-
Hizbullah ya Lebanon yasifu ushindi mkubwa wa muqawama huko Halab, Syria
Dec 11, 2016 11:19Mkuu wa Baraza la Kisiasa la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Hizbullah ya Lebanon amesifu na kupongeza ushindi muhimu wa kimuqawama katika mji wa Halab (Aleppo) huko Syria.
-
Maytham al-Tammar; Kigezo cha Subira na Kusimama Kidete (Kumbukumbu ya kuuawa kwake shahidi)
Sep 24, 2016 03:17Assalaamu Alaykum Wapenzi Wasikilizaji na karibuni kutegea sikio kipindi hiki maalumu kinachokujieni kwa mnasaba wa kukumbuka kuuawa shahidi Maytham al-Tammar mmoja wa masahaba na wafuasi wa Mtume SAW na Imam bin Abi Talib AS ambaye aliondokea kuwa mashuhuri kutokana na Imani thabiti, subira na msimamo usiotetereka katika njia ya haki.
-
Upinzani wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina kwa muqawama
Sep 03, 2016 23:16Maamuzi ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina dhidi ya muqawama wa wananchi wa Palestina yangali yanaendelea; na katika fremu hiyo mamlaka hiyo inatekeleza saisa za kuwapokonya silaha raia wa Palestina wa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Sayyid Hassan Nasrullah: Hizbullah itaishinda Israel katika vita vyovyote vipya
Aug 20, 2016 03:33Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesema: endapo vitaanzishwa vita vyovyote vipya dhidi ya Lebanon, Hizbullah itaibuka mshindi katika medani hiyo.
-
IRGC:Uchu wa kuikomboa Quds, chachu ya harakati za muqawama
Jun 30, 2016 23:10Jeshi la Walinzi wa Mapinduzi ya Kiislamu la Iran IRGC limesema uchu wa kutaka kukombolewa Quds tukufu ndio chachu inayozipa nguvu harakati za kimuqawama katika eneo hili la Mashariki ya Kati.
-
Sheikh Naeem Qassim: Muqwama wa Lebanon umejiweka tayari kukabiliana na Israel
May 25, 2016 03:01Naibu Katibu Mkuu wa Hizbullah ya Lebanon amesisitiza kuwa harakati hiyo ya muqawama iko tayari kikamilifu kukabiliana na vitisho na uvamizi unaoweza kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Iran: Mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura za wananchi
May 14, 2016 23:22Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa, mgogoro wa Syria utamalizwa kwa kura na matakwa ya wananchi wenyewe wa Syria.
-
HAMAS yatilia mkazo umuhimu wa uungaji mkono wa Iran kwa kambi ya muqawama
Apr 28, 2016 10:43Osama Hamdan, Mkuu wa uhusiano wa kimataifa wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina (HAMAS) amesema kuna udharura wa kuzidishwa uungaji mkono wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran kwa kambi ya muqawama ili kupunguza machungu na mateso wanayopata Wapalestina kutokana na muendelezo wa siasa za kidhalimu za utawala wa Kizayuni wa Israel.