-
Iran: Kuchukuliwe hatua za kimataifa kuzuia kuharibiwa Masjidul al-Aqswa
Aug 24, 2016 03:31Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ametoa wito wa kuchukuliwa hatua za kimataifa kwa ajili ya kuzuia kubomolewa msikiti mtakatifu wa al-Aqswa.
-
Utawala wa Kizayuni waendelea kuchimba mashimo kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa
Aug 21, 2016 23:26Msemaji wa Taasisi ya Waqfu na Turathi za Kiutamaduni ya Al-Aqsa amesema utawala wa Kizayuni wa Israel unaendelea kuchimba mashimo kandokando ya msikiti wa Al-Aqsa.
-
Ripoti: Israel inajiandaa kuubomoa msikiti wa Al-Aqsa na kujenga 'hekalu la tatu'.
Aug 16, 2016 11:52Imeelezwa kuwa taasisi za utawala wa Kizayuni wa Israel zinafanya maandalizi ya kuanza kutekeleza mradi wa ubomoaji wa msikiti wa Al-Aqsa na kujenga mahala pake maabadi iitwayo "Hekalu la Tatu la Sulaiman".
-
Walowezi wa Kizayuni wazidi kufanya uvamizi katika msikiti wa al-Aqswa
Aug 05, 2016 23:14Walowezi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena jana Ijumaa walifanya uvamizi dhidi ya msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa huko Quds Tukufu Palestina inayokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel.
-
Walowezi wa Kizayuni wafanya uvamizi tena katika msikiti wa al-Aqswa
Jul 21, 2016 23:48Walowezi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wamefanya uvamizi dhidi ya msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa huko Quds Tukufu Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Walowezi wa Kizayuni wauvamia tena Msikiti wa al-Aqswa
Jul 18, 2016 23:11Walowezi wa Kizayuni kwa mara nyingine tena wameuvamia Msikiti Mtakatifu wa al-Aqswa huko Quds Tukufu Palestina.
-
Wazayuni waendeleza jinai Siku ya Kimataifa ya Quds
Jul 01, 2016 10:48Wanajeshi wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewauwa shahidi Wapalestina wawili kwa kuwapiga risasi.
-
Wazayuni wamevamia zaidi ya mara 100 katika mwezi mmoja maeneo matakatifu ya Palestina
Jun 05, 2016 10:56Waziri wa masuala ya kidini na waqfu wa Palestina amesema, Wazayuni wameuvamia mara chungu nzima msikiti mtukufu wa al-Aqsa na Haram ya Nabii Ibrahim (as) huko Alkhalil katika kipindi cha mwezi mmoja uliopita.
-
Kiongozi wa kidini wa Kizayuni atishia Waislamu kupoteza kikamilifu fursa ya kutumia Masjidul-Aqsa
Jun 02, 2016 03:19Kiongozi wa kidini wa Wazayuni Rabi Yehuda Glick amesema kukataa kugawanywa msikiti wa Al- Aqsa baina ya Waislamu na Mayahudi kutakuwa sawa na kufutwa kikamilifu haki ya Waislamu ya kutumia msikiti huo.
-
Watoto zaidi ya elfu mbili Kipalestina wauliwa shahidi na Wazayuni
Jun 01, 2016 10:58Wanajeshi katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wamewauwa shahidi kwa kuwapiga risasi watoto wa Kipalestina zaidi ya elfu mbili tangu kuanza Intifadha ya Masjidul Aqsa mwaka 2000.