Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Marekani

  • Matukio ya ufyatuaji risasi yaongezeka US; 25,000 wameuawa 2023

    Matukio ya ufyatuaji risasi yaongezeka US; 25,000 wameuawa 2023

    Aug 01, 2023 22:49

    Taasisi ya kukusanya data zinazohusiana na matukio ya ufyatulianaji risasi nchini Marekani imetangaza kuwa, tangu mwanzoni mwa mwaka huu wa 2023 hadi sasa, zaidi ya watu 25,000 wameuawa kwa silaha za moto kote nchini humo.

  • Serikali ya San'aa: Marekani haitaki vita vikomeshwe nchini Yemen

    Serikali ya San'aa: Marekani haitaki vita vikomeshwe nchini Yemen

    Jul 31, 2023 22:59

    Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Serikali ya Uokovu wa Kitaifa ya Yemen amesema kuwa Marekani haitaki kusimamishwa vita katika nchi hiyo.

  • Woga wa Marekani wa kukumbwa huko Ukraine na yale yale yaliyoikumba Washington nchini Afghanistan

    Woga wa Marekani wa kukumbwa huko Ukraine na yale yale yaliyoikumba Washington nchini Afghanistan

    Jul 30, 2023 23:01

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Marekani imeonya kuhusu athari mbaya za ufisadi wa kiserikali nchini Ukraine kutokana na misaada isiyo na mahesabu ya kiuchumi inayomiminiwa nchi hiyo ya Ulaya Mashariki.

  • Biden: Kuna uwezekano wa Saudia na Israel kuanzisha rasmi uhusiano wao

    Biden: Kuna uwezekano wa Saudia na Israel kuanzisha rasmi uhusiano wao

    Jul 29, 2023 07:12

    Rais wa Marekani, Joe Biden kwa mara nyingine tena amedokeza kuwa kuna uwezekano mkubwa kwa Saudi Arabia kuanzisha rasmi uhusiano wa kawaida na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Nchi kufanywa “Mbuzi wa Azazeli”; mkakati wa Marekani katika sera ya kigeni

    Nchi kufanywa “Mbuzi wa Azazeli”; mkakati wa Marekani katika sera ya kigeni

    Jul 28, 2023 23:20

    Mojawapo ya mikakati ya Marekani katika sera zake za mambo ya nje ni kuzitoa mhanga nchi mbalimbali hasa zile zisizofuata na kwenda sambamba na sera na mitazamo yake.

  • Khumsi (moja ya tano) ya uchumi wa dunia yawekewa vikwazo na Marekani

    Khumsi (moja ya tano) ya uchumi wa dunia yawekewa vikwazo na Marekani

    Jul 27, 2023 04:07

    Licha ya kuwa vikwazo dhidi ya nchi mbalimbali dfuniani ni mbinu ambayo imekuwa ikitumiwa kwa miaka mingi na viongozi wa Marekani kwa ajili ya kuzishinikiza nchi tofauti kufuata siasa zao za ubabe, lakini mbinu hii imekuwa na matokeo hasi kwa Washington katika kipindi cha muda mrefu.

  • Russia: Dunia haiwezi tena kuvumilia sera za kutii amri za Marekani

    Russia: Dunia haiwezi tena kuvumilia sera za kutii amri za Marekani

    Jul 25, 2023 03:38

    Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia amesema dunia ya sasa haivumilii tena sera za kufuata amri za Marekani na inaelekea kwenye mfumo wa kambi kadhaa, mchakato ambao haukubaliwi na nchi za Magharibi.

  • Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia: Marekani inahusika katika uhalifu wa mauaji ya mwandishi habari Mrussia

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia: Marekani inahusika katika uhalifu wa mauaji ya mwandishi habari Mrussia

    Jul 24, 2023 07:34

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Russia amesema Marekani inahusika katika uhalifu mpya wa Ukraine wa mauaji ya mwandishi wa habari wa Russia kwa kutuma mabomu ya vishada nchini Ukraine kwa kisingizio cha vita nchini humo.

  • Waziri Mkuu wa Hungary: Marekani haikubali kuwa imeshindwa na China, inaweza ikaanzisha vita

    Waziri Mkuu wa Hungary: Marekani haikubali kuwa imeshindwa na China, inaweza ikaanzisha vita

    Jul 23, 2023 09:54

    Waziri Mkuu wa Hungary Viktor Orban ametoa tahadhari kuhusu kile alichokiita vita "visivyoweza kuepukika" kutokea kati ya Washington na Beijing kwa sababu Marekani inasitasita kukubali kuwa China ndilo dola lenye nguvu zaidi kwa sasa.

  • Taliban: Hatuhitaji kufanya mazungumzo wala kuwa na ushirikiano wowote na Marekani

    Taliban: Hatuhitaji kufanya mazungumzo wala kuwa na ushirikiano wowote na Marekani

    Jul 22, 2023 22:47

    Waziri wa Ulinzi wa serikali ya Taliban amekanusha madai ya kuwepo mtandao wa Al-Qaeda nchini Afghanistan na kusema, "sisi hatuhitaji kufanya mazungumzo yoyote au kuwa na ushirikiano wowote na Marekani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS