Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Morocco

  • Kuundwa serikali ya mseto ili kutanzua mkwamo wa kisiasa nchini Morocco

    Kuundwa serikali ya mseto ili kutanzua mkwamo wa kisiasa nchini Morocco

    Mar 27, 2017 02:43

    Baada ya miezi kadhaa ya mvutano wa kisiasa nchini Morocco, hatimaye Waziri Mkuu wa nchi hiyo ametangaza habari ya kuundwa serikali ya mseto.

  • Morocco yakubali kuunda serikali ya mseto kufumbua mkwamo wa kisiasa

    Morocco yakubali kuunda serikali ya mseto kufumbua mkwamo wa kisiasa

    Mar 26, 2017 06:31

    Waziri Mkuu mpya wa Morocco, Saadu Din al-Othmani amekubali kuunda serikali ya mseto itakayojumuisha vyama vingine vitano vya siasa , kwa shabaha ya kuupatia ufumbuzi mgogoro wa muda wa mrefu wa kisiasa nchini humo.

  • Alkhamisi, Pili Machi, 2017

    Alkhamisi, Pili Machi, 2017

    Mar 02, 2017 02:36

    Leo ni Alkhamisi tarehe 3 Jumadithani 1438 Hijria sawa na tarehe Pili Machi, 2017.

  • UN yataka Morocco, Polisario kupunguza uhasama

    UN yataka Morocco, Polisario kupunguza uhasama

    Feb 26, 2017 07:59

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa António Guterres ameelezea wasiwasi wake kuhusu kuendelea kwa mvutano kwenye ukanda unaotenganisha pande hasimu huko Sahara Magharibi.

  • Morocco, mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu

    Morocco, mwenyeji wa mkutano wa Umoja wa Vyuo Vikuu vya Kiislamu

    Feb 15, 2017 15:58

    Mkutano wa saba mkuu wa Umoja wa Vyuo Vikuu vya Ulimwengu wa Kiislamu katika kulinda utambulisho wa Kiislamu wa "Quds Tukufu" umefanyika nchini Morocco.

  • Wanachama watatu wa Daesh watiwa mbaroni Morocco

    Wanachama watatu wa Daesh watiwa mbaroni Morocco

    Feb 07, 2017 07:43

    Askari usalama wa Morocco wamewatia mbaroni wanachama watatu wa kundi la kigaidi la Daesh nchini humo.

  • Morocco yatishia kuvunja uhusiano wa kiuchumi na EU

    Morocco yatishia kuvunja uhusiano wa kiuchumi na EU

    Feb 07, 2017 04:01

    Serikali ya Morocco imetishia kuvunja uhusiano wake wa kiuchumi na Umoja wa Ulaya (EU).

  • Morocco yasema haitaitambua Sahara Magharibi licha ya kurejea AU

    Morocco yasema haitaitambua Sahara Magharibi licha ya kurejea AU

    Feb 06, 2017 07:40

    Serikali ya Rabat imesema katu haitatambua uhuru wa Jamhuri ya Sahara Magharibi licha ya Morocco kukubaliwa kurejea katika Umoja wa Afrika AU baada ya kuondoka zaidi ya miongo mitatu iliyopita.

  • Mfalme wa Morocco aitembelea Sudan Kusini

    Mfalme wa Morocco aitembelea Sudan Kusini

    Feb 02, 2017 07:18

    Mfalme Mohammed wa VI wa Morocco yuko nchini Sudan Kusini katika ziara ya siku tatu iliyoanza jana Jumatano, siku moja baada ya nchi hiyo kurejea katika Umoja wa Afrika.

  • Morocco yarejea Umoja wa Afrika baada ya miaka 33

    Morocco yarejea Umoja wa Afrika baada ya miaka 33

    Jan 31, 2017 13:52

    Umoja wa Afrika AU umekubali tena uanachama wa Morocco baada ya miaka 33 wakati nchi hiyo ilijiondoa umoja huo kutokana na mgogoro wa Sahara Magharibi ambao hadi sasa haujatatuliwa.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS