Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Mshukiwa wa mauaji ya makumi ya wanawake Kenya atoroka gerezani

    Mshukiwa wa mauaji ya makumi ya wanawake Kenya atoroka gerezani

    Aug 20, 2024 12:01

    Raia wa Kenya aliyekiri kuhusika na mauaji ya wanawake 42 ambao baadhi yao miili yao ilipatikana imetupwa katika eneo la kutupa taka jijini Nairobi, ametoroka gerezani.

  • Mwana wa kiume wa Haniya: Wapalestina watapambana mpaka wapate uhuru wao

    Mwana wa kiume wa Haniya: Wapalestina watapambana mpaka wapate uhuru wao

    Aug 01, 2024 03:15

    Mwana wa kiume wa Shahidi Ismail Haniya, Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu wa Palestina HAMAS ambaye aliuawa katika shambulizi lililofanywa katika mji mkuu wa Iran Tehran, ameapa kuwa Wapalestina "watapambana mpaka wapate uhuru wao."

  • Kanusho la Iran kwa madai ya uwongo ya Marekani ya kuhusika katika jaribio la kumuua Trump

    Kanusho la Iran kwa madai ya uwongo ya Marekani ya kuhusika katika jaribio la kumuua Trump

    Jul 18, 2024 10:40

    Baada ya tukio la kupigwa risasi Donald Trump, rais wa zamani na mgombea wa chama cha Republican katika uchaguzi wa rais wa Marekani wa 2024, baadhi ya vyombo vya habari vya Marekani kwa mara nyingine vikiendeleza propaganda za chuki dhidi ya Iran (Iranphobia) vilidai kuweko mkono wa Iran katika tukio hilo.

  • Iran yakanusha madai ya uwongo ya kuhusika katika jaribio la kumuua Trump

    Iran yakanusha madai ya uwongo ya kuhusika katika jaribio la kumuua Trump

    Jul 17, 2024 07:28

    Akijibu baadhi ya ripoti zisizo na msingi zinazodai kuwa Iran imeshiriki katika jaribio la kumuua Donald Trump, rais wa zamani wa Marekani, Mwakilishi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesema kuwa tuhuma hizo hazina msingi wowote na kwamba ni za kichochezi.

  • Watu 40 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Mali

    Watu 40 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Mali

    Jul 03, 2024 06:44

    Makumi ya watu wameuawa katika shambulio la genge la wabeba silaha, lililolenga kijiji kimoja cha katikati mwa Mali.

  • Wakulima 30 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Nigeria

    Wakulima 30 wauawa katika shambulio la wabeba silaha Nigeria

    May 11, 2024 11:46

    Kwa akali wakulima 30 wameuawa katika shambulizi la genge la wabeba silaha katika jimbo la Zamfara, kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • Hamas: Kuanzisha maeneo ya kunyonga watu huko Gaza ni uhalifu wa kikatili wa kivita

    Hamas: Kuanzisha maeneo ya kunyonga watu huko Gaza ni uhalifu wa kikatili wa kivita

    Apr 01, 2024 11:22

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imesema kwamba, kilichofichuliwa na vyombo vya habari vya Israel kuhusu hatua ya jeshi la utawala huo ya kuanzishwa "maeneo ya kunyonga watu" katika Ukanda wa Gaza, ambapo mtu yeyote anayetembea katika maeneo hayo anauawa, ni jinai ya kikatili ya kivita.

  • Taharuki yatanda Sudan Kusini baada ya watu 15 kuuawa Pibor

    Taharuki yatanda Sudan Kusini baada ya watu 15 kuuawa Pibor

    Mar 21, 2024 02:54

    Hali ya wasi wasi imetanda nchini Sudan Kusini kufuatia mauaji ya watu 15 yaliyotokea katika eneo la Pibor, mashariki mwa nchi hiyo.

  • Waislamu wakosoa kutoakisiwa mauaji ya makumi msikitini Burkina Faso

    Waislamu wakosoa kutoakisiwa mauaji ya makumi msikitini Burkina Faso

    Feb 27, 2024 07:28

    Makumi ya waumini wa Kiislamu waliuawa katika shambulizi dhidi ya msikiti nchini Burkina Faso, siku ambayo watu 15 waliuawa pia katika hujuma nyingine dhidi ya kanisa nchini humo.

  • Imam wa Swala ya Jamaa Marekani auawa kwa kupigwa risasi

    Imam wa Swala ya Jamaa Marekani auawa kwa kupigwa risasi

    Jan 05, 2024 07:46

    Imamu wa Msikiti wa Muhammad huko Newark, katika jimbo la New Jersey nchini Marekani ameuawa kwa kupigwa risasi mbele ya msikiti huo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS