-
Mpango wa Muamala wa Karne, Palestina yakataa upatanishi wa Marekani
Jul 05, 2019 02:36Wiki mbili tu baada ya mkutano wa utangulizi wa kutekeleza mpango uliopewa jina la "Muamala wa Karne" huko Manama nchini Bahrain, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa, Palestina haikubali upatanishi wa Marekani katika kadhia ya Palestina.
-
Kuongezeka uingiliaji wa kigeni nchini Libya; takwa la kufanyika uchunguzi kuhusu uwepo wa silaha za Marekani
Jul 04, 2019 03:32Sanjari na kushadidi vita na mapigano nchini Libya, uingiliaji wa kigeni katika nchi hiyo nao umeongezeka.
-
Abbas apinga upatanishi wa Marekani katika mgogoro wa Palestina
Jul 04, 2019 02:14Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema kuwa Palestina haiwezi kukubali upatanishi wa Marekani kati yake na utawala haramu wa Israel.
-
Kushadidi makabiliano ya kibiashara baina ya Marekani na Ulaya
Jul 03, 2019 03:00Rais Donald Trump wa Marekani kivitendo ameingia katika vita vya kibiashara na akthari ya madola makubwa kiuchumi uulimwenguni.
-
Palestina: Kikao cha Manama kinaashiria kufeli utawala wa Trump
Jun 30, 2019 03:38Msemaji wa Mahmoud Abbas, Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesema mkutano wa Marekani uliofanyika siku chache zilizopita katika mji mkuu wa Bahrain, Manama kwa shabaha ya kuzindua Muamala wa Karne umeonesha ni jinsi gani sera na mipango batili ya utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani imefeli.
-
Trump akanyaga ardhi ya Korea Kaskazini na kukutana na Kim Jon-un
Jun 30, 2019 03:20Rais Donald Trump amekuwa rais wa kwanza wa Marekani kukanyaga ardhi ya Korea Kaskazini.
-
Makombora ya Marekani yanaswa Libya katika ngome ya Haftar
Jun 30, 2019 03:13Wanajeshi wa serikali ya Umoja wa Kitaifa inayoongozwa na Waziri Mkuu Fayez al-Sarraj na ambayo inaungwa mkono na jamii ya kimataifa wamenasa makombora ya Marekani yaliyokuwa yakitumiwa na vikosi vinavyojiita Jeshi la Kitaifa linaloongozwa na kamanda muasi Khalifa Haftar.
-
Iraq yaitaka Marekani ithibitishe madai yake kuhusu shambulizi la drone dhidi ya Saudia
Jun 29, 2019 23:45Iraq imeitaka Marekani ioneshe ushahidi kuhusu madai kwamba ndege isiyo na rubani iliyoshambulia taasisi za mafuta za Saudi Arabia ilitokea katika ardhi ya Iraq.
-
Shutuma za Amnesty International kwa siasa za wahajiri za Trump
Jun 28, 2019 23:32Rais wa Marekani, Donald Trump daima alikuwa akisema katika kampeni za uchaguzi uliopita wa rais kwamba ataweka sheria kali za kuwazuia wageni kuingia Marekani. Hivi sasa maafa ya siasa hizo za kibeberu za Trump yanaonekana uwazi kabisa.
-
Iran yaitaka Marekani iangamize silaha zake za kemikali
Jun 28, 2019 10:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Jamhuri ya Kiislamu ya Iran inaitakidi kuwa, dunia itakuwa pahala salama iwapo Marekani itaangamiza silaha zake hatari za kemikali.