-
Kiongozi Muadhamu: Iran inakaribisha kuhuishwa uhusiano wake na Misri
May 29, 2023 11:32Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei amesema Iran inakaribisha azma ya kufufuliwa uhusiano wake na Misri.
-
Wanachama 14 wa Ikhwanul-Muslimin ya Misri wahukumiwa kifungo cha maisha jela
May 22, 2023 09:26Mahakama moja nchini Misri, imemhukumu Hamza Zouba, mkuu wa kamati ya habari ya Harakati ya Ikhwanul-Muslimin na wajumbe 13 wa kamati hiyo kifungo cha maisha jela, sambamba na kutoa hukumu ya kifungo cha miaka 15 jela kwa wanachama wengine watatu wa harakati hiyo ya Kiislamu.
-
Kupuuza Misri takwa la Marekani dhidi ya Russia; ishara ya kufifia ushawishi wa Marekani
May 14, 2023 13:58Gazeti la Wall Street Journal limetangaza kuwa, Misri imepuuzilia mbali takwa la Marekani kwa nchi hiyo la kutoruhusu ndege za kijeshi za Russia kupita katika anga yake.
-
Al-Azhar yawataka Waislamu kuulinda Msikiti wa Al-Aqsa
Apr 09, 2023 11:28Taasisi ya Al-Azhar ya Misri imetoa wito kwa Waislamu wote kuulinda na kuutetea Msikiti wa Al-Aqsa huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Gazeti la Wall Street: Syria na Misri zinakaribia kurejesha uhusiano wa kidiplomasia
Apr 02, 2023 10:50Duru za kuaminika zimelidokeza gazeti la Wall Street (WSJ) linalochapishwa nchini Marekani kwamba Syria na Misri ziko katika mazungumzo ya ngazi ya juu ya kurejesha uhusiano wa kidiplomasia ambao ulivunjwa baada ya kuzuka mgogoro nchini Syria mnamo mwaka 2011.
-
Mwanaharakati wa Misri akamatwa Saudia akifanya Umra
Mar 31, 2023 02:10Vyombo vya usalama vya Saudi Arabia vimeripotiwa kumtia mbaroni mwanaharakati mashuhuri wa Misri, akifanya ibada ya Umra katika mji mtukufu wa Makka.
-
Ijumaa, tarehe 31 Machi, 2023
Mar 31, 2023 02:08Leo ni Ijumaa tarehe 9 Ramadhani 1444 Hijria sawa na Machi 31 mwaka 2023.
-
Rais wa Misri awaonya wanaolalamikia hali mbaya ya kiuchumi na kisiasa ya nchi hiyo
Mar 11, 2023 07:26Rais Abdel Fattah al-Sisi wa Misri ameonya kuhusu matokeo hasi dhidi ya maandamano yoyote yatakayofanywa kulalamikia hali ya kiuchumi na kisiasa ya nchi hiyo.
-
Jumanne, tarehe 28 Februari, 2023
Feb 28, 2023 02:22Leo ni Jumanne tarehe 7 Shaaban 1444 Hijria inayosadifiana na tarehe 28 Februari mwaka 2023.
-
Rais Bashar al Assad aonana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri mjini Damascus
Feb 28, 2023 02:19Rais Bashar al Assad wa Syria, jana Jumatatu alionana na Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri Sameh Shoukry, ambaye ametembelea Damascus kwa ziara ya kikazi, ikiwa ni mkondo mpya wa kurejea nchi za Kiarabu nchini Syria.