Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Myanmar

  • Baraza Kuu la UN lalaani mauaji ya Mabudha dhidi ya Waislamu Myanmar

    Baraza Kuu la UN lalaani mauaji ya Mabudha dhidi ya Waislamu Myanmar

    Dec 25, 2017 03:23

    Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepasisha azimio kwa wingi wa kura likilaani jinai na mauaji yanayoendelea kufanywa na Mabudha wa Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya nchini humo.

  • Myanmar yakataa kushirikiana na mkaguzi wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu mauaji ya Waislamu

    Myanmar yakataa kushirikiana na mkaguzi wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa kuhusu mauaji ya Waislamu

    Dec 22, 2017 04:46

    Serikali ya Myanmar imesema haitampa kibali cha kuingia nchini humo wala kushirikiana na Yanghee Lee, mkaguzi maalumu wa haki za binadamu wa Umoja wa Mataifa.

  • Kaburi la umati la Waislamu lagunduliwa nchini Myanmar

    Kaburi la umati la Waislamu lagunduliwa nchini Myanmar

    Dec 20, 2017 02:37

    Kaburi la umati limepatikana nchini Myanmar katika eneo ambalo Waislamu wa jamii ya Rohingywa wamekuwa wakilengwa na kuuawa kiholela katika mashambulizi yanayoungwa mkono na serikali katika kipindi cha mwaka mmoja sasa.

  • UN: Huenda Suu Kyi akafunguliwa mashitaka ya mauaji ya kimbari

    UN: Huenda Suu Kyi akafunguliwa mashitaka ya mauaji ya kimbari

    Dec 18, 2017 07:34

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema uhalifu unaofanywa na wanajeshi wakishirikiana na Mabudha nchini Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya ni mauaji ya kimbari na yumkini wanaohusika wakiwemo viongozi wa nchi hiyo wakapandishwa kizimbani karibuni hivi.

  • Waislamu 6,700 wa Rohingya wameuawa Myanmar ndani ya mwezi mmoja pekee

    Waislamu 6,700 wa Rohingya wameuawa Myanmar ndani ya mwezi mmoja pekee

    Dec 14, 2017 15:55

    Shirika la Madaktari Wasio na Mipaka MSF limesema kwa akali Waislamu 6,700 wa jamii ya Rohingya waliuliwa katika kipindi cha mwezi mmoja nchini Myanmar, tangu operesheni mpya iliyoungwa mkono na serikali ianzishwe na jeshi la nchi hiyo dhidi ya jamii hiyo ya wachache.

  • Mjumbe wa UN: Wanawake Waislamu wa Myanmar wanabakwa hadi kufa

    Mjumbe wa UN: Wanawake Waislamu wa Myanmar wanabakwa hadi kufa

    Dec 14, 2017 03:11

    Mwakilishi wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kuhusu ukatili wa kingono unaofanywa na jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya na kutoa wito wa kutolewa azimio la Baraza la Usalama la kusitishwa ukatili huo mara moja.

  • UN: Serikali ya Myanmar inafanya mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu

    UN: Serikali ya Myanmar inafanya mauaji ya kimbari dhidi ya Waislamu

    Dec 06, 2017 04:53

    Kamishna Mkuu wa Haki za Binadamu wa Umoja wa Mataifa amesema kuwa uhalifu unaofanywa na Mabudha nchini Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya ni mauaji ya kimbari.

  • Rais wa Bangladesh aikosoa Myanmar

    Rais wa Bangladesh aikosoa Myanmar

    Dec 02, 2017 07:35

    Rais wa Bangladesh amekosoa vikali vitendo vya utumiaji mabavu vya jeshi la Myanmar dhidi ya Waislamu wa jamii ya Rohingya.

  • UN: Myanmar sio salama kwa Waislamu Warohingya kurejea

    UN: Myanmar sio salama kwa Waislamu Warohingya kurejea

    Nov 24, 2017 15:52

    Shirika la Kuhudumia Wakimbizi la Umoja wa Mataifa UNHCR limesema hali katika mkoa wa Rakhine nchini Myanmar sio shwari kuweza kuwapokea malaki ya wakimbizi Waislamu wa jamii ya Rohingya waliokimbilia nchini Bangladesh.

  • Mogherini aunga mkono makubaliano ya Bangladesh na Myanmar ya kurejea Waislamu Warohingya

    Mogherini aunga mkono makubaliano ya Bangladesh na Myanmar ya kurejea Waislamu Warohingya

    Nov 24, 2017 07:12

    Mkuu wa Sera za Kigeni wa Umoja wa Ulaya amesema kuwa umoja huo unaunga mkono makubaliano yaliyofikiwa kati ya Bangladesh na Myanmar ya kurejea nyumbani wakimbizi wa Kiislamu wa jamii ya Rohingya.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS