Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • Gazeti la Quds al-Arabi: Mgogoro wa Morocco hautatatuliwa kijeshi

    Gazeti la Quds al-Arabi: Mgogoro wa Morocco hautatatuliwa kijeshi

    Jun 27, 2017 15:07

    Mtandao wa habari wa gazeti la Quds al-Arabi limeandika kuwa, mgogoro wa malalamiko ya raia wa eneo la kaskazini mwa Morocco, hauwezi kutatuliwa kwa kutumia mabavu, bali utatatuliwa kwa kutekeleza malalamiko ya wananchi.

  • Mfalme wa Morocco akosa kuhudhuria mkutano wa ECOWAS kwa ajili ya Netanyahu

    Mfalme wa Morocco akosa kuhudhuria mkutano wa ECOWAS kwa ajili ya Netanyahu

    Jun 04, 2017 07:19

    Mfalme Muhammad wa Sita wa Morocco amekosa kuhudhuria mkutano wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Nchi za Magharibi mwa Afrika (ECOWAS) unaofanyika leo nchini Liberia kwa kuwa unahudhuriwa na Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel, Benjamin Netanyahu.

  • Wananchi wa Morocco waendeleza maandamano

    Wananchi wa Morocco waendeleza maandamano

    Jun 03, 2017 15:10

    Polisi Morocco wamepambna na waandamanaji wanaoipinga serikali katika eneo la Rif, ambalo limekumbwa na maandamano ya siku kadhaa ya wananchi wanapinga kukamatwa mwanaharakati maarufu.

  • Maandamano Morocco kupinga polisi kumsaka mwanaharakati

    Maandamano Morocco kupinga polisi kumsaka mwanaharakati

    May 29, 2017 07:31

    Mamia ya watu wameandamana katika mji wa al-Hoceima kaskazini mwa Morocco kupinga hatua ya polisi kumsaka mwanaharakati na kutiwa mbaroni waandamanaji 20 siku chache zilizopita.

  • Wanaharakati Morocco waunga mkono mgomo wa kula wa mateka Wapalestina

    Wanaharakati Morocco waunga mkono mgomo wa kula wa mateka Wapalestina

    May 09, 2017 03:28

    Wanaharakati 1,500 nchini Morocco wametangaza kufungamana kwao na Wapalestina mateka waliogoma kula ambao wanashikiliwa katika jela za kuogofya za utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Wamorocco waandamana kuwaunga mkono Wapalestina wanaosusia kula

    Wamorocco waandamana kuwaunga mkono Wapalestina wanaosusia kula

    May 03, 2017 03:45

    Wananchi wa Morocco wamefanya maandaamano katika mji mkuu wa nchi hiyo Rabat, kuonyesha uungaji mkono wao kwa wafungwa wa Kipalestina ambao wanadhalilishwa katika jela na magereza ya utawala haramu wa Israel.

  • Morocco yakaribisha azimio la Baraza la Usalama la UN kuhusu Sahara Magharibi

    Morocco yakaribisha azimio la Baraza la Usalama la UN kuhusu Sahara Magharibi

    Apr 30, 2017 03:35

    Serikali ya Morocco imekaribisha azimio lililopitishwa na Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kuhusu Sahara Magharibi.

  • Morocco yaituhumu Algeria kuwatesa wakimbizi wa Syria

    Morocco yaituhumu Algeria kuwatesa wakimbizi wa Syria

    Apr 23, 2017 07:54

    Serikali ya Morocco imeilaumu Algeria kwa kuwazingira wakimbizi wa Syria katika "mazingira yasiyo ya kibinadamu" kwenye mpaka wa kusini mwa Algeria.

  • Morocco yafungua rasmi ubalozi wake nchini Rwanda

    Morocco yafungua rasmi ubalozi wake nchini Rwanda

    Apr 15, 2017 07:55

    Uhusiano wa pande mbili wa Morocco na Rwanda unatazamiwa kuimarika baada ya serikali ya Rabat kufungua rasmi ubalozi wake mjini Kigali.

  • Hatimaye serikali mpya ya mseto Morocco yaundwa

    Hatimaye serikali mpya ya mseto Morocco yaundwa

    Apr 06, 2017 07:49

    Hatimaye serikali ya mseto ya Morocco imeundwa na viongozi kutoka vyama sita vyenye viti vingi bungeni ikiwa ni baada ya mkwamo wa kisiasa wa miezi sita.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS