-
Jeshi la Niger lakamata silaha baada ya kuzima uasi
Sep 04, 2026 03:14Vikosi vya Ulinzi na Usalama vya Niger vimekamata hazina kubwa ya silaha na vifaa vya kijeshi baada ya kuzima uasi katika Kituo cha 101 huko Niamey, mji mkuu wa nchi hiyo ya magharibi mwa Afrika.
-
Makumi ya askari wakamatwa au kuuawa Niger baada ya jaribio la uasi
Aug 30, 2026 12:15Baada ya karibu saa 24 za machafuko, makumi ya askari wamekamatwa au kuuawa katika mji mkuu wa Niger, Niamey kufuatia jaribio la uasi lililofanywa na askari wa jeshi la nchi hiyo.
-
Milio ya risasi yasikika katika mji mkuu wa Niger, Niamey
Jun 18, 2026 10:06Milio ya risasi imesikika mapema leo Alkhamisi katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Diori Hamani mjini Niamey, nchini Niger, miezi kadhaa baada ya shambulio kubwa la waasi katika eneo hilo hilo.
-
Niger yaguswa na mauaji ya kigaidi ya Kiongozi Muadhamu wa Iran
Mar 05, 2026 10:12Waziri wa Mambo ya Nje wa Niger amelinyooshea mkono wa pole taifa la Iran kufuatia kuuawa shahidi Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu, Ayatullah Sayyid Ali Khamenei.
-
Niger na Algeria zatangaza kuanza 'mchakato mpya' baada ya mazungumzo ya ujenzi wa bomba jipya la gesi mjini Algiers
Feb 17, 2026 03:44Rais wa Niger ametangaza kuanza kwa "mchakato mpya" kati ya nchi hiyo na Algeria.
-
Umoja wa Afrika walaani mashambulizi dhidi ya Niger; waahidi kuiunga mkono nchi hiyo
Feb 01, 2026 03:34Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika, Mahmoud Ali Youssouf amelaani mashambulizi ya hivi karibuni huko Niger ikiwa ni pamoja na shambulio kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Hamani Diori katika mji mkuu Niamey. Ali Youssouf amesisitiza kwa mara nyingine tena kwamba Umoja wa Afrika uko pamoja na Niger.
-
Jeshi la Niger lasema zaidi ya magaidi 70 "wameangamizwa"
Jan 28, 2026 09:49Jeshi la Niger limesema kwamba, zaidi ya magaidi 70 "waliangamizwa" kote nchini kati ya Januari 19 na 25, wakiwemo zaidi ya 50 waliouawa katika mashambulizi ya anga yaliyolenga "mikusanyiko ya maadui."
-
Polisi 10 wauawa katika shambulio kwenye kituo cha polisi Niger
Jan 27, 2026 23:01Askari polisi wasiopungua 10 wa Niger wameuawa wakati watu wenye silaha waliposhambulia kituo cha polisi kaskazini mwa nchi hiyo. Eneo la kaskazini mwa Niger limekumbwa na machafuko ya magenge ya wahalifu wenye silaha.
-
Mali, Burkina Faso na Niger zaanzisha kituo cha Televisheni kukabiliana na taarifa za upotoshaji
Dec 24, 2025 02:47Viongozi wa Muungano wa Mataifa ya Sahel (AES), kundi linalojumuisha Mali, Burkina Faso na Niger, umeanzisha shirika jipya la habari lenye makao yake makuu katika mji mkuu wa Mali, Bamako.
-
Serikali ya Nigeria yafanikisha kuachiwa huru watoto 100 waliotekwa nyara katika jimbo la Niger
Dec 08, 2025 02:56Serikali ya Nigeria imefanikisha kuachiliwa huru watoto 100 wa skuli waliotekwa nyara mwezi uliopita katika Jimbo la Niger. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na televisheni ya Channels Television jana Jumapili.