika bila ya kufikiwa makubaliano yoyote.

  • Kana'ani: Marekani iliunga mkono mfumo wa 'apartheid' Afrika Kusini

    Kana'ani: Marekani iliunga mkono mfumo wa 'apartheid' Afrika Kusini

    Mar 05, 2023 07:40

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema Marekani haistahiki kujipiga kifua na kudai kuwa kinara wa kutetea na kulinda haki za binadamu duniani kutokana na rekodi yake nyeusi.

  • US yaendelea kuiba mafuta ya Syria licha ya kukumbwa na zilzala

    US yaendelea kuiba mafuta ya Syria licha ya kukumbwa na zilzala

    Mar 05, 2023 07:19

    Marekani kwa kushirikiana na mamluki wa Kikurdi imeendelea kuiba mafuta ya Syria, wakati huu ambapo nchi hiyo ya Kiarabu inajaribu kujinasua kutoka kwenye misukosuko na changamoto zinazotokana na matetemeko ya ardhi yaliyoua maelfu ya watu nchini humo.

  • Marekani yaendeleza uraibu wake wa vikwazo kwa kuiwekea Iran vikwazo vipya

    Marekani yaendeleza uraibu wake wa vikwazo kwa kuiwekea Iran vikwazo vipya

    Mar 03, 2023 04:15

    Marekani imeyawekea vikwazo makampuni na meli kadhaa katika kuendeleza muelekeo wake wa kiundumakuwili na sera yake ya mashinikizo ya juu kabisa dhidi ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Iran: Mlango wa kuhuisha JCPOA hautabaki wazi daima

    Iran: Mlango wa kuhuisha JCPOA hautabaki wazi daima

    Mar 02, 2023 23:12

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameionya Marekani kuwa, mlango wa mazungumzo ya kuhuisha makubaliano ya nyukia ya JCPOA hautabaki wazi milele, na kwa msingi huo ameiasa Washington kutumia fursa hiyo vizuri na kuyanusuru mapatano hayo.

  • Rais wa Mexico: Taifa langu lina demokrasia kushinda Marekani

    Rais wa Mexico: Taifa langu lina demokrasia kushinda Marekani

    Mar 02, 2023 23:11

    Rais Andrés Manuel López Obrador wa Mexico amesema taifa lake lina demokrasia zaidi ya Marekani, katika kile kinachoonekana ni kuzidi kuingia doa uhusiano wa nchi mbili hizo.

  • Iran: Mkwamo wa sasa wa JCPOA ni matunda ya sera ghalati za Marekani

    Iran: Mkwamo wa sasa wa JCPOA ni matunda ya sera ghalati za Marekani

    Mar 01, 2023 04:22

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameikosoa na kuilaumu Marekani kwa kukwamisha mazungumzo ya kujaribu kuhuisha makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ya mwaka 2015.

  • Wapalestina wapinga mkutano na Israel ulioandaliwa na US huko Jordan

    Wapalestina wapinga mkutano na Israel ulioandaliwa na US huko Jordan

    Feb 26, 2023 23:01

    Maelfu ya Wapalestina wamefanya maandamano katika eneo la Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan kulalamikia mkutano eti wa kiusalama ulioandaliwa na Marekani huko Jordan, siku chache baada ya jeshi katili la Israel kufanya mashambulizi ya umwagaji damu huko Jenin.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS