Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • UN: Watu 183 wameuawa katika mapigano Amhara, Ethiopia

    UN: Watu 183 wameuawa katika mapigano Amhara, Ethiopia

    Aug 30, 2023 08:16

    Umoja wa Mataifa umesema kwa akali watu 183 wameuawa katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa katika eneo la Amhara kaskazini mwa Ethiopia.

  • Watu 16 wauawa katika mashambulizi mapya Khartoum, Sudan

    Watu 16 wauawa katika mashambulizi mapya Khartoum, Sudan

    Jul 26, 2023 06:11

    Watu wasiopungua 16 wameuawa katika mashambulizi mapya ya anga na ardhini viungani mwa Khartoum, mji mkuu wa Sudan.

  • Watu 17 wauawa katika mashambulizi ya kigaidi ya ISIS nchini Mali

    Watu 17 wauawa katika mashambulizi ya kigaidi ya ISIS nchini Mali

    Jun 30, 2023 03:23

    Raia wasiopungua 17 wameuawa katika mashambulizi mawili yaliyofanywa na wanachama wenye mfungamano na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) katika eneo la Gao, kaskazini mwa Mali.

  • Afisa wa UN: Watu 600 wameuawa DRC ndani ya miezi 3

    Afisa wa UN: Watu 600 wameuawa DRC ndani ya miezi 3

    Jun 27, 2023 06:56

    Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa barani Afrika amesema kwa akali watu 600 wameuawa katika mashambulizi ya magenge yanayobeba silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.

  • Biden: Kesi za ufyatuaji risasi zinaripotiwa kila siku nchini Marekani

    Biden: Kesi za ufyatuaji risasi zinaripotiwa kila siku nchini Marekani

    Jun 17, 2023 11:06

    Rais Joe Binden wa Marekani ameungama na kusema kwamba, matukio ya ufyatuaji risasi na mauaji ya halaiki kwa silaha za moto yameongezeka kwa kiasi cha kutisha nchini humo.

  • Kana'ani Chafi: Kuuawa Wapalestina limekuwa jambo la kawaida la kila siku kwa Wazayuni

    Kana'ani Chafi: Kuuawa Wapalestina limekuwa jambo la kawaida la kila siku kwa Wazayuni

    May 08, 2023 06:28

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, matokeo ya kimya cha wanaodai kuwa watetezi wa haki za binadamu kuhusiana na mauaji dhidi ya Wapalestina kumefanya kuuawa Wapalestina hao kuwa jambo la kawaida na la kila siku la Wazayuni.

  • Watu 6, wakiwemo watoto 3 wauawa kwa kupigwa risasi shuleni Marekani

    Watu 6, wakiwemo watoto 3 wauawa kwa kupigwa risasi shuleni Marekani

    Mar 28, 2023 07:17

    Watu sita wakiwemo wanafunzi watatu wameuawa kwa kupigwa risasi wakiwa shuleni katika mji wa Nashville, jimbo la Tennessee kusini mwa Marekani.

  • Raia 12 wauawa katika shambulizi la wabeba silaha nchini Mali

    Raia 12 wauawa katika shambulizi la wabeba silaha nchini Mali

    Feb 25, 2023 02:43

    Kwa akali raia 12 wameuawa katika shambulizi la watu waliojizatiti kwa silaha katikati ya Mali.

  • Mapigano yashtadi Somaliland, waliouawa wapindukia 70

    Mapigano yashtadi Somaliland, waliouawa wapindukia 70

    Feb 09, 2023 12:05

    Idadi ya watu waliouawa katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa kwa siku ya nne hii leo katika mji wa Las Anod, mashariki mwa eneo la Somaliland nchini Somalia imeongezeka na kufikia watu 70.

  • Watu 40 wauawa katika mapigano jimboni Katsina, Nigeria

    Watu 40 wauawa katika mapigano jimboni Katsina, Nigeria

    Feb 04, 2023 07:26

    Watu zaidi ya 40 wameuawa katika mapigano baina ya kundi la wabeba silaha na wanakijiji waliojitolea kulinda usalama katika jimbo la Katsina, kaskazini mwa Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS