Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Misri

  • Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai

    Jeshi la Misri laangamiza wanachama 24 wa Daesh eneo la Sinai

    Oct 16, 2017 04:32

    Jeshi la Misri limetangaza habari ya kuwaua wanachama 24 wa kundi la kigaidi na kitakfiri la Daesh (ISIS) katika Peninsula ya Sinai, kaskazini mwa nchi.

  • Wanajeshi sita wa Misri wauawa katika shambulio la kigaidi Sinai

    Wanajeshi sita wa Misri wauawa katika shambulio la kigaidi Sinai

    Oct 13, 2017 11:20

    Watu wanaoaminika kuwa magaidi wakufurishaji wamewapiga risasi na kuwaua wanajeshi sita wa Misri katika eneo lililokumbwa na misukosuko la Rasi ya Sinai, kaskazini mwa nchi hiyo.

  • Misri yarefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi 3

    Misri yarefusha muda wa hali ya hatari kwa miezi 3

    Oct 12, 2017 10:36

    Kwa mara nyingine tena serikali ya Misri imeongeza muda wa sheria ya hali ya hatari nchini humo kwa miezi mitatu mingine.

  • Ijumaa tarehe 6 Oktoba, 2017

    Ijumaa tarehe 6 Oktoba, 2017

    Oct 05, 2017 23:03

    Leo ni Ijumaa tarehe 15 Muharram 1439 Hijria sawa na Oktoba 6, 2017.

  • Kiongozi wa zamani wa Ikhwanul Muslimin afariki dunia

    Kiongozi wa zamani wa Ikhwanul Muslimin afariki dunia

    Sep 23, 2017 04:16

    Kiongozi mkuu wa zamani wa Harakati ya Ikhwanul Muslimin Mohammad Mahdi Akef, ameaga dunia Ijumaa mjini Cairo akiwa na umri wa miaka 89.

  • Misri: Kuna ulazima wa kutekeleza matakwa yaliyowasilishwa kwa Qatar

    Misri: Kuna ulazima wa kutekeleza matakwa yaliyowasilishwa kwa Qatar

    Sep 19, 2017 03:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Misri amesema kuwa nchi nne zilizoiwekea vikwazo Qatar ziko tayari kutatua mgogoro wa kisiasa wa nchi hiyo.

  • Muhammad Mursi ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kushirikiana na Qatar

    Muhammad Mursi ahukumiwa kifungo cha maisha jela kwa kushirikiana na Qatar

    Sep 16, 2017 23:40

    Mahakama moja nchini Misri imemuhukumu rais wa zamani wa Misri, Muhammad Mursi kifungo cha maisha jela.

  • Wamisri wataka wapinzani wa serikali ya Syria wafukuzwe nchini kwao

    Wamisri wataka wapinzani wa serikali ya Syria wafukuzwe nchini kwao

    Sep 12, 2017 10:29

    Wananchi wa Misri wameitaka serikali ya nchi hiyo kuwatimua wapinzani wa serikali ya Syria walioko nchini humo.

  • Askari polisi 18 wa Misri wauawa Sinai; IS yatangaza kuhusika

    Askari polisi 18 wa Misri wauawa Sinai; IS yatangaza kuhusika

    Sep 11, 2017 11:16

    Askari polisi wasiopungua 18 wa Misri wameuawa na wengine kadhaa wamejeruhiwa wakati bomu liliporipuka karibu na msafara wa kikosi cha usalama katika Rasi ya Sinai kaskazini mwa nchi hiyo leo.

  • UN: Mateso yaliyoratibiwa yanafanyika katika jela za Misri

    UN: Mateso yaliyoratibiwa yanafanyika katika jela za Misri

    Sep 08, 2017 12:26

    Kamati ya Kimataifa ya Kupambana na Mateso ya Umoja wa Mataifa imeripoti habari kuhusu mateso yaliyoratibiwa yanayofanyika nchini Misri.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS