Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • Ulimwengu wa Michezo: Morocco yatwaa taji la CHAN, Iran yazinyuka China na Myanmar Futsal

    Ulimwengu wa Michezo: Morocco yatwaa taji la CHAN, Iran yazinyuka China na Myanmar Futsal

    Feb 05, 2018 07:12

    Hujambo mpenzi mwanaspoti wa RT na karibu tutupie jicho matukio mawili matatu ya michezo yaliyogonga vichwa habari ndani ya siku saba zilizopita, kitaifa na kimataifa....

  • Makumi ya miili ya wahajiri yapatikana katika pwani ya Morocco

    Makumi ya miili ya wahajiri yapatikana katika pwani ya Morocco

    Feb 04, 2018 16:35

    Serikali ya Uhispania imetangaza habari ya kupatikana kwa makumi ya maiti za wahajiri katika maji ya pwani ya Morocco.

  • Mpango wa kuwarejesha nyumbani wahajiri wa Morocco kutoka Libya kutekelezwa

    Mpango wa kuwarejesha nyumbani wahajiri wa Morocco kutoka Libya kutekelezwa

    Dec 17, 2017 14:22

    Wahajiri 236 raia wa Morocco wiki ijayo wataanza kurejea nchini kwao.

  • Afrika Kusini na Morocco kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia

    Afrika Kusini na Morocco kuhuisha uhusiano wao wa kidiplomasia

    Dec 03, 2017 14:33

    Rais Jacob Zuma wa Afrika Kusini amesema nchi hiyo itafufua uhusiano wa kidiplomasia na Morocco, baada ya kupita zaidi ya muongo mmoja tangu nchi hiyo ya Kiarabu imuondoe balozi wake mjini Pretoria.

  • Mamia waandamana Morocco kutaka kuachiwa huru wanaharakati

    Mamia waandamana Morocco kutaka kuachiwa huru wanaharakati

    Oct 09, 2017 08:13

    Mamia ya wananchi wa Morocco wamefanya maandamano katika mji mkuu wa kibiashara wa nchi hiyo Casablanca, kushinikiza kuachiwa huru wanaharati wa nchi hiyo waliokamatwa katika maandamano mengine mwaka mmoja uliopita katika mji mmoja ulioko kaskazini mwa nchi, ambao wakazi wake wanadai kutengwa na kubaguliwa.

  • Mfalme wa Morocco asisitiza kushiriki vyema  nchi hiyo katika AU

    Mfalme wa Morocco asisitiza kushiriki vyema nchi hiyo katika AU

    Aug 21, 2017 15:48

    Mfalme Mohamed wa Sita wa Morocco amesema kuwa, kujiunga tena nchi hiyo katika Umoja wa Afrika (AU) ni hatua muhimu na yenye taathira.

  • Jumapili, 13 Agosti,, 2017

    Jumapili, 13 Agosti,, 2017

    Aug 13, 2017 02:19

    Leo ni Jumapili tarehe 20 Dhul-Qaadah mwaka 1438 Hijria, sawa na tarehe 13 Agosti, 2017.

  • Mwanahistoria wa Israel afichua namna MOSSAD ilivyowaua Mayahudi wa Morocco

    Mwanahistoria wa Israel afichua namna MOSSAD ilivyowaua Mayahudi wa Morocco

    Aug 02, 2017 02:44

    Mwanahistori mmoja wa Israel ametangaza kuwa, shirika la ujasusi la Utawala wa Kizayuni wa Israel MOSSAD llilifanya jinai kubwa kuwalenga Mayahudi wa Morocco kwa lengo la kuwashawishi Mayahudi hao waelekee huko katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.

  • Mfalme wa Saudia afuja mamilioni ya dola za mafuta kwa starehe mapumzikoni Morocco

    Mfalme wa Saudia afuja mamilioni ya dola za mafuta kwa starehe mapumzikoni Morocco

    Jul 30, 2017 15:14

    Safari ya Mfalme Salman bin Abdulaziz wa Saudi Arabia anayeandamana na msafara wa watu elfu moja nchini Morocco kwa ajili ya mapumziko imezusha gumzo kubwa katika vyombo vya habari vya nchi hiyo hususan katika kuchunguza kiwango cha fedha zinazofujwa na ukoo wa kifalme wa Aal Saud katika safari hiyo.

  • Kuendelea mgogoro na maandamano ya wananchi nchini Morocco

    Kuendelea mgogoro na maandamano ya wananchi nchini Morocco

    Jul 24, 2017 02:34

    Katika muendelezo wa machafuko na malalamiko ya wananchi nchini Morocco, askari usalama wa nchi hiyo wamewatia nguvuni makumi ya raia wa nchi hiyo katika mji wa Al Hoceima.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS