Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Marekani yaendeleza umwagaji damu Syria, yaua watu 8 wa familia moja

    Marekani yaendeleza umwagaji damu Syria, yaua watu 8 wa familia moja

    Dec 07, 2018 20:55

    Muungano wa eti kupambana na magaidi wa Daesh unaoongozwa na Marekani umeendelea kufanya mashambulizi yake ya anga katika mkoa wa mashariki wa Deir ez-Zor nchini Syria na kuua raia wengi.

  • Pigo la kihistoria kwa Marekani katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, katika mwaka wa kwanza wa uamuzi wa Trump dhidi ya Quds

    Pigo la kihistoria kwa Marekani katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, katika mwaka wa kwanza wa uamuzi wa Trump dhidi ya Quds

    Dec 07, 2018 20:52

    Muswada uliokuwa umependekezwa na Marekani dhidi ya Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS katika Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa haukupasishwa na kumfanya Nikki Haley, balozi na mwakilishi wa kudumu wa Marekani katika Umoja wa Mataifa ashuhudie pigo la kihistoria dhidi ya nchi yake katika siku zake hizi za mwisho za majukumu yake katika umoja huo.

  • Makundi ya Muqawama Palestina: Marekani, Israel zimepata pigo kubwa UN

    Makundi ya Muqawama Palestina: Marekani, Israel zimepata pigo kubwa UN

    Dec 07, 2018 11:07

    Makundi ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina ya Hamas na Jihadu Islami yamesema kupigwa mweleka katika Baraza la Kuu la Umoja wa Mataifa muswada wa kuilaani Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) na kuitaja kama kundi la kigaidi ni pigo kubwa kwa Marekani na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Pakistan: Hatutaendelea kuwa kibaraka wa Marekani

    Pakistan: Hatutaendelea kuwa kibaraka wa Marekani

    Dec 07, 2018 11:03

    Waziri Mkuu wa Pakistan, Imran Khan ameeleza namna nchi hiyo inavyojuta kwa namna ilivyoamiliana vizuri na Marekani huko nyuma, akisisitiza kuwa Islamabad haitaendelea kuwa kibaraka wa Washington.

  • Marekani imewatenganisha makumi ya watoto wa wahajiri na familia zao

    Marekani imewatenganisha makumi ya watoto wa wahajiri na familia zao

    Dec 06, 2018 11:20

    Shirika la habari la Associated Press limevujisha data za serikali ya Washington zinazoonesha kuwa, Marekani imewatenganisha makumi ya watoto wa wahajiri na familia zao katika mpaka wa nchi hiyo na Mexico ndani ya miezi michache iliyopita.

  • Qassemi: Iran haitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani

    Qassemi: Iran haitasalimu amri mbele ya mashinikizo ya Marekani

    Dec 06, 2018 03:59

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, Marekani imeanzisha makundi katika maeneo mbalimbali ya dunia hususan katika nchi jirani na Iran kwa shabaha ya kuzuia ushirikiano wa kiuchumi baina ya nchi hizo na Tehran, lakini Jamhuri ya Kiislamu itavuka salama kipindi cha sasa.

  • Ripoti: Marekani ina vituo vya kijeshi vya siri katika nchi za Afrika

    Ripoti: Marekani ina vituo vya kijeshi vya siri katika nchi za Afrika

    Dec 05, 2018 12:58

    Tovuti ya habari ya Intercept imefichua habari za kuwepo kambi za kijeshi za siri za Marekani katika nchi kadhaa za Afrika.

  • Marekani yatangaza rasmi kusimamisha utekelezaji wa mkataba wa INF na Russia, Putin aionya

    Marekani yatangaza rasmi kusimamisha utekelezaji wa mkataba wa INF na Russia, Putin aionya

    Dec 05, 2018 12:54

    Serikali ya Marekani imeitaarifu rasmi Russia uamuzi wa kusimamisha utekelezaji wa mkataba wa Silaha za Nyuklia za Masafa ya Kati (INF).

  • Zarif: Marekani inatumia vibaya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Zarif: Marekani inatumia vibaya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Dec 05, 2018 03:04

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amesema kuwa, maazimio ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa hayaizuii Iran kuzalisha makombora na amekosoa migongano inaoonekana katika matamshi ya maafisa wa serikali ya Marekani kuhusu azimio nambari 2231 la baraza hilo.

  • Seneta Graham: Kukana kwamba Bin Salman aliamuru kuuawa Khashoggi ni kujifanya kipofu

    Seneta Graham: Kukana kwamba Bin Salman aliamuru kuuawa Khashoggi ni kujifanya kipofu

    Dec 04, 2018 21:41

    Seneta mashuhuri wa Marekani Lindsey Graham amekosoa vikali siasa za Saudi Arabia na Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa nchi hiyo Muhammad bin Salman na kusisitiza kuwa, Kongresi ya Marekani itachukua msimamo mkali ili kukomesha sera mbovu za Riyadh bila ya kujali msimamo wa serikali ya Rais Donald Trump.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS