Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • Qassemi: Tuhuma za Morocco dhidi ya Iran zinalenga kuufurahisha upande wa tatu

    Qassemi: Tuhuma za Morocco dhidi ya Iran zinalenga kuufurahisha upande wa tatu

    May 24, 2018 14:38

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema: kitendo cha viongozi wa Morocco cha kushupalia na kukariri madai ya uongo kwa ajili ya kuvunja uhusiano wa kidiplomasia na Iran na kuendelea kila mara kuzusha tuhuma zisizo na msingi hakufanyiki kwa lengo jengine zaidi ya kutaka kuzifurahisha baadhi ya pande za tatu.

  • Wananchi wa Morocco waandamana kulaani kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    Wananchi wa Morocco waandamana kulaani kuhamishiwa Quds ubalozi wa Marekani

    May 21, 2018 07:57

    Makumi ya maelfu ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika mji wa Dār al-Bayḍā (Casablanca) kulaani hatua ya Marekani ya kuuhamishia Quds ubalozi wake uliokuweko Tel Aviv, mji mkuu wa utawala pandikizi wa Israel.

  • UN yazitaka Morocco na Polisario kuvumiliana

    UN yazitaka Morocco na Polisario kuvumiliana

    May 20, 2018 14:22

    Mgogoro baina ya serikali ya Morocco na harakati ya Polisario inayopigania uhuru wa eneo la Sahara Magharibi umemlazimisha Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa kuzitaka pande hizo mbili kustahamiliana na zijiepushe na jambo lolote linaloweza kuzusha machafuko katika eneo hilo.

  • Qassemi: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA, itapata pigo kubwa

    Qassemi: Iwapo Marekani itajitoa katika JCPOA, itapata pigo kubwa

    May 07, 2018 15:29

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, iwapo Marekani itajitoa katika mapatano ya nyuklia yanayojulikana kwa kifupi kama JCPOA, basi madhara yake yataikumba Washington yenyewe kabla ya upande mwingine wowote.

  • Iran: Madai ya Morocco kuwa tunaiunga mkono Polisario hayana msingi

    Iran: Madai ya Morocco kuwa tunaiunga mkono Polisario hayana msingi

    May 02, 2018 15:24

    Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekadhibisha vikali madai yaliyotolewa na serikali ya Morocco kwamba Tehran inawapatia misaada wapiganaji wa harakati ya Polisario inayopigania kujitenga eneo la Sahara Magharibi.

  • Serikali ya Morocco yatoa sharti kwa POLISARIO la mazungumzo kwa ajili ya Sahara Magharibi

    Serikali ya Morocco yatoa sharti kwa POLISARIO la mazungumzo kwa ajili ya Sahara Magharibi

    Apr 28, 2018 16:12

    Mwakilishi wa Morocco katika Umoja wa Mataifa amesema Harakati ya Ukombozi wa Sahara Magharibi POLISARIO itaweza kushiriki kwenye mazungumzo na mchakato wa kisiasa kwa sharti kwamba iondoke kwenye eneo la uzio wa Sahara Magharibi.

  • Morocco yaondoa ndege zake za kivita katika muungano wa Saudia dhidi ya Yemen

    Morocco yaondoa ndege zake za kivita katika muungano wa Saudia dhidi ya Yemen

    Apr 16, 2018 04:11

    Morocco inapanga kuondoa ndege zake za kivita zilizoko katika muungano wa Saudi Arabia ambao umekuwa ukiihujumu Yemen kwa zaidi ya miaka mitatu sasa.

  • Spika wa Bunge la Morocco alaani ukatili wa Israel Ukanda wa Gaza

    Spika wa Bunge la Morocco alaani ukatili wa Israel Ukanda wa Gaza

    Apr 06, 2018 04:35

    Spika wa Bunge la Morocco amesema kuwa vitendo vya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina ni ukiukaji wa sheria za kimataifa.

  • Morocco yaitaka UN na Algeria kubeba dhima ya harakati za Polisario

    Morocco yaitaka UN na Algeria kubeba dhima ya harakati za Polisario

    Apr 05, 2018 07:36

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Morocco ameutaka Umoja wa Mataifa na taifa la Algeria kubeba dhima ya mashambulizi ya Harakati ya Kupigania Ukombozi wa Sahara Magharibi Polisario.

  • Morocco kuimarisha ulinzi mipakani kukabiliana na magendo ya binadamu na ugaidi

    Morocco kuimarisha ulinzi mipakani kukabiliana na magendo ya binadamu na ugaidi

    Feb 18, 2018 15:56

    Vyombo vya habari vya nchini Morocco vimetangaza kuwa, Rabat ina nia ya kuanzisha vituo 10 vipya vya kusimamia na kudhibiti maeneo ya mpakani mwa nchi hiyo na Algeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS