Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

muqawama

  • Hizbullah ya Lebanon yasifu ushindi mkubwa wa muqawama huko Halab, Syria

    Hizbullah ya Lebanon yasifu ushindi mkubwa wa muqawama huko Halab, Syria

    Dec 11, 2016 11:19

    Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesifu na kupongeza ushindi muhimu wa kimuqawama katika mji wa Halab (Aleppo) huko Syria.

  • Maytham al-Tammar; Kigezo cha Subira na Kusimama Kidete (Kumbukumbu ya kuuawa kwake shahidi)

    Maytham al-Tammar; Kigezo cha Subira na Kusimama Kidete (Kumbukumbu ya kuuawa kwake shahidi)

    Sep 24, 2016 03:17

    Assalaamu Alaykum Wapenzi Wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kukumbuka kuuawa shahidi Maytham al-Tammar mmoja wa masahaba na wafuasi wa Mtume SAW na Imam bin Abi Talib AS ambaye aliondokea kuwa mashuhuri kutokana na Imani thabiti, subira na msimamo usiotetereka katika njia ya haki.

  • Upinzani wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa muqawama

    Upinzani wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa muqawama

    Sep 03, 2016 23:16

    Maamuzi ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina dhidi ya muqawama wa wananchi wa Palestina yangali yanaendelea; na katika fremu hiyo mamlaka hiyo inatekeleza saisa za kuwapokonya silaha raia wa Palestina wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.

  • Sayyid Hassan Nasrullah: Hizbullah itaishinda Israel katika vita vyovyote vipya

    Sayyid Hassan Nasrullah: Hizbullah itaishinda Israel katika vita vyovyote vipya

    Aug 20, 2016 03:33

    Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema: endapo vitaanzishwa vita vyovyote vipya dhidi ya Lebanon, Hizbullah itaibuka mshindi katika medani hiyo.

  • IRGC:Uchu wa kuikomboa Quds, chachu ya harakati za muqawama

    IRGC:Uchu wa kuikomboa Quds, chachu ya harakati za muqawama

    Jun 30, 2016 23:10

    Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC limesema uchu wa kutaka kukombolewa Quds tukufu ndio chachu inayozipa nguvu harakati za kimuqawama katika eneo hili la Mashariki ya Kati.

  • Sheikh Naeem Qassim: Muqwama wa Lebanon umejiweka tayari kukabiliana na Israel

    Sheikh Naeem Qassim: Muqwama wa Lebanon umejiweka tayari kukabiliana na Israel

    May 25, 2016 03:01

    Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa harakati hiyo ya muqawama iko tayari kikamilifu kukabiliana na vitisho na uvamizi unaoweza kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Iran: Mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura za wananchi

    Iran: Mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura za wananchi

    May 14, 2016 23:22

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura na matakwa ya wananchi wenyewe wa Syria.

  • HAMAS yatilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa Iran kwa kambi ya muqawama

    HAMAS yatilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa Iran kwa kambi ya muqawama

    Apr 28, 2016 10:43

    Osama Hamdan, Mkuu wa uhusiano wa kimataifa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuna udharura wa kuzidishwa uungaji mkono wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kambi ya muqawama ili kupunguza machungu na mateso wanayopata Wapalestina kutokana na muendelezo wa siasa za kidhalimu za utawala wa Kizayuni wa Israel.

Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS