Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Faida nono ya sekta ya silaha ya Marekani kutokana na Washington kuzusha mgogoro barani Ulaya

    Faida nono ya sekta ya silaha ya Marekani kutokana na Washington kuzusha mgogoro barani Ulaya

    Aug 22, 2023 22:46

    Katika kipidi cha miezi 18 ya vita nchini Ukraine, moto wa vita hivyo haribifu umezidi kuwaka na kuchukua wigo mpana zaidi kutokana na sera haribifu za nchi za Magharibi, ambazo zimepeleka nchini Ukraine msaada mkubwa zaidi wa kijeshi na kisilaha ambao haujawahi kushuhudiwa.

  • Kubariki Marekani mpango wa kuipelekea Ukraine ndege za kivita aina ya F-16

    Kubariki Marekani mpango wa kuipelekea Ukraine ndege za kivita aina ya F-16

    Aug 21, 2023 05:45

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani ametangaza kuwa Washington imeafiki kupelekewa Ukraine ndege za kivita aina ya F-16 kutoka nchi mbili wanachama wa shirika la kijeshi la NATO, yaani Denmark na Uholanzi, na kwamba hilo litafanyika baada ya kukamilishwa mchakato wa utoaji mafunzo kwa marubani wa Ukraine ya kuzitumia ndege hizo.

  • Wayemen wapinga kuwepo Wamarekani katika Bahari Nyekundu

    Wayemen wapinga kuwepo Wamarekani katika Bahari Nyekundu

    Aug 19, 2023 22:56

    Vyombo vya habari vya Yemen vimeripoti kuwa, upinzani wa wananchi wa kusini mwa nchi hiyo dhidi ya uwepo wanajeshi wa Marekani katika Bahari Nyekundu na kuingilia mambo ya ndani ya nchi hiyo umeshika kasi zaidi.

  • "Kupanga mapinduzi, kuwaunga mkono madikteta ni katika sera za UK, US"

    Aug 19, 2023 07:55

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kupanga na kufadhili mapinduzi, kuingilia masuala ya ndani ya nchi nyingine na kuwaunga mkono madikteta ni katika sera kuu za Marekani na Uingereza katika kipindi chote cha historia.

  • Sababu za Marekani kurudisha kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria

    Sababu za Marekani kurudisha kundi la kigaidi la Daesh nchini Syria

    Aug 19, 2023 04:48

    Kundi la kigaidi la Daesh au jina jingine ISIS, limezidisha mashambulizi yake katika ardhi ya Syria. Syria na Iran zimeshuhudia mashambulizi ya kigaidi ya kundi hilo katika wiki za hivi karibuni. Kuna dalili za kutosha zinazothibitisha kwamba Marekani ndiyo inayochochea mashambulizi hayo.

  • Kushindwa siasa za kibeberu za Marekani nchini Afghanistan

    Kushindwa siasa za kibeberu za Marekani nchini Afghanistan

    Aug 17, 2023 22:54

    Serikali ya kundi la Taliban nchini Afghanistan imesema kuwa njama za wavamizi na madola ya kibeberu zitashindwa tu nchini humo.

  • Kuendelea Marekani kulitumia vibaya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Kuendelea Marekani kulitumia vibaya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa

    Aug 17, 2023 09:37

    Serkali ya China imepinga ombi la Marekani na baadhi ya waitifaki wake la kuitishwa kikao cha Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Korea Kaskazini.

  • Pyongyang: Askari wa US alitorokea Korea Kaskazini kutokana na ubaguzi

    Pyongyang: Askari wa US alitorokea Korea Kaskazini kutokana na ubaguzi

    Aug 16, 2023 23:43

    Serikali ya Pyongyang imesema askari Mmarekani mwenye asili ya Afrika alitorokea Korea Kaskazini kutokana na vitendo vya ubaguzi wa rangi na dhulma alizokuwa akishuhudia ndani ya jeshi la Marekani.

  • Onyo kuhusu ongezeko kubwa la itikadi kali za kisiasa nchini Marekani

    Onyo kuhusu ongezeko kubwa la itikadi kali za kisiasa nchini Marekani

    Aug 15, 2023 23:20

    Wakati kesi ya Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump ikiendelea sambamba na kuandaliwa uchaguzi wa rais wa nchi hiyo wa mwaka 2024, wataalamu wametahadharisha kuhusu ongezeko kubwa la misimamo mikali ya kisiasa miongoni mwa Wamarekani.

  • Raisi: US, nchi za Ulaya zilipanga ghasia za mwaka jana Iran

    Raisi: US, nchi za Ulaya zilipanga ghasia za mwaka jana Iran

    Aug 15, 2023 04:26

    Rais wa Iran ameikosoa Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya kwa kuratibu machafuko yaliyoshuhudiwa mwaka jana hapa nchini Iran kwa kisingizo cha kifo cha Mahsa Amini.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS