Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Mauaji ya Kimbari

  • Mwakilishi wa Afrika Kusini ICJ: Israel imefanya mauaji ya kimbari Gaza

    Mwakilishi wa Afrika Kusini ICJ: Israel imefanya mauaji ya kimbari Gaza

    Feb 21, 2024 07:48

    Mwakilishi wa Afrika Kusini katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) ametangaza kuwa, uvamizi na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza yanatisha zaidi kuliko mfumo wa ubaguzi wa rangi, apartheid.

  • Askari katili wa Israel wamuua baba na mama Wapalestina mbele ya watoto wao wadogo

    Askari katili wa Israel wamuua baba na mama Wapalestina mbele ya watoto wao wadogo

    Feb 15, 2024 23:55

    Katika muendelezo wa mauaji ya kimbari dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina katika Ukanda wa Ghazza, askari wa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel wamewaua kwa kuwapiga risasi wazazi wa watoto kadhaa wa Kipalestina mbele ya macho yao.

  • Maoni: Wamarekani wanaamini Israel imefanya mauaji ya kimbari Gaza

    Maoni: Wamarekani wanaamini Israel imefanya mauaji ya kimbari Gaza

    Feb 08, 2024 23:03

    Nusu ya Wamarekani wanaamini kuwa, kumefanyika mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza huko Palestina.

  • Mahakama ya ICJ yaionya Israel na kuitaka iache kufanya mauaji ya kimbari Gaza

    Mahakama ya ICJ yaionya Israel na kuitaka iache kufanya mauaji ya kimbari Gaza

    Jan 26, 2024 23:09

    Mahakama ya Kimataifa ya Haki (ICJ) imeiamuru Israel iache vitendo vya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina, na kuchukua hatua za kuwasaidia raia.

  • Kesi iliyofunguliwa na A/Kusini dhidi ya Israel yaendelea kuungwa mkono

    Kesi iliyofunguliwa na A/Kusini dhidi ya Israel yaendelea kuungwa mkono

    Jan 21, 2024 23:28

    Kwa mara nyingine tena, Ubelgiji imejiunga kwenye safu ndefu ya waungaji mkono wa hatua ya Afrika ya Kusini ya kufungua kesi dhidi ya utawala wa Kizayuni wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ kutokana na jinai zake za kupindukia dhidi ya watoto wachanga, wanawake, vizee na watu wa kawaida huko Ghaza.

  • Namibia yaikumbusha Ujerumani kwamba ilifanya mauaji ya kwanza ya kimbari ya karne ya 20

    Namibia yaikumbusha Ujerumani kwamba ilifanya mauaji ya kwanza ya kimbari ya karne ya 20

    Jan 14, 2024 09:43

    Namibia imepinga uungaji mkono wa Ujerumani kwa msimamo wa Israel katika Mahakama ya Kimataifa ya Haki, (ICJ) ambapo inakabiliwa na mashtaka ya mauaji ya kimbari dhidi ya Wapalestina katika Ukanda wa Gaza.

  • DCI: Mwaka 2023 ndio mwaka umbaya zaidi kwa watoto wa Kipalestina

    DCI: Mwaka 2023 ndio mwaka umbaya zaidi kwa watoto wa Kipalestina

    Jan 11, 2024 23:14

    Kundi la kimataifa linalofanya kazi katika uwanja wa kulinda watoto duniani limeutaja mwaka 2023 kuwa mwaka wa mauaji ya kimbari ya watoto wa Kipalestina huko Gaza.

  • Wananchi wa Uingereza wataka kufukuzwa balozi wa Israel mjini London

    Wananchi wa Uingereza wataka kufukuzwa balozi wa Israel mjini London

    Jan 09, 2024 04:18

    Wananchi wa Uingereza wametia saini waraka, wakitaka kufukuzwa balozi wa utawala wa Kizayuni wa Israel mjini London kwa sababu ya kuunga mkono mauaji ya kimbari katika Ukanda wa Gaza.

  • Sisitizo la Umoja wa Mataifa kuwa kuhamishwa kwa nguvu wakazi wa Gaza ni sawa na mauaji ya halaiki

    Sisitizo la Umoja wa Mataifa kuwa kuhamishwa kwa nguvu wakazi wa Gaza ni sawa na mauaji ya halaiki

    Jan 04, 2024 08:00

    Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa siku ya Jumatano alisema kuwa kuhamishwa kwa nguvu na kufukuzwa watu wa Gaza ni "mauaji ya halaiki" na kuzionya nchi zisishiriki katika hatua hiyo ya kijinai.

  • Umoja wa Mataifa: Kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Gaza ni sawa na mauaji ya kizazi

    Umoja wa Mataifa: Kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Gaza ni sawa na mauaji ya kizazi

    Jan 04, 2024 07:41

    Umoja wa Mataifa umetangaza kuwa, unapinga kile kinachoonekana kama mpango wa kutaka kuwahamisha kwa nguvu Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, hatua haina tofauti na mauaji ya kimbari.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS