-
Zakzaky: Mashambulizi ya kigaidi ya Israel yanapasa kulaaniwa duniani kote
Jun 16, 2025 07:08Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria (IMN), Sheikh Ibrahim Zakzaky amelaani mashambulizi ya Israel dhidi ya Iran na kuelezea hujuma hizo za utawala wa Kizayuni dhidi ya nchi huru kuwa ni kitendo cha juu zaidi cha uchokozi, kinachopaswa kulaaniwa duniani kote.
-
Watu 200 wafariki dunia kwa janga la mafuriko Nigeria
Jun 04, 2025 05:51Mafuriko makubwa yaliyotokea kaskazini mwa Nigeria wiki iliyopita yamesababisha vifo vya zaidi ya watu 200.
-
Wasomi Nigeria: Falsafa ya Imam Khomeini ni kuwa, uongozi unatokana na watu
Jun 02, 2025 06:45Wasomi nchini Nigeria wamesisitiza kuwa, alama kuu ya kumbukumbu na urithi wa Muasisi wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran, Imam Khomein (MA) ni msimamo wake kuwa mamlaka na nguvu za uongozi zipo mikononi mwa wananchi.
-
Jeshi la Nigeria laua magaidi 60 wa Boko Haram jimbo la Borno
May 31, 2025 10:21Jeshi la Nigeria limetangaza habari ya kuwaua wanachama 60 wa kundi la kigaidi la Boko Haram baada ya kuzima shambulio dhidi ya kambi ya kijeshi huko Bita, eneo la Gwoza, kaskazini mashariki mwa Jimbo la Borno.
-
Mafuriko yaua makumi ya watu nchini Nigeria
May 31, 2025 02:21Makumi ya watu wamepoteza maisha huku maelfu ya wengine wakilazika kuhama makazi yao kutokana na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa zinazonyesha nchini Nigeria.
-
Jeshi la Nigeria lashadidisha operesheni dhidi ya Boko Haram
May 24, 2025 07:02Jeshi la Nigeria limesema kuwa limewaangamiza wanachama 16 wa kundi la kigaidi la Boko Haram katika jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa nchi, huku operesheni dhidi ya magaidi hao zikichachamaa.
-
Waislamu Nigeria wawakumbuka Mashahidi wa Siku ya Quds
May 12, 2025 11:14Taasisi ya 'Wakfu wa Shuhada' ya Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imewakumbuka na kuwaenzi mashahidi 27 waliouawa na vikosi vya jeshi la nchi hiyo wakati wa maandamano ya amani ya Siku ya Quds ya 2025 huko Abuja, na kusisitiza kujitolea kwao kwa kadhia ya Palestina.
-
Makumi wauawa katika mashambulizi ya wabeba silaha Benue, Nigeria
May 12, 2025 11:10Takriban watu 23 waliuawa huku wengine wengi kujeruhiwa katika mashambulizi ya watu waliojizatiti kwa silaha katika Jimbo la Benue nchini Nigeria.
-
Makamanda 11 wa ugaidi wauawa katika operesheni za jeshi la Nigeria
May 08, 2025 07:04Takriban vinara 11 wa magenge ya kigaidi nchini Nigeria wameuawa na vikosi vya serikali katika operesheni za kupambana na ugaidi katika nchi hiyo yenye watu wengi zaidi barani Afrika.
-
Nigeria yageukia Akili Mnemba (AI) ili kukabiliana na taarifa za uongo na kukuza lugha za ndani
May 08, 2025 02:22Huku Akili Mnemba (AI) ikiendelea kuhuhisha sekta ya viwanda kote duniani, Nigeria nchi iliyo na uchumi mkubwa zaidi barani Afrika imeamua kukumbatia kwa kasi wimbi hili la kiteknolojia.