-
UN: Watu 183 wameuawa katika mapigano Amhara, Ethiopia
Aug 30, 2023 08:16Umoja wa Mataifa umesema kwa akali watu 183 wameuawa katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa katika eneo la Amhara kaskazini mwa Ethiopia.
-
Watu 16 wauawa katika mashambulizi mapya Khartoum, Sudan
Jul 26, 2023 06:11Watu wasiopungua 16 wameuawa katika mashambulizi mapya ya anga na ardhini viungani mwa Khartoum, mji mkuu wa Sudan.
-
Watu 17 wauawa katika mashambulizi ya kigaidi ya ISIS nchini Mali
Jun 30, 2023 03:23Raia wasiopungua 17 wameuawa katika mashambulizi mawili yaliyofanywa na wanachama wenye mfungamano na kundi la kigaidi la ISIS (Daesh) katika eneo la Gao, kaskazini mwa Mali.
-
Afisa wa UN: Watu 600 wameuawa DRC ndani ya miezi 3
Jun 27, 2023 06:56Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa barani Afrika amesema kwa akali watu 600 wameuawa katika mashambulizi ya magenge yanayobeba silaha mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo katika kipindi cha miezi mitatu iliyopita.
-
Biden: Kesi za ufyatuaji risasi zinaripotiwa kila siku nchini Marekani
Jun 17, 2023 11:06Rais Joe Binden wa Marekani ameungama na kusema kwamba, matukio ya ufyatuaji risasi na mauaji ya halaiki kwa silaha za moto yameongezeka kwa kiasi cha kutisha nchini humo.
-
Kana'ani Chafi: Kuuawa Wapalestina limekuwa jambo la kawaida la kila siku kwa Wazayuni
May 08, 2023 06:28Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, matokeo ya kimya cha wanaodai kuwa watetezi wa haki za binadamu kuhusiana na mauaji dhidi ya Wapalestina kumefanya kuuawa Wapalestina hao kuwa jambo la kawaida na la kila siku la Wazayuni.
-
Watu 6, wakiwemo watoto 3 wauawa kwa kupigwa risasi shuleni Marekani
Mar 28, 2023 07:17Watu sita wakiwemo wanafunzi watatu wameuawa kwa kupigwa risasi wakiwa shuleni katika mji wa Nashville, jimbo la Tennessee kusini mwa Marekani.
-
Raia 12 wauawa katika shambulizi la wabeba silaha nchini Mali
Feb 25, 2023 02:43Kwa akali raia 12 wameuawa katika shambulizi la watu waliojizatiti kwa silaha katikati ya Mali.
-
Mapigano yashtadi Somaliland, waliouawa wapindukia 70
Feb 09, 2023 12:05Idadi ya watu waliouawa katika mapigano yanayoendelea kushuhudiwa kwa siku ya nne hii leo katika mji wa Las Anod, mashariki mwa eneo la Somaliland nchini Somalia imeongezeka na kufikia watu 70.
-
Watu 40 wauawa katika mapigano jimboni Katsina, Nigeria
Feb 04, 2023 07:26Watu zaidi ya 40 wameuawa katika mapigano baina ya kundi la wabeba silaha na wanakijiji waliojitolea kulinda usalama katika jimbo la Katsina, kaskazini mwa Nigeria.