-
"Kura ya maoni ya kujitenga Kurdistan ni hatari kwa umoja wa Iraq"
Sep 15, 2017 09:42Sayyid Ammar Al-Hakim, kiongozi wa Muungano wa Kitaifa, ambao ni mrengo mkubwa zaidi wa kisiasa nchini Iraq ametahadharisha juu ya taathira hasi ya kufanyika kura ya maoni ya kujitenga eneo la Kurdistan, akisisitiza kuwa, kitendo hicho hakitakuwa na tija nyingine ghairi ya kuhatarisha usalama, amani na umoja wa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Kuanza tena mazungumzo ya amani baina ya serikali ya Mali na waasi
Jun 25, 2017 23:03Serikali ya Mali na makundi ya waasi nchini humo wamenza tena ya mazungumzo ya amani kutokana na kuongezeka kwa machafuko na ukosefu wa amani katika nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Duru mpya ya mazungumzo ya Syria na taathira ya hatua za kijeshi za Marekani
May 04, 2017 10:36Duru ya nne ya mazungumzo ya mjini Astana, Kazakhstan ilianza Jumatano ya jana. Duru hiyo ya mazungumzo ya Syria imefanyika huku yakishuhudiwa mabadiliko madogo kwa upande wa washiriki.
-
Mkutano wa kusaka amani Syria unafanyika Tehran
Apr 17, 2017 23:22Mkutano wa wataalamu kuhusu mazungumzo ya amani Syria unafanyika leo mjini Tehran, Iran katika fremu ya mchakato wa amani wa Astana, Kazakhstan.
-
Juhudi za Rais wa Sudan Kusini za kurejesha amani nchini
Feb 22, 2017 04:24Rais wa Sudan Kusini ameyatolea mwito makundi ya kisiasa nchini humo kujiunga na mazungumzo ya kitaifa.
-
Serikali ya Syria: Tuko tayari kwa ajili ya mazungumzo na wapinzani
Jul 24, 2016 23:46Serikali ya Syria imetangaza kuwa, iko tayari kwa ajili ya kuendelea na mazungumzo na makundi ya wanamgambo kwa shabaha ya kurejesha amani nchini humo na kuhitimisha vita vya miaka 5 katika nchi hiyo.
-
Kutokuwa na natija duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi
Jul 14, 2016 02:50Duru mpya ya mazungumzo ya amani ya Burundi kwa usimamizi wa Rais mstaafu wa Tanzania Benjamin Mkapa imeshindwa kuwa na matunda kutokana na makundi ya upinzani kulalamikia kushiriki katika mazungumzo hayo viongozi kadhaa wa serikali ya Bujumbura.
-
Waziri wa zamani wa Burundi katika EAC auawa Bujumbura
Jul 13, 2016 10:53Waziri wa zamani wa Burundi katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Hafsa Mossi ameuawa kwa kufyatuliwa risasi nje ya nyumba yake mjini Bujumbura.
-
Kabila ataka mazungumzo ya kitaifa yaanze mara moja
Jun 30, 2016 03:26Rais Joseph Kabila wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo ametoa wito wa kuanza mazungumzo ya kitaifa mara moja ili kuutafutua ufumbuzi mgogoro wa kisiasa nchini humo.
-
Upinzani wa Israel kwa mpango wa amani wa Waarabu
Jun 14, 2016 03:34Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesisitiza kwa mara nyengine tena kuwa anapinga mpango wa amani uliopendekezwa na nchi za Kiarabu.