-
Sheikh Zakzaky: Jina la kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran limekuwa membo ya mapambano
Apr 26, 2026 09:23Sheikh Ibrahim Zakzaky, kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, amemtaja Ayatullah Sayyid Ali Khamenei, kiongozi aliyeuawa shahidi wa Iran, kuwa ni nembo mapambano, imani na kusimama kidete.
-
Jeshi la Nigeria lauwa magaidi 25 na kuzima njama yao kaskazini mashariki mwa nchi
Apr 25, 2026 05:24Jeshi la Nigeria limetangaza kuwa limeuwa magaidi 25, akiwemo kamanda wao wa ngazi ya juu katika hujuma ya magaidi hayo iliyozimwa na jeshi dhidi ya jamii moja kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Makumi wauawa katika mashambulizi pacha ya magaidi Nigeria
Feb 26, 2026 01:40Watu wasiopungua 25 wameuawa huku nyumba kadhaa zikichomwa moto baada ya watu wenye silaha kushambulia vijiji viwili katika Jimbo la Adamawa, kaskazini mashariki mwa Nigeria usiku wa kuamkia jana.
-
Watu 50 wauawa katika shambulio la wabeba silaha kaskazini magharibi ya Nigeria
Feb 21, 2026 07:36Kundi moja la wabeba silaha limewaua watu wasiopungua 50 na kuwateka nyara wanawake na watoto katika shambulio la usiku kwenye kijiji kimoja kilichoko kaskazini magharibi mwa Jimbo la Zamfara nchini Nigeria.
-
Magaidi wa Lakurawa waua watu 34 kaskazini mwa Nigeria
Feb 19, 2026 23:57Kwa akali watu 34 wameuawa katika mashambulizi ya wanamgambo wa Lakurawa kwenye vijiji kadhaa katika jimbo la Kebbi, kaskazini magharibi mwa Nigeria, ripoti ya usalama iliyoonekana na Reuters ilisema Alkhamisi.
-
Waasi wenye silaha wauwa watu wasiopungua 32 kaskazini mwa Nigeria
Feb 15, 2026 04:28Watu wenye silaha waliokuwa kwenye pikipiki wamevamia vijiji vitatu kaskazini mwa Nigeria, na kuua takriban watu 32 na kuwateka nyara wengine kadhaa.
-
AU, UN zalaani mashambulizi ya kigaidi yaliyoua 170 Nigeria
Feb 06, 2026 02:52Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na nchi mbali mbali duniani sambamba na kutoa salamu za rambirambi, zimelaani vikali mashambulizi ya kigaidi yaliyoua watu wasiopungua 170 magharibi mwa Nigeria.
-
Lengo jipya la mkakati wa kijeshi wa Marekani barani Afrika
Feb 05, 2026 03:38Kamandi ya Marekani barani Afrika (AFRICOM) imetangaza kupeleka kikosi kidogo cha kijeshi cha Marekani nchini Nigeria na hivyo kwa mara ya kwanza kukiri rasmi kutumwa wanajeshi wa Marekani katika nchi hiyo ya Afrika.
-
Wabeba silaha waua watu wanaokaribia 200 kwenye majimbo ya Kwara na Katsina, Nigeria
Feb 05, 2026 02:34Watu wenye silaha wamewaua karibu watu 200 magharibi na kaskazini mwa Nigeria. Hayo yameelezwa na maafisa wa serikali na wakazi wa maeneo hayo huku manusura wakiwazika wenzao waliouawa na askari wa vikosi vya usalama wakiwasaka washambuliaji.
-
Seneta wa Nigeria: Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran, nembo ya uhuru duniani
Feb 04, 2026 06:54Seneta Shehu Sani wa Nigeria ambaye pia ni mkuu wa Jukwaa la Haki za Kiraia la Nigeria (CRCN), amesema Mapinduzi ya Kiislamu ya Iran ya mwaka 1979 ni vuguvugu la mwamko wa kihistoria dhidi ya dhulma na ubeberu wa maajinabi, akiyaelezea mapinduzi hayo kama kigezo cha mataifa yanayokandamizwa duniani kote.