Sep 12, 2021 03:07
Baada ya kushindwa vibaya chama tawala cha Uadilifu na Ustawi (PJD) katika uchaguzi wa wiki iliyopta nchini Morocco, Mfalme Mohammed VI wa nchi hiyo amemteua Aziz Akhannouch wa chama cha National Rally of Independents (NRI) kuwa waziri mkuu mpya wa nchi hiyo. Akhannouch amepewa jukumu la kuunda serikali mpya ya Rabat.