Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mauaji

  • Muhusika mkuu wa mauaji ya ndugu ya Katibu Mkuu wa Answarullah aangamizwa

    Muhusika mkuu wa mauaji ya ndugu ya Katibu Mkuu wa Answarullah aangamizwa

    Sep 11, 2019 23:46

    Wizara ya Mambo ya Ndani ya Serikali ya Wokovo wa Kitaifa nchini Yemen imesema kuwa, Mohammad Ali Ghayd Zawi, muhusika mkuu wa mauaji ya Ibrahim Badruddin Al Houthi, ndugu ya Katibu Mkuu wa Harakati ya Wananchi ya Answarullah nchini Yemen ameangamizwa.

  • Afrika Kusini yakiri:

    Afrika Kusini yakiri: "Afrophobia" inahusika katika hujuma zinazowalenga raia wa kigeni

    Sep 05, 2019 08:16

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Afrika Kusini amesema kuwa tabia ya kujichukulia sheria mkononi dhdi ya raia wa nchi nyingine za Afrika wanaoishi nchini humo ni moja kati ya sababu za mashambulizi na hujuma zinazowalenga wafanyabiashara wa nchi za kigeni katika miji mbalimbali ya nchi hiyo.

  • Vinara wa jaribio la mapinduzi Burkina Faso wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

    Vinara wa jaribio la mapinduzi Burkina Faso wahukumiwa kifungo cha miaka 20 jela

    Sep 02, 2019 22:37

    Waitifaki wawili wakubwa wa rais aliyeondolewa madarakani nchini Burkina Faso, Blaise Compaore, wamehukumiwa vifungo vya hadi miaka 20 jela kwa kupatikana na hatia ya kupanga mapinduzi ya mwaka 2015 dhidi ya serikali ya mpito nchini humo.

  • Yemen yawakamata mamluki waliomuua Ibrahim al Houthi

    Yemen yawakamata mamluki waliomuua Ibrahim al Houthi

    Aug 10, 2019 03:10

    Idara za intelijensia nchini Yemen zimefanikiwa kuwakamata mamluki waliomuua Ibrahim Badreddin al Houthi, kaka yake Katibu Mkuu wa Harakati ya Ansarullah.

  • FBI yatahadharisha, wapinzani wa utawala wa Saudia wako hatarini kuuawa

    FBI yatahadharisha, wapinzani wa utawala wa Saudia wako hatarini kuuawa

    Jul 13, 2019 21:48

    Polisi ya Federali nchini Marekani FBI imetahadharisha kwamba, wapinzani wa utawala wa kifalme wa Saudi Arabia na jamaa wa Jamal Khashoggi wanakabiliwa na hatari ya kuuawa.

  • Wanajeshi 18 wa Niger wauawa katika hujuma dhidi ya kambi yao

    Wanajeshi 18 wa Niger wauawa katika hujuma dhidi ya kambi yao

    Jul 02, 2019 07:30

    Kwa akali askari 18 wameuawa baada ya watu waliojizatiti kwa silaha kushambulia kambi ya jeshi magharibi mwa Niger.

  • Maduro: Jaribio lililofeli la kutaka kuniua liligharimu dola milioni 20

    Maduro: Jaribio lililofeli la kutaka kuniua liligharimu dola milioni 20

    Jun 19, 2019 22:14

    Rais wa Venezuela amemtuhumu mbunge mmoja wa upinzani kwa kuiba kitita kikubwa cha fedha ili kutekeleza njama ya mauaji dhidi yake mwezi Agosti mwaka jana.

  • Waandamanaji waliouawa na maafisa usalama Sudan wapindukia 108

    Waandamanaji waliouawa na maafisa usalama Sudan wapindukia 108

    Jun 06, 2019 02:07

    Idadi ya watu waliouawa katika wimbi jipya la ukatili na utumiaji wa nguvu kupita kisiasa wa maafisa usalama wa Sudan dhidi ya waandamanaji wanaotaka kukabidhiwa madaraka kwa utawala wa kiraia imepindukia watu 100.

  • Mchumba wa Khashoggi akosoa kimya cha Marekani kwa mauaji ya mwanahabari huyo wa Saudia

    Mchumba wa Khashoggi akosoa kimya cha Marekani kwa mauaji ya mwanahabari huyo wa Saudia

    May 17, 2019 02:56

    Mchumba wa Jamal Khashoggi, mwandishi habari mkosoaji wa utawala wa Aal-Saud aliyeuawa ndani ya ubalozi mdogo wa Saudi Arabia mjini Istanbul, Uturuki mwaka jana ameitaka Marekani kuanzisha uchunguzi wa mauaji ya kutisha ya mpenzi wake huyo ambaye alikuwa amepanga kufunga naye ndoa kabla ya kuuawa.

  • UN: Watu 56 wameuawa katika mapigano yanayoendelea Libya

    UN: Watu 56 wameuawa katika mapigano yanayoendelea Libya

    Apr 11, 2019 09:28

    Umoja wa Mataifa umesema mapigano kati ya vikosi vya Serikali ya Maafikiano ya Kitaifa na vile vinavyoongozwa na Jenerali Khalifa Haftar nchini Libya yamesababisha watu 56 kupoteza maisha kufikia sasa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS