-
Waislamu wa Marekani wana hatari ya kunyanyaswa zaidi mwezi wa Ramadhani
May 10, 2018 14:31Baraza la Uhusiano wa Marekani na Uislamu limetaka kuchukuliwa hatua za lazima za kuimarisha usalama kwa ajili ya kuwalinda Waislamu ambao wana hatari ya kukumbwa na mashambulizi na unyanyasaji zaidi katika kipindi cha mwezi mtukufu wa Ramadhani.
-
Papa atuma salamu za Ramadhani, akosoa ukaidi wa Trump
Jun 03, 2017 07:21Kiongozi wa Kanisa Katoliki Dunia Papa Francis amekosoa vikali hatua ya Rais Donald Trump wa Marekani ya kuiondoa nchi yake katika makubaliano ya mabadiliko ya tabianchi yaliyofikiwa mjini Paris, Ufaransa mwaka 2015.
-
Sala ya kwanza ya Ijumaa Mwezi wa Ramadhani katika Msikiti wa Al Aqsa
Jun 02, 2017 14:22Maelfu ya Wapalestina wameshiriki katika sala ya Ijumaa ya kwanza ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani katika Msikiti wa Al Aqsa kwenye mji wa Quds unaokaliwa kwa mabavu na utawala haramu wa Israel huku ya wanajeshi wa utawala huo wa Kizayuni wakiwa wameweka sheria kali za kuwabana Waislamu.
-
Ramadhani na Utulivu wa Moyo
Jun 01, 2017 10:31Assalam Aleikum na karibuni katika makala hii maalumu inayowajieni katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani ambapo leo tutaangazia masuala ya utulivu wa moyo wa mwandamu.
-
Mambo ya kujichunga katika mwezi mtukufu wa Ramadhani
Jun 01, 2017 05:46Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh. Karibuni wasikilizaji wapenzi katika kipindi hiki maalumu nilichokuandalieni kwa mnasaba wa mwezi mtukufu wa Ramadhani ambacho kwa leo kitaanza kwa kugusia falsafa na hekima ya funga.
-
Ramadhani, mwezi wa ibada na toba
May 30, 2017 08:51Bismillahir Rahmanir Rahim Assalamu Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuhu na karibuni kujiunga nami katika makala hii maalumu niliyokundalieni kwa mnasaba wa mwezi mtukufu wa Ramadhani. Tunamuomba Mwenyezi Mungu atutakabalie saumu na ibada zetu katika mwezi huu mtukufu.
-
Zarif: Ramadhani ni fursa kwa Waislamu kuimarisha umoja wao
May 28, 2017 13:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ameutaja mwezi mtukufu wa Ramadhani kama fursa ya kipekee inayoweza kutumiwa na Waislamu kote duniani kwa ajili ya kuimarisha umoja na mshikamano wao.
-
Rais Rouhani awatumia salamu za Ramadhani viongozi wa nchi za Kiislamu
May 27, 2017 06:46Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewatumia salamu za Ramadhani viongozi wa nchi za Kiislamu.
-
Marekani yapiga marufuku dhifa ya futari katika Wizara ya Mambo ya Nje
May 27, 2017 06:46Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani amepiga marufuku kufanyika karamu zozote zinazohusiana na mwezi mtukufu wa Ramadhani katika wizara hiyo mwaka huu.
-
Jumamosi, Mei 27, 2017
May 27, 2017 02:44Leo ni Jumamosi tarehe Mosi Ramadhan 1438 Hijria sawa na tarehe 27 Mei mwaka 2017 Miladia.