Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Harakati ya Kiislamu ya Nigeria yataka kuachiliwa wanaharakati wa Sumud

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria yataka kuachiliwa wanaharakati wa Sumud

    Oct 10, 2025 06:25

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imelaani kitendo cha utawala wa Kizayuni cha kuendelea kuwashikilia wanaharakati wa msafara wa kimataifa wa meli nyingi wa Sumud uliokuwa ukielekea Ukanda wa Gaza, na kutaka kuachiwa mara moja kwa raia wa Nigeria na wa mataifa mengine waliotekwa nyara na kuzuiliwa na askari wa majini wa Kizayuni.

  • Wanigeria waandamana kulaani shambulio la Israel dhidi ya msafara wa Sumud

    Wanigeria waandamana kulaani shambulio la Israel dhidi ya msafara wa Sumud

    Oct 04, 2025 06:04

    Waislamu kote nchini Nigeria waliingia barabarani baada ya Swala ya Ijumaa hapo jana kulaani shambulio la Israel dhidi ya msafara wa kimataifa wa Sumud, wenye makumi ya meli zinazoelekea katika Ukanda wa Gaza.

  • Jumatano, Oktoba Mosi, 2025

    Jumatano, Oktoba Mosi, 2025

    Oct 01, 2025 02:31

    Leo ni Jumatano tarehe 8 Mfunguo Saba Rabiul-Thani 1447 Hijria Qamaria, sawa na tarehe 9 Mehr mwaka 1404 Hijria Shamsia, inayosadifiana na tarehe Mosi Oktoba 2025 Miladia.

  • Wafanyakazi wa sekta ya mafuta Nigeria waendelea na mgomo wakipinga kupunguzwa wafanyakazi katika kiwanda cha Dangote

    Wafanyakazi wa sekta ya mafuta Nigeria waendelea na mgomo wakipinga kupunguzwa wafanyakazi katika kiwanda cha Dangote

    Sep 30, 2025 11:58

    Ofisi za idara ya Udhbiti wa Mafuta na Kampuni ya Taifa ya Mafuta ya Nigeria zimefungwa kutokana na mgomo wa kitaifa ulioanzishwa na jumuiya ya wafanyakazi wa sekta ya mafuta baada ya kiwanda cha kusafisha mafuta cha Dangote kuwafuta kazi zaidi ya wafanyakazi 800.

  • Polisi 3 wauawa na 7 watekwa nyara katika hujuma ya wanamgambo wenye silaha Nigeria

    Polisi 3 wauawa na 7 watekwa nyara katika hujuma ya wanamgambo wenye silaha Nigeria

    Sep 22, 2025 09:08

    Maafisa watatu wa polisi wameuawa na wengine saba kutekwa nyara jana Jumapili katika shambulio la wanamgambo wenye silaha katika Jimbo la Benue nchini Nigeria.

  • Kuanzia kupambana na ubaguzi wa rangi hadi kushirikiana na wavamizi; Nigeria inaelekea wapi?

    Kuanzia kupambana na ubaguzi wa rangi hadi kushirikiana na wavamizi; Nigeria inaelekea wapi?

    Sep 19, 2025 15:07

    Nigeria imesimama na mataifa yanayodhulumiwa katika miongo kadhaa iliyopita, hasa katika mapambano dhidi ya utawala wa kibaguzi nchini Afrika Kusini, na imetetea misingi ya haki na kupinga ukoloni.

  • CEDAW: Nigeria ina dhima ya ukiukaji mkubwa na wa kimfumo wa haki za wanawake waliotekwa nyara

    CEDAW: Nigeria ina dhima ya ukiukaji mkubwa na wa kimfumo wa haki za wanawake waliotekwa nyara

    Sep 18, 2025 03:44

    Kamati ya Umoja wa Mataifa ya Kutokomeza Ubaguzi Dhidi ya Wanawake (CEDAW) imesema, serikali ya Nigeria inawajibika kwa ukiukaji mkubwa na wa kimfumo wa haki za wanawake na wasichana katikati ya matukio ya utekaji wa watu wengi

  • Ajali nyingine ya boti yaua watu zaidi ya 60 nchini Nigeria

    Ajali nyingine ya boti yaua watu zaidi ya 60 nchini Nigeria

    Sep 04, 2025 07:43

    Kwa akali watu 60 wamefariki dunia baada ya mashua iliyokuwa imebeba zaidi ya abiria 100 kupinduka na kuzama katika jimbo la Niger, kaskazini mwa Nigeria.

  • Waislamu Nigeria wataka kuachiwa huru kiongozi wa Palestina

    Waislamu Nigeria wataka kuachiwa huru kiongozi wa Palestina

    Aug 29, 2025 02:24

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imelaani vikali hatua ya polisi ya Nigeria kumkata kiongozi wa Jumuiya ya Wapalestina katika nchi hiyo ya Afrika Magharibi, Ramzy Abu Ibrahim, ikisisitiza kuwa kukamatwa huko kunafungamana na makubaliano ya hivi karibuni ya usalama kati ya Nigeria na utawala wa Israel.

  • Kampuni ya Mafuta ya Serikali ya Nigeria: Wizi wa mafuta kupitia mabomba wakaribia kukomeshwa

    Kampuni ya Mafuta ya Serikali ya Nigeria: Wizi wa mafuta kupitia mabomba wakaribia kukomeshwa

    Aug 26, 2025 02:45

    Kampuni ya mafuta ya serikali ya Nigeria (NNPC Limited) imeripoti kuwa karibu wizi wote wa mafuta uliokuwa ukifanywa kupitia mabomba umekaribia kukomeshwa, baada ya juhudi zilizoratibiwa na mashirika ya ulinzi na intelijensia ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS