Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Rex Tillerson akiri ujasusi wa Israel dhidi ya Marekani

    Rex Tillerson akiri ujasusi wa Israel dhidi ya Marekani

    Sep 22, 2019 08:43

    Katika matamshi ya ufichuaji siri, aliyoyatoa katika Chuo Kikuu cha Harvard, Rex W. Tillerson, Waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Marekani ameutuhumu utawala haramu wa Kizayuni kuwa umeipotosha serikali ya Marekani, ikiwa ni katika juhudi za kufikia malengo yake.

  • Radiamali ya Sayyid Hassan Nasrullah kwa uchaguzi wa Israel na mashambulio dhidi ya Aramco

    Radiamali ya Sayyid Hassan Nasrullah kwa uchaguzi wa Israel na mashambulio dhidi ya Aramco

    Sep 21, 2019 22:59

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon Hizbullah alasiri juzi Ijumaa Septemba 20 alitoa radiamali yake kwa uchaguzi wa bunge wa Israel na mashambulizi dhidi ya vituo vya mafuta vya Aramco vya Saudia.

  • Trump azionya nchi za Ulaya, azitaka ziwachukue raia wake waliojiunga na ISIS

    Trump azionya nchi za Ulaya, azitaka ziwachukue raia wake waliojiunga na ISIS

    Sep 21, 2019 07:45

    Rais Donald Trump wa Marekani amezionya nchi za Ulaya akizitaka zihakikishe zimewachukua raia wao waliojiunga na kundi la kigaidi na ukufurishaji la Daesh (ISIS) na wanaoendelea kushikiliwa nchini Iraq na Syria.

  • Iran kuendelea kuimarisha makombora yake ya balistiki licha ya kelele za Marekani

    Iran kuendelea kuimarisha makombora yake ya balistiki licha ya kelele za Marekani

    Sep 21, 2019 03:12

    Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran itaendelea kuimarisha mfumo wake wa makombora ya balistiki licha ya kelele za Marekani.

  • Marekani kutuma wanajeshi zaidi huko Saudia na Imarati

    Marekani kutuma wanajeshi zaidi huko Saudia na Imarati

    Sep 21, 2019 02:58

    Marekani inajiandaa kutuma askari zaidi nchini Saudi Arabia na Umoja wa Falme za Kiarabu, kuimarisha kile kilichotajwa kama mfumo wa ulinzi wa anga wa Riyadh.

  • Maseneta wa Marekani wataka kusimamishwa ushirikiano wa nyuklia wa nchi hiyo na Saudi Arabia

    Maseneta wa Marekani wataka kusimamishwa ushirikiano wa nyuklia wa nchi hiyo na Saudi Arabia

    Sep 20, 2019 23:59

    Ikiwa ni katika kudumisha uungaji mkono wake kwa utawala wa Saudi Arabia na kinyume na sheria za Marekani zinazobainisha wazi masharti na misingi ya ushirikiano wa nyuklia na nchi za kigeni, serikali ya Rais Donald Trump wa nchi hiyo imekuwa ikifanya mazungumzo na watawala wa Saudia kwa ajili ya kujenga vituo vya nyuklia katika nchi hiyo ya Kiarabu.

  • Russia: Marekani iache kuibua mizozo Asia Magharibi

    Russia: Marekani iache kuibua mizozo Asia Magharibi

    Sep 20, 2019 23:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia, amekosoa hatua za Marekani za kuibua mizozo eneo la Asia Magharibi (Mashariki ya Kati.)

  • Mchezo wa Aramco; makelele ya timu ya Trump na jibu la Zarif

    Mchezo wa Aramco; makelele ya timu ya Trump na jibu la Zarif

    Sep 20, 2019 04:35

    Licha ya kuwa sababu ya kushambuliwa kiwanda cha kusafisha mafuta cha Aramco nchini Saudi Arabia inapasa kutafutwa katika vita vya Yemen lakini watawala wa Saudia na Marekani wanaelekeza sababu hiyo kwingine kwa kuituhumu Iran kuwa imehusika katika shambulio hilo.

  • Vikwazo dhidi ya Iran; radiamali ya Marekani juu ya kudhalilishwa Saudia katika shambulio la Aramco

    Vikwazo dhidi ya Iran; radiamali ya Marekani juu ya kudhalilishwa Saudia katika shambulio la Aramco

    Sep 20, 2019 03:34

    Baada ya kiwanda cha kusafisha mafuta cha Saudi Arabia Aramco, kushambuliwa kwa ndege zisizokuwa na rubani na jeshi la Yemen, kwa mara nyingine tuhuma za Marekani zimekuwa zikielekezwa kwa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran.

  • Shambulizi la 'drone' ya Marekani laua wakulima 30 Afghanistan

    Shambulizi la 'drone' ya Marekani laua wakulima 30 Afghanistan

    Sep 19, 2019 21:56

    Ndege isiyo rubani ya Marekani imetekeleza shambulizi la anga na kuua makumi ya wakulima nchini Afghanistan.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS