• Republican: Biden ni punguani, asiachiwe kitufe cha silaha za nyuklia

    Republican: Biden ni punguani, asiachiwe kitufe cha silaha za nyuklia

    Jul 22, 2024 07:27

    Muda mfupi baada ya Rais Joe Biden wa Marekani kutangaza kujiondoa katika kinyang'anyiro cha kutetea kiti chake cha urais, viongozi waandamizi wa chama cha Republican wamesema mwanasiasa huyo mwenye miaka 81 hapasi kuachiwa nywila (kodi) za kitufe cha silaha za nyuklia kutokana na matatizo ya kisaikolojia yanayomsumbua.

  • Marekani na Ujerumani; Wauzaji silaha wakuu kwa utawala katili wa Israeli

    Marekani na Ujerumani; Wauzaji silaha wakuu kwa utawala katili wa Israeli

    Jul 21, 2024 03:55

    Taasisi ya Kimataifa ya Utafiti wa Amani ya Stockholm (SIPRI) imetangaza katika ripoti yake kwamba kati ya asilimia 99 ya silaha zilizoagizwa na utawala wa Israel unaofanya mauaji ya kimbari huko Ukanda wa Gaza kati ya mwaka 2019 na 2023, asilimia 69 ilitoka Marekani na asilimia nyingine 30 kutoka Ujerumani.

  • Blinken: Kujiondoa JCPOA ni katika makosa makubwa ya Marekani

    Blinken: Kujiondoa JCPOA ni katika makosa makubwa ya Marekani

    Jul 21, 2024 03:19

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amekiri bayana kuwa, hatua ya nchi hiyo ya kujiondoa kwenye makubaliano ya nyuklia ya JCPOA ni moja ya makosa makubwa zaidi yaliyowahi kufanywa na Washington katika miaka ya hivi karibuni.

  • Kukosoa Russia upinzani wa Magharibi kwa muundo mpya wa ulimwengu

    Kukosoa Russia upinzani wa Magharibi kwa muundo mpya wa ulimwengu

    Jul 20, 2024 23:00

    Balozi wa Russia nchini Marekani, Anatoly Antonov, amesema nchi za Magharibi zinapinga juhudi za kuundwa muundo mpya wa pande kadhaa ambao utakuwa na insafu na uadilifu zaidi.

  • Marekani chimbuko kuu la matatizo Asia Magharibi

    Marekani chimbuko kuu la matatizo Asia Magharibi

    Jul 20, 2024 07:03

    Kaimu Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Iran amekosoa vikali maamuzi na hatua za mabavu na za upande mmoja zinazochukuliwa na Marekani katika masuala mbali mbali ya Asia Magharibi na kubainisha kwamba, hatua hizo ndio chimbuko kuu la matatizo yanayolikumba eneo hili.

  • Wizara: Watoto wanabakwa katika kambi za wahajiri Marekani

    Wizara: Watoto wanabakwa katika kambi za wahajiri Marekani

    Jul 20, 2024 02:40

    Imebainika kuwa, maelfu ya watoto wahajiri wamebakwa na kufanyiwa unyanyasaji na udhalilishaji wa kingono katika kambi na vituo vya 'kuwahifadhi' wahamiaji haramu nchini Marekani.

  • Biden anakaribia kujiondoa, wagombea 4 wanajitayarisha kumrithi

    Biden anakaribia kujiondoa, wagombea 4 wanajitayarisha kumrithi

    Jul 19, 2024 22:49

    Rais wa Marekani, Joe Biden, anakaribia kufanya uamuzi wa kujiondoa katika kinyang'anyiro cha kuwania tena kiti cha urais katika uchaguzi ujao. Haya ni kwa mujibu wa wa habari zilizovuja zinazothibitisha kwamba, chama cha Democratic kwa sasa kinajadili machaguo ya hatua zinazofuata.

  • Iran: US ni kizingiti katika kupatiwa ufumbuzi masuala ya ulimwengu

    Iran: US ni kizingiti katika kupatiwa ufumbuzi masuala ya ulimwengu

    Jul 19, 2024 07:39

    Kaimu Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran amekosoa vikali maamuzi na hatua za mabavu na za upande mmoja zinazochukuliwa na Marekani katika masuala mbali mbali ya dunia akisisitiza kuwa, mwenendo huo unafanya hali ya mambo uliwenguni kuwa mbaya zaidi.

  • Kanusho la Iran kwa madai ya uwongo ya Marekani ya kuhusika katika jaribio la kumuua Trump

    Kanusho la Iran kwa madai ya uwongo ya Marekani ya kuhusika katika jaribio la kumuua Trump

    Jul 18, 2024 07:10

    Baada ya tukio la kupigwa risasi Donald Trump, rais wa zamani na mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais wa Marekani wa 2024, baadhi ya vyombo vya habari vya Marekani kwa mara nyingine vikiendeleza propaganda za chuki dhidi ya Iran (Iranphobia) vilidai kuweko mkono wa Iran katika tukio hilo.

  • Ruto: Wakfu wa US ndio unaochochea maandamano ya fujo Kenya

    Ruto: Wakfu wa US ndio unaochochea maandamano ya fujo Kenya

    Jul 15, 2024 23:44

    Rais William Ruto wa Kenya ameujia juu Wakfu wa Ford wa Marekani, akiuhusisha na vurugu zilizoshuhudiwa nchini humo wakati wa maandamano ya kupinga Mswada wa Fedha wa 2024 na jinsi utawala wa Kenya Kwanza unaendesha serikali.