Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • EU yaionya Marekani isithubutu kuivamia kijeshi Venezuela

    EU yaionya Marekani isithubutu kuivamia kijeshi Venezuela

    Mar 13, 2019 04:27

    Umoja wa Ulaya umeionya Marekani kuhusu hatari ya chokochoko zake za kutaka kuivamia kijeshi Venezuela.

  • Le Monde: Matajiri wa Marekani wanafadhili propaganda chafu dhidi ya Uislamu

    Le Monde: Matajiri wa Marekani wanafadhili propaganda chafu dhidi ya Uislamu

    Mar 12, 2019 13:03

    Kundi dogo la matajiri na vibopa wa Marekani linafadhili mitandao inayosambaza habari na mashambulizi na propaganda chafu zinazoenezwa kupitia mtandao wa intaneti barani Ulaya kwa ajili ya kueneza fikra za mrengo wa kulia wenye misimamo mikali na kuchochea uadui dhidi ya Uislamu na matukufu yake.

  • Zarif: Marekani haiwezi kuzuia kustawi uhusiano wa Iran na Iraq

    Zarif: Marekani haiwezi kuzuia kustawi uhusiano wa Iran na Iraq

    Mar 12, 2019 04:15

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema Marekani haina uwezo wa kusimamisha uhusiano wa Jamhuri ya Kiislamu na Iraq, na kwamba serikali ya Baghdad imejenga uhusiano huo katika misingi ya matakwa na maslahi ya taifa hilo.

  • Radiamali kali ya Russia kufuatia kushtadi mashinikizo ya Marekani kwa Uturuki kuhusu ngao ya S 400

    Radiamali kali ya Russia kufuatia kushtadi mashinikizo ya Marekani kwa Uturuki kuhusu ngao ya S 400

    Mar 10, 2019 07:56

    Uhusiano wa Marekani na Uturuki katika miaka ya hivi karibuni, yaani baada ya kujiri mapinduzi ya kijeshi yaliyofeli ya tarehe 15 Julai 2016, umekuwa na mizozo mingi.

  • Kuendelea hatua za mapinduzi za Marekani dhidi ya Venezuela

    Kuendelea hatua za mapinduzi za Marekani dhidi ya Venezuela

    Mar 10, 2019 04:03

    Uingiliaji wa Marekani katika masuala ya ndani ya Venezuela ungali unaendelea na katika hatua ya hivi karibuni kabisa, Washington imetishia kuziwekea vikwazo benki ambazo zinashirikiana na serikali ya Caracas.

  • Erdogan: Marekani imekasirishwa na Uturuki huru

    Erdogan: Marekani imekasirishwa na Uturuki huru

    Mar 10, 2019 04:01

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema Marekani inaishinikiza nchi yake iache kununua silaha za Russia kwa sababu wakuu wa Washington wamekasirishwa na sera za Ankara za kujitegemea.

  • Sisitizo la Sayyid Hassan Nasrullah la kuzishinda njama za Marekani Mashariki ya Kati

    Sisitizo la Sayyid Hassan Nasrullah la kuzishinda njama za Marekani Mashariki ya Kati

    Mar 09, 2019 21:49

    Katibu Mkuu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Lebanon (Hizbullah) amesema kuwa mwaka 2006 Marekani ilikuwa na njama na mipango mikubwa ya kuumaliza muqawama hata hivyo njama zote hizo zimefeli kutokana na kuwa imara na kuwa macho wanamuqawama.

  • Uchunguzi: Waislamu wanabaguliwa zaidi katika jamii ya Marekani

    Uchunguzi: Waislamu wanabaguliwa zaidi katika jamii ya Marekani

    Mar 09, 2019 21:47

    Matokeo ya uchunguzi mpya wa maoni uliofanyika nchini Marekani yanaonesha kuwa, Waislamu wanabaguliwa zaidi katika jamii ya nchi hiyo ikilinganishwa na makundi mengine ya kidini.

  • Jarida la Marekani: Trump amepelekea nchi yetu itengwe na Ulaya

    Jarida la Marekani: Trump amepelekea nchi yetu itengwe na Ulaya

    Mar 09, 2019 03:46

    Jarida moja la nchini Marekani limemlaumu vikali rais wa nchi hiyo, Donald Trump kwa siasa zake mbovu za kimataifa na kusema kuwa, Trump amepelekea Marekani itengwe na nchi za Ulaya.

  • Kufichuliwa na Maduro lengo halisi la Marekani la kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela

    Kufichuliwa na Maduro lengo halisi la Marekani la kuingilia masuala ya ndani ya Venezuela

    Mar 09, 2019 00:50

    Wakati mgogoro wa kisiasa ukiwa unaendelea nchini Venezuela sambamba na kuongezeka harakati za Juan Guaido, kiongozi wa wapinzani aliyejitangaza rais, za kushadidisha mgogoro huo, njama na hatua za serikali ya Marekani za kutaka kubadilisha hali ya mambo katika nchi hiyo ya Amerika ya Latini, nazo pia zimezidi kupamba moto.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS