Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Rais wa Nigeria atangaza mauaji ya wapiganaji 13,000 mwaka jana

    Rais wa Nigeria atangaza mauaji ya wapiganaji 13,000 mwaka jana

    Jun 12, 2026 12:36

    Rais wa Nigeria, Bola Ahmed Tinubu, ametangaza leo Ijumaa kwamba "magaidi" wasiopungua 13,000 waliuawa nchini Nigeria mwaka jana, akisisitiza kwamba idadi ya vifo vinavyotokana na uasi wa kutumia silaha nchini humo imepungua kwa 81% tangu alipochukua madaraka Mei 2023.

  • Nigeria: Mamia ya wanawake na watoto waliotekwa nyara na magaidi waachiliwa

    Nigeria: Mamia ya wanawake na watoto waliotekwa nyara na magaidi waachiliwa

    Jun 08, 2026 03:12

    Mamia ya wanawake na watoto waliokuwa wametekwa nyara na kundi la kigaidi la Boko Haram kaskazini mashariki mwa Nigeria wameachiwa huru mwishoni mwa wiki.

  • Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 50, yumo kamanda mkuu wa kundi la ISWAP

    Jeshi la Nigeria laangamiza magaidi 50, yumo kamanda mkuu wa kundi la ISWAP

    Jun 04, 2026 03:05

    Wanajeshi wa Nigeria wanaoendesha oparesheni kwa jina "Hadin Kai" wamewaangamiza magaidi wasiopungua 50, akiwemo kamanda mkuu wa tawi la ISWAP lililoungana na kundi la Boko Haram.

  • Walimu Nigeria waitisha mgomo katika jimbo la Oyo kufuatia vitendo vya utekaji nyara shuleni

    Walimu Nigeria waitisha mgomo katika jimbo la Oyo kufuatia vitendo vya utekaji nyara shuleni

    Jun 02, 2026 02:53

    Muungano wa Walimu wa Nigeria umeitisha mgomo wa wazi kuanzia leo Jumatatu katika jimbo la Oyo kupinga kutekwa nyara makumi ya watoto na walimu wao katikati ya mwezi wa Mei mwaka huu.

  • Watu wenye silaha wawateka nyara makumi ya wanafunzi katika Jimbo la Borno nchini Nigeria

    Watu wenye silaha wawateka nyara makumi ya wanafunzi katika Jimbo la Borno nchini Nigeria

    May 17, 2026 02:34

    Watu waliokuwa na silaha wameteka nyara makumi ya wanafunzi wa shule katika jimbo lililokumbwa na machafuko la Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Baada ya Ghana, Nigeria pia yamwita balozi wa Afrika Kusini kuhusu mashambulizi ya chuki dhidi ya wageni

    Baada ya Ghana, Nigeria pia yamwita balozi wa Afrika Kusini kuhusu mashambulizi ya chuki dhidi ya wageni

    May 03, 2026 10:12

    Wimbi jipya la mashambulizi ya chuki dhidi ya wageni, linalowalenga wahamiaji wa Kiafrika na biashara zao huko Afrika Kusini linatishia kuteteresha uhusiano wa nchi hiyo na nchi nyingine za Afrika.

  • Sheikh Zakzaky: Jina la kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran limekuwa membo ya mapambano

    Sheikh Zakzaky: Jina la kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran limekuwa membo ya mapambano

    Apr 26, 2026 09:23

    Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, amemtaja Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran, kuwa ni nembo mapambano, imani na kusimama kidete.

  • Jeshi la Nigeria lauwa magaidi 25 na kuzima njama yao kaskazini mashariki mwa nchi

    Jeshi la Nigeria lauwa magaidi 25 na kuzima njama yao kaskazini mashariki mwa nchi

    Apr 25, 2026 05:24

    Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limeuwa magaidi 25, akiwemo kamanda wao wa ngazi ya juu katika hujuma ya magaidi hayo iliyozimwa na jeshi dhidi ya jamii moja kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Makumi wauawa katika mashambulizi pacha ya magaidi Nigeria

    Makumi wauawa katika mashambulizi pacha ya magaidi Nigeria

    Feb 26, 2026 01:40

    Watu wasiopungua 25 wameuawa huku nyumba kadhaa zikichomwa moto baada ya watu wenye silaha kushambulia vijiji viwili katika Jimbo la Adamawa, kaskazini mashariki mwa Nigeria usiku wa kuamkia jana.

  • Watu 50 wauawa katika shambulio la wabeba silaha kaskazini magharibi ya Nigeria

    Watu 50 wauawa katika shambulio la wabeba silaha kaskazini magharibi ya Nigeria

    Feb 21, 2026 07:36

    Kundi moja la wabeba silaha limewaua watu wasiopungua 50 na kuwateka nyara wanawake na watoto katika shambulio la usiku kwenye kijiji kimoja kilichoko kaskazini magharibi mwa Jimbo la Zamfara nchini Nigeria.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS