-
Waziri Mkuu wa Pakistan: Vita vya Marekani dhidi ya ugaidi vimekuwa na matokeo hasi
Feb 14, 2022 23:32Waziri Mkuu wa Pakistan Imran Khan amekosoa sera na utendaji wa Marekani nchini Afghanistan na kusisitizia ulazima wa Washington kubadilisha mtazamo wake kuhusiana na hatua zake za kijeshi nje ya nchi; na akasema: vita vya Marekani dhidi ya ugaidi vimekuwa na matokeo hasi na vimesababisha kushamiri ugaidi duniani.
-
Juhudi za Marekani za kuendelea kuisaidia UAE katika vita dhidi ya watu wa Yemeni
Feb 14, 2022 22:50Ndege kadhaa za kivita za Marekani ain ya F-22 siku ya Jumamosi ziliwasili katika Kituo cha Ndege za Kivita cha Al-Dhafra katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE). Kwa mujibu wa Jeshi la Anga la Marekani, kutumwa kwa ndege hizo za kivita kunafuatia mapatano baina ya ya Waziri wa Ulinzi wa Marekani, Lloyd Austin, na Mrithi wa Ufalme wa Abu Dhabi, Mohammed bin Zayed Al Nahyan.
-
Khatibzadeh: Iran inasubiri majibu ya Wamagharibi katika mazungumzo ya Vienna
Feb 14, 2022 07:28Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, hakuna mkwamo wowote katika mazungumzo ya Vienna na kilichopo ni kwamba hivi sasa Iran inasubiri majibu kutoka kwa nchi za Magharibi zinazoshiriki kwenye mazungumzo hayo.
-
Waafghani waandamana kulaani wizi wa mabilioni uliofanywa na Marekani
Feb 13, 2022 09:15Wananchi wa Afghanistan wamefanya maandamano katika mji mkuu wa nchi hiyo, Kabul, kulalamikia kitendo cha hatua ya Marekani ya kupora mabilioni ya dola za Afghanistan na kuzitumia kuwalipa wanaodai fidia kutokana na mashambulizi ya Septamba 11 mwaka 2001.
-
China: Sifa ya utumiaji mabavu inaistahiki Marekani peke yake
Feb 13, 2022 00:45Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China amesema, sifa ya utumiaji mabavu inaistahiki Marekani peke yake.
-
Kuongezeka indhari kuhusu uwezekano wa kutokea vita mashariki mwa Ulaya
Feb 12, 2022 06:43Nchi za Magharibi zinaendelea kutoa tahadhari mbalimbali kuhusu uwezekano wa Russia kuishambulia Ukraine kufuatia kuongezeka mivutano huko Ulaya Mashariki kati ya Moscow na Kiev.
-
White House: Mazungumzo ya Vienna yamefikia kwenye hatua nyeti na hasasi
Feb 10, 2022 04:28Msemaji wa Ikulu ya rais wa Marekani, White House, sambamba na kuanza tena duru mpya ya mazungumzo ya Vienna kati ya Iran na nchi zinazounda kundi la 4+1 amesema, mazungumzo hayo yamefikia hatua nyeti na hasasi.
-
Amir- Abdollahian: Hakuna ubunifu wowote wa jadi na mkubwa uliowasilishwa na Marekani
Feb 06, 2022 08:58Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa hakuna ubunifu wowote wa jadi na mkubwa uliowasilishwa na Marekani kwa ajili ya kuondoa vikwazo na kurejea katika mapatano ya JCPOA.
-
Wanaharakati wa haki za binadamu Marekani waandamana baada ya kuachiwa polisi aliyeua kijana mweusi
Feb 05, 2022 10:46Wanaharakati wa kutetea haki za binadamu wamefanya maandamano nchini Marekani kupinga hatua ya kuachiwa huru afisa wa polisi aliyemuua kijana mweusi.
-
Kamanda wa IRGC: Iran imesimama kidete kukabiliana na Marekani na waitifaki wake
Feb 04, 2022 08:21Kamanda Mkuu wa Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu (IRGC) amesema katika kipindi cha miaka 43 iliyopita, Iran imesimama kwa adhama katika kukabiliana na mashinikzo ya juu kabisa ya Marekani na waitifaki wake.