Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

mbaroni

  • Utawala wa Aal Khalifa waendelea kuwakamata vijana wa Bahrain

    Utawala wa Aal Khalifa waendelea kuwakamata vijana wa Bahrain

    Jun 15, 2023 11:47

    Utawala wa Aal Khalifa nchini Bahrain unaendelea kuwakamata kiholela vijana wa kiume na kike wa nchi hiyo katika maeneo tofauti ya nchi kwa sababu za kisiasa.

  • Kutiwa nguvuni Rached Ghannouchi kiongozi wa Chama cha Kiislamu cha Ennahdha cha Tunisia

    Kutiwa nguvuni Rached Ghannouchi kiongozi wa Chama cha Kiislamu cha Ennahdha cha Tunisia

    Apr 19, 2023 11:23

    Chama cha Kiislamu cha Ennahdha nchini Tunisia Jumatatu wiki hii kilitangaza kuwa askari usalama wamemtia mbaroni Rached Ghannouchi mkuu wa chama hicho baada ya kuivamia nyumba yake katika mji mkuu wa nchi hiyo, Tunis.

  • Undumakuwili wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kuhusu jinai za kivita

    Undumakuwili wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC kuhusu jinai za kivita

    Mar 19, 2023 07:41

    Mahakama ya Kimataifa ya Jinai ICC, ambayo inajiona kuwa mahakama ya kwanza ya kudumu ya kimataifa inayoshughulikia uhalifu wa mauaji ya halaiki, jinai dhidi ya binadamu, jinai za kivita na uchokozi, Ijumaa iliyopita ilitoa waranti wa kimataifa wa kukamatwa Rais Vladmir Putin wa Russia.

  • Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Walowezi wa Kizayuni wavamia tena msikiti wa al-Aqswa

    Dec 14, 2022 07:50

    Makumi ya walowezi wa Kizayuni wameuvamia tena Msikiti wa al-Aqswa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu na kuuvunjia heshima msikiti huo mtakatifu.

  • Sanad yalaani kuongezeka hukumu za kikatili nchini Saudi Arabia

    Sanad yalaani kuongezeka hukumu za kikatili nchini Saudi Arabia

    Oct 02, 2022 02:14

    Shirika la kutetea haki za binadamu la "Sanad" limetangaza kuwa kumeshuhudiwa ongezeko la kukamatwa wakosoaji na hukumu za kikatili na kidhalimu nchini Saudi Arabia katika kipindi cha hivi karibuni.

  • Makumi ya viongozi wa serikali ya Saudia watiwa mbaroni kwa kula rushwa

    Makumi ya viongozi wa serikali ya Saudia watiwa mbaroni kwa kula rushwa

    Jul 31, 2022 07:25

    Serikali ya Saudi Arabia imewatia mbaroni maafisa 78 wa serikali kwa tuhuma za ufisadi, kula rushwa, utapeli, kutakatisha fedha na kutumia vibaya madaraka yao.

  • HAMAS: Kukamata kiholela Wapalestina hakuwezi kulifanya taifa la Palestina liache kupambana na Wazayuni

    HAMAS: Kukamata kiholela Wapalestina hakuwezi kulifanya taifa la Palestina liache kupambana na Wazayuni

    Feb 24, 2022 08:05

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS imesisitiza katika taarifa yake kwamba, operesheni ya kuwakamata kiholela Wapalestina katu haiwezi kulifanya taifa la Palestina liachane na mapambano yake dhidi ya Wazayuni maghasibu wanaozikalia kwa mabavu ardhi za Palestina.

  • Utawala ghasibu wa Kizayuni washadidisha kamatamata dhidi ya raia wa Palestina

    Utawala ghasibu wa Kizayuni washadidisha kamatamata dhidi ya raia wa Palestina

    Jan 19, 2022 10:23

    Wazayuni maghasibu wamebomoa nyumba kadhaa za raia wa Palestina na kuwatia mbaroni Wapalestina 27 ikiwa ni katika kuendelea uadui na chuki za utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wakazi wa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Saudia kuwanyonga wafungwa 41, jumuiya za kimataifa zapaza sauti kupinga

    Saudia kuwanyonga wafungwa 41, jumuiya za kimataifa zapaza sauti kupinga

    Sep 19, 2021 16:33

    Wafungwa 41 wanaoshikiliwa katika jela za Saudi Arabia wamehukumiwa kifo baada ya mahakama za nchi hiyo kutoa hukumu za kidhalimu dhidi ya wafungwa hao.

  • Ijumaa tarehe 25 Jun 2021

    Ijumaa tarehe 25 Jun 2021

    Jun 25, 2021 03:27

    Leo ni Ijumaa tarehe 14 Dhulqaada 1442 Hijria inayosadifiana na tarehe 25 Juni mwaka 2021.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS