Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Trump asema US imeshambulia kijeshi ndani ya Nigeria kuwalenga wanaoua wakristo wasio na hatia

    Trump asema US imeshambulia kijeshi ndani ya Nigeria kuwalenga wanaoua wakristo wasio na hatia

    Dec 26, 2025 07:31

    Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuwa jeshi la nchi hiyo limefanya shambulio la anga dhidi ya wapiganaji wa kundi la DAESH (ISIS) au ISIL kaskazini magharibi mwa Nigeria.

  • UN yalaani vikali shambulio la kigaidi lililoua waumini msikitini jimboni Borno, Nigeria

    UN yalaani vikali shambulio la kigaidi lililoua waumini msikitini jimboni Borno, Nigeria

    Dec 26, 2025 03:23

    Umoja wa Mataifa umelaani vikali shambulio la kigaidi lililotokea kwenye msikiti ulioko katika Soko la Gamboru, mjini Maiduguri, katika Jimbo la Borno kaskazini-mashariki mwa Nigeria, lililopelekea kuuawa na kujeruhiwa makumi ya Waislamu waliokuwemo msikitini humo.

  • 40 wauawa, kujeruhiwa katika shambulio la bomu Msikitini Maiduguri, Nigeria

    40 wauawa, kujeruhiwa katika shambulio la bomu Msikitini Maiduguri, Nigeria

    Dec 25, 2025 05:43

    Mripuko mkubwa wa bomu umeripotiwa kutikisa Msikiti mmoja wakati wa Swala ya Magharibi usiku wa kuamkia leo huko mjini Maiduguri, makao makuu ya jimbo la Borno, kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • Ndege za kijasusi za Marekani zaruka katika maeneo mbalimbali ya Nigeria

    Ndege za kijasusi za Marekani zaruka katika maeneo mbalimbali ya Nigeria

    Dec 23, 2025 07:53

    Ndege za Marekani zimekuwa zikipataa katika maeneo mengi ya Nigeria kwa lengo la kukusanya taarifa za kijasusi tangu mwishoni mwa mwezi Novemba mwaka huu.

  • Watu wasiopungua 12 wauawa katika shambulizi kwenye eneo la uchimbaji madini huko Plateau, Nigeria

    Watu wasiopungua 12 wauawa katika shambulizi kwenye eneo la uchimbaji madini huko Plateau, Nigeria

    Dec 18, 2025 07:24

    Takriban watu 12 wameuawa na wengine watatu kutekwa nyara baada ya watu wenye silaha kushambulia eneo la uchimbaji madini katika kijiji cha Atoso katika jimbo la Plateau nchini Nigeria.

  • Watoto 100 wa shule waliotekwa nyara mwezi jana Nigeria warejea makwao baada ya kuachiwa huru

    Watoto 100 wa shule waliotekwa nyara mwezi jana Nigeria warejea makwao baada ya kuachiwa huru

    Dec 11, 2025 12:08

    Wanafunzi 100 wa Nigeria waliotekwa nyara mwezi uliopita katika Shule ya Kikatoliki ya St. Mary’s huko Papiri katika eneo la Gongola hatimaye wamerejea nyumbani baada ya kuachiliwa mwishoni mwa juma.

  • Nchi za eneo la Sahel zatishia kusimamisha ndege za Nigeria iwapo anga ya nchi hizo itakiukwa

    Nchi za eneo la Sahel zatishia kusimamisha ndege za Nigeria iwapo anga ya nchi hizo itakiukwa

    Dec 09, 2025 11:28

    Shirikisho la Nchi za Sahel barani Afrika linalojumuisha Mali, Niger na Burkina Faso (AES) limetangaza kuwa litazizuia ndege zote zinazokiuka anga yashirikisho hilo kufuatia ripoti za ukiukaji wa sheria uliofanywa na Nigeria.

  • Serikali ya Nigeria yafanikisha kuachiwa huru watoto 100 waliotekwa nyara katika jimbo la Niger

    Serikali ya Nigeria yafanikisha kuachiwa huru watoto 100 waliotekwa nyara katika jimbo la Niger

    Dec 08, 2025 06:26

    Serikali ya Nigeria imefanikisha kuachiliwa huru watoto 100 wa skuli waliotekwa nyara mwezi uliopita katika Jimbo la Niger. Hayo ni kwa mujibu wa ripoti iliyotolewa na televisheni ya Channels Television jana Jumapili.

  • Wabeba silaha wateka nyara watu wengine 14 Nigeria, yumo bibi harusi na kitoto kichanga

    Wabeba silaha wateka nyara watu wengine 14 Nigeria, yumo bibi harusi na kitoto kichanga

    Dec 01, 2025 05:44

    Washambuliaji wenye silaha wamewateka nyara wanawake 13 na mtoto mchanga katika hujuma mpya ya uvamizi uliofanywa usiku wa kuamkia jana Jumapili kaskazini mashariki mwa Nigeria, ukiwa ni mwendelezo wa matukio ya hivi karibuni ya utekaji nyara mkubwa unaoshuhudiwa katika taifa hilo la Afrika Magharibi.

  • Rais wa Nigeria: Wanafunzi wa kike 24 waliotekwa nyara wiki jana wakombolewa

    Rais wa Nigeria: Wanafunzi wa kike 24 waliotekwa nyara wiki jana wakombolewa

    Nov 26, 2025 07:13

    Wanafunzi wa kike 24 waliokuwa wametekwa nyara kutoka katika shule yao ya bweni wiki iliyopita kaskazini magharibi mwa Nigeria wamekombolewa. Hii ni kwa mujibu wa taarifa kutoka ofisi ya Rais.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS