Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Niger

  • Jenerali Tchiani kuiongoza Niger kwa mpito wa miaka 5

    Jenerali Tchiani kuiongoza Niger kwa mpito wa miaka 5

    Mar 27, 2025 11:07

    Kiongozi wa kijeshi wa Niger ameapishwa rasmi kuwa rais wa nchi hiyo ya Magharibi mwa Afrika kwa kipindi cha mpito cha miaka mitano.

  • Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua 44 msikitini Niger

    Iran yasikitishwa na shambulio la kigaidi lililoua 44 msikitini Niger

    Mar 23, 2025 10:48

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmaeil Baghaei amelaani vikali shambulio la kigaidi la karibuni dhidi ya msikiti mmoja kusini magharibi mwa Niger.

  • Shambulio la kigaidi kwenye msikiti nchini Niger laua makumi ya watu

    Shambulio la kigaidi kwenye msikiti nchini Niger laua makumi ya watu

    Mar 22, 2025 07:01

    Makumi ya watu wameuawa shahidi katika shambulio la kundi la kigaidi la ISIS kwenye msikiti mmoja kusini magharibi mwa Niger.

  • Niger: Kutimuliwa maajinabi kumefungua ukurasa mpya wa amani nchini

    Niger: Kutimuliwa maajinabi kumefungua ukurasa mpya wa amani nchini

    Feb 18, 2025 07:28

    Balozi wa Niger mjini Tehran amesema lengo kuu la serikali mpya ya nchi yake ni kupata uhuru kamili.

  • Nigeria yakanusha madai ya kula njama ya kuyumbisha amani huko Niger

    Nigeria yakanusha madai ya kula njama ya kuyumbisha amani huko Niger

    Dec 22, 2024 08:02

    Nigeria imekanusha "kwa matamshi makali sana" tuhuma za Niger kwamba inapanga njama ya kuyumbisha nchi hiyo kwa kuwasaidia wanamgambo waliofanya mashambulizi kwenye bomba muhimu la mafuta la nchi hiyo.

  • Watu wasiopungua 39 wauawa katika mashambulizi ya waasi nchini Niger

    Watu wasiopungua 39 wauawa katika mashambulizi ya waasi nchini Niger

    Dec 15, 2024 10:54

    Wizara ya Ulinzi ya Niger imetangaza kuwa watu wasiopungua 39 wameuawa katika mashambulizi ya wanamgambo wenye silaha magharibi mwa nchi hiyo karibu na mpaka na Burkina Faso.

  • Mamia wamepoteza maisha, zaidi ya milioni 1 wahama makazi yao kutokana na mafuriko huko Niger

    Mamia wamepoteza maisha, zaidi ya milioni 1 wahama makazi yao kutokana na mafuriko huko Niger

    Oct 09, 2024 13:58

    Mvua kubwa iliyonyesha nchini Niger imesababisha vifo vya watu 339 na kuwalazimisha wengine zaidi ya milioni 1.1 kuhama makazi yao tangu mwezi Juni mwaka huu hadi sasa.

  • Niger yasimamisha kipindi cha Wafaransa kinachodhalilisha wanawake Waafrika

    Niger yasimamisha kipindi cha Wafaransa kinachodhalilisha wanawake Waafrika

    Oct 04, 2024 07:12

    Serikali ya kijeshi ya Niger imepiga marufuku kipindi kinachorushwa na kanali ya televisheni ya Ufaransa ikisisitiza kuwa kipindi hicho ni tishio kwa thamani za nchi hiyo ya Afrika Magharibi.

  • Mali, Burkina Faso, Niger zamchunguza mwanahabari wa France 24

    Mali, Burkina Faso, Niger zamchunguza mwanahabari wa France 24

    Sep 27, 2024 03:04

    Waendesha mashtaka katika nchi zinazoongozwa na serikali za kijeshi za Mali, Burkina Faso na Niger wameanzisha uchunguzi dhidi ya mwandishi wa habari wa Ufaransa Wassim Nasr, wakimtuhumu kuwa "mshirika wa ugaidi" kutokana na uchambuzi wake juu ya mashambulizi ya magenge ya kigaidi.

  • Kuondoka kabisa wanajeshi wa Marekani nchini Niger

    Kuondoka kabisa wanajeshi wa Marekani nchini Niger

    Sep 17, 2024 08:20

    Jeshi la Marekani limetangaza kuwaondoa wanajeshi wake wote katika ardhi ya Niger.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS