-
Nasser Kan'ani: Morocco iwajibike kwa madhara ya kuanzisha uhusiano na utawala haramu
Oct 05, 2022 07:08Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Iran amemwambia Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Morocco kwamba anapaswa kuwajibishwa kutokana na ukosefu wa usalama unaotokana na kuanzisha uhusiano baina ya nchi hiyo na na utawala wa Kizayuni wa Israel unaoendelea kuua watu wa Palestina na kukalia kwa mabavu kibla cha kwanza cha Waislamu.
-
Israel yamfuta kazi balozi wake anayetuhumiwa kuwabaka wanawake nchini Morocco
Sep 16, 2022 07:40Utawala haramu wa Israel umelazimika kumfuta kazi balozi wake wa nchini Morocco anayekabiliwa na kashfa za ngono na kuwanyanyasa kijinsia wanawake wa nchi hiyo ya Kiarabu.
-
Morocco yamuita nyumbani balozi wa Tunisia kuhusu mzozo wa Sahara Magharibi, Tunis yajibu
Aug 27, 2022 11:21Morocco imemuita nyumbani balozi wake wa Tunisia kulalamikia kitendo cha Rais wa Kais Saied wa Tunisia kumpokea kiongozi wa harakati ya Polisario inayopigania kujitenga eneo la Sahara Magharibi.
-
Wananchi wa Morocco wateketeza moto bendera za Israel katika maandamano
Aug 09, 2022 10:59Wananchi wa Morocco waliokuwa na hasira wameteketeza moto bendera za utawala wa Kizayuni wa Israel mbele ya bunge la nchi hiyo katika maandamano ya kulaani hujuma ya utawala huo dhidi ya Gaza.
-
Israel yaruhusiwa kujenga ubalozi Morocco licha ya pingamizi la wananchi
Aug 03, 2022 12:04Utawala wa Kizayuni wa Israel umedai kuwa umesaini mkataba wa kuuruhusu ujenge ubalozi nchini Morocco, licha ya wananchi wa nchi hiyo ya Kiarabu kupinga kuanzishwa uhusiano wa kawaida na utawala huo pandikizi.
-
Algeria yapinga tena mpango wa utawala wa ndani Sahara, yaishutumu Rabat kwa udanganyifu
Jul 18, 2022 02:30Algeria mepinga tena mpango wa kuanzisha utawala wa ndani uliopendekezwa na Morocco kwa ajili eti ya kutatua mzozo wa eneo la Sahara Magharibi linalozozaniwa kati ya Morocco na Harakati ya Polisario.
-
Morocco: Wahajiri 18 wameaga dunia wakijaribu kuingia eneo la Melilla la Uhispania
Jun 25, 2022 11:47Serikali ya Morocco imesema wahajiri 18 wamepoteza maisha, huku makumi ya wengine pamoja na askari polisi wakijeruhiwa katika mkanyagano wa kujaribu kuingia katika maeneo ya Melilla na Ceuta yanayodhibitiwa na Uhispania.
-
Waandishi habari Morocco wapinga uhusiano wa kawaida wa kihabari na Israel
Jun 14, 2022 10:38Waandishi wa habari wa Morocco wamepinga kufunguliwa nchini humo ofisi za televisheni ya utawala haramu wa Israel ya i24 na wametaka zifungwa mara moja.
-
Morocco yaonywa kuhusu hatari ya kujipenyeza utawala wa Kizayuni nchini mwao
Jun 05, 2022 02:39Taasisi ya Kupiga Vita Uhusiano wa Kawaida na Israel ya nchini Morcco imeionya serikali ya nchi hiyo kuhusu hatari ya kuruhusu utawala wa Kizayuni kuwa na ushawishi nchini humo.
-
Mashabiki wa mpira wapiga nara za "Palestina Palestina" kwenye uwanja wa mpira Morocco
Apr 28, 2022 02:45Nara ya "Palestina! Palestina!" imerindima katika uwanja wa mpira wa miguu kutoka kwa mashabiki wa mchezo huo nchini Morocco, nchi ambayo imetangaza uhusiano wa kawaida na Wazayuni kinyume na msimamo wa wananchi wa nchi hiyo.