Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Gazeti la US Today: Uchumi wa Marekani umekwama au unakaribia kwenye mdororo

    Gazeti la US Today: Uchumi wa Marekani umekwama au unakaribia kwenye mdororo

    Apr 14, 2025 23:44

    Gazeti la US Today la Marekani limeandika kuwa utabiri unaonyesha kuwa ukuaji uchumi wa Marekani utakabiliwa na mkwamo au unakaribia kudorora licha ya kusimamishwa kwa ushuru wa Trump.

  • Iran: Mazungumzo ya Oman ni chanya na ya matumaini; kuendelea wiki ijayo

    Iran: Mazungumzo ya Oman ni chanya na ya matumaini; kuendelea wiki ijayo

    Apr 12, 2025 23:10

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araqchi ameitaja duru ya kwanza ya mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja kati ya Jamhuri ya Kiislamu na Marekani kuwa "chanya na yenye kuleta matumaini."

  • CNN: Uvumilivu wa Wamarekani kwa Tel Aviv unaisha

    CNN: Uvumilivu wa Wamarekani kwa Tel Aviv unaisha

    Apr 12, 2025 22:50

    Chanzo makini kimetangaza kuwa, subira ya Wamarekani kwa vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel inakwisha.

  • Iran: Tunataka makubaliano ya haki, heshima na usawa; Israel yaingiwa na kiwewe

    Iran: Tunataka makubaliano ya haki, heshima na usawa; Israel yaingiwa na kiwewe

    Apr 12, 2025 08:50

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi amesema Jamhuri ya Kiislamu inataka makubaliano ya haki na ya heshima, na yaliyojadiliwa kwenye mazingira ya usawa. Sayyid Araghchi amesema hayo kabla ya kuanza mazungumzo yasiyo ya moja kwa moja na wawakilishi wa Marekani.

  • Rais Xi wa China aonya: Marekani itajitenga yenyewe

    Rais Xi wa China aonya: Marekani itajitenga yenyewe

    Apr 12, 2025 07:44

    Rais wa China, Xi Jinping ametahadharisha kuwa, Marekani iko katika hatari ya kujitenga yenyewe kwa kushupalia vita vya ushuru na vikwazo vya biashara vya upande mmoja.

  • Marekani yaendeleza mradi wa kuwatimua wanafunzi wa kimataifa wanaoiunga mkono Palestina

    Marekani yaendeleza mradi wa kuwatimua wanafunzi wa kimataifa wanaoiunga mkono Palestina

    Apr 11, 2025 22:48

    Ukandamizaji na vitisho dhidi ya wanafunzi wanaounga mkono haki ya Wapalestina unaendelea katika vyuo vikuu vya Marekani, jambo ambalo limevuruga mfumo wa elimu nchini humo.

  • Kusalimu amri Trump katika sera zake za vita vya kiuchumi duniani

    Kusalimu amri Trump katika sera zake za vita vya kiuchumi duniani

    Apr 11, 2025 04:12

    Rais wa Marekani Donald Trump, amesalimu amri baada ya masoko ya hisa ya Marekani kuporomoka vibaya kutokana na sera zake mbovu za kuanzisha vita vya kiudhumi na kuzipandishia ushuru bidhaa za nchi zote duniani.

  • Viongozi wa Amerika ya Latini watoa wito kupinga ushuru wa Trump

    Viongozi wa Amerika ya Latini watoa wito kupinga ushuru wa Trump

    Apr 10, 2025 08:02

    Viongozi wa nchi za Amerika ya Latini wametaka kuweko umoja na mshikamano wa kukabiliana na ushuru wa Rais Donald Trump wa Marekani na kuyumba uchumi kunakosababishwa na hatua hizo za Trump.

  • China yajibu mapigo; yaongeza ushuru wa 84% kwa bidhaa za US

    China yajibu mapigo; yaongeza ushuru wa 84% kwa bidhaa za US

    Apr 09, 2025 23:24

    China imesisitiza kuwa "itapambana hadi mwisho" mkabala wa vita vya kibiashara vilivyoanzishwa na Rais wa Marekani, Donald Trump.

  • Ubelgiji nayo yatia ulimi puani, yasema: Hatutamkamata Netanyahu

    Ubelgiji nayo yatia ulimi puani, yasema: Hatutamkamata Netanyahu

    Apr 09, 2025 03:05

    Ubelgiji nayo pia imetangaza kuwa haitotii amri ya Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC ya kutaka waziri mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel Benjamin Netanyahu akamatwe na kukabidhiwa kwa mahakama hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS