-
Ulimwengu wa Michezo: Morocco yatwaa taji la CHAN, Iran yazinyuka China na Myanmar Futsal
Feb 05, 2018 07:12Hujambo mpenzi mwanaspoti wa RT na karibu tutupie jicho matukio mawili matatu ya michezo yaliyogonga vichwa habari ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa....
-
Makumi ya miili ya wahajiri yapatikana katika pwani ya Morocco
Feb 04, 2018 16:35Serikali ya Uhispania imetangaza habari ya kupatikana kwa makumi ya maiti za wahajiri katika maji ya pwani ya Morocco.
-
Mpango wa kuwarejesha nyumbani wahajiri wa Morocco kutoka Libya kutekelezwa
Dec 17, 2017 14:22Wahajiri 236 raia wa Morocco wiki ijayo wataanza kurejea nchini kwao.
-
Afrika Kusini na Morocco kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia
Dec 03, 2017 14:33Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema nchi hiyo itafufua uhusiano wa kidiplomasia na Morocco, baada ya kupita zaidi ya muongo mmoja tangu nchi hiyo ya Kiarabu imuondoe balozi wake mjini Pretoria.
-
Mamia waandamana Morocco kutaka kuachiwa huru wanaharakati
Oct 09, 2017 08:13Mamia ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika mji mkuu wa kibiashara wa nchi hiyo Casablanca, kushinikiza kuachiwa huru wanaharati wa nchi hiyo waliokamatwa katika maandamano mengine mwaka mmoja uliopita katika mji mmoja ulioko kaskazini mwa nchi, ambao wakazi wake wanadai kutengwa na kubaguliwa.
-
Mfalme wa Morocco asisitiza kushiriki vyema nchi hiyo katika AU
Aug 21, 2017 15:48Mfalme Mohamed wa Sita wa Morocco amesema kuwa, kujiunga tena nchi hiyo katika Umoja wa Afrika (AU) ni hatua muhimu na yenye taathira.
-
Jumapili, 13 Agosti,, 2017
Aug 13, 2017 02:19Leo ni Jumapili tarehe 20 Dhul-Qaadah mwaka 1438 Hijria, sawa na tarehe 13 Agosti, 2017.
-
Mwanahistoria wa Israel afichua namna MOSSAD ilivyowaua Mayahudi wa Morocco
Aug 02, 2017 02:44Mwanahistori mmoja wa Israel ametangaza kuwa, shirika la ujasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel MOSSAD llilifanya jinai kubwa kuwalenga Mayahudi wa Morocco kwa lengo la kuwashawishi Mayahudi hao waelekee huko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Mfalme wa Saudia afuja mamilioni ya dola za mafuta kwa starehe mapumzikoni Morocco
Jul 30, 2017 15:14Safari ya Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia anayeandamana na msafara wa watu elfu moja nchini Morocco kwa ajili ya mapumziko imezusha gumzo kubwa katika vyombo vya habari vya nchi hiyo hususan katika kuchunguza kiwango cha fedha zinazofujwa na ukoo wa kifalme wa Aal Saud katika safari hiyo.
-
Kuendelea mgogoro na maandamano ya wananchi nchini Morocco
Jul 24, 2017 02:34Katika muendelezo wa machafuko na malalamiko ya wananchi nchini Morocco, askari usalama wa nchi hiyo wamewatia nguvuni makumi ya raia wa nchi hiyo katika mji wa Al Hoceima.