Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Nigeria

  • Watu 15 wauawa Nigeria katika shambulizi la Boko Haram

    Watu 15 wauawa Nigeria katika shambulizi la Boko Haram

    Dec 15, 2019 04:22

    Kwa akali watu 15 wameuawa katika shambulizi la kundi la kigaidi na kitakfiri la Boko Haram katika mji wa Magumeri, mkoani Borno kaskazini mashariki mwa Nigeria.

  • WHO: Watu milioni 50 wanakabiliwa na matatizo ya kisaikolojia Nigeria

    WHO: Watu milioni 50 wanakabiliwa na matatizo ya kisaikolojia Nigeria

    Dec 15, 2019 04:15

    Shirika la Afya Duniani WHO) limesema mamilioni ya wananchi wa Nigeria wanakabiliwa na tatizo moja au jingine la kiakili.

  • Kundi la Boko Haram laua mateka wanne lililokuwa likiwashikilia Nigeria

    Kundi la Boko Haram laua mateka wanne lililokuwa likiwashikilia Nigeria

    Dec 14, 2019 21:42

    Kundi la kigaidi na ukufurishaji la Boko Haram, limewaua mateka wake wanne lililokuwa likiwashikilia, ambao ni mfanyakazi wa shirika la kimataifa la misaada ya kibinaadamu nchini Nigeria.

  • Iran: Maadui hawawezi kufunga njia ya Sheikh Ibrahim Zakzaky magharibi mwa Afrika

    Iran: Maadui hawawezi kufunga njia ya Sheikh Ibrahim Zakzaky magharibi mwa Afrika

    Dec 12, 2019 04:51

    Hujjatul-Islam Wal Muslimina, Ahmad Marvi ambaye anasimamia haramu ya Imam Ridha (as) katika mji wa Mash'had, kaskazini mashariki mwa Iran amesema kuwa maadui hawawezi kufuta fikra na njia ya Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria, barani Afrika kwa kuwa fikra zake zinazidi kuchanua siku hadi siku.

  • Wanigeria waandamana kupinga uingiliaji wa mambo ya ndani wa Ufaransa

    Wanigeria waandamana kupinga uingiliaji wa mambo ya ndani wa Ufaransa

    Dec 10, 2019 04:29

    Wananchi wa Nigeria wamefanya maandamano nje ya ubalozi mdogo wa Ufaransa mjini Lagos, kupinga na kulalamikia hatua ya Paris ya kuingilia masuala ya ndani ya nchi hiyo.

  • Daktari wa Zakzaky: Kubakia kwake hai ni muujiza mkubwa

    Daktari wa Zakzaky: Kubakia kwake hai ni muujiza mkubwa

    Dec 09, 2019 01:53

    Daktari wa Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu nchini Nigeria Sheikh Ibrahim Zakzaky amesema kuwa msomi huyo ameathiriwa na sumu na anapaswa kupewa matibabu haraka iwezekanavyo.

  • Iran: Tunatumai mazungumzo na Nigeria yatapelekea kuachiwa Zakzaky

    Iran: Tunatumai mazungumzo na Nigeria yatapelekea kuachiwa Zakzaky

    Dec 08, 2019 08:37

    Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imesema ina wingi wa matumaini kuwa mazungumzo kati ya Tehran na Abuja yatakuwa chachu ya kuanza safari ya kuachiwa huru kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria, Sheikh Ibrahim Zakzaky.

  • Mamia ya waliokuwa wakituhumiwa kuwa ni wanachama wa Boko Haram nchini Nigeria waachiliwa huru

    Mamia ya waliokuwa wakituhumiwa kuwa ni wanachama wa Boko Haram nchini Nigeria waachiliwa huru

    Dec 02, 2019 09:01

    Jeshi la Nigeria limewaachilia huru mamia ya raia wa nchi hiyo waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.

  • Rais Buhari: Nitaachia ngazi muhula wangu wa uongozi ukimalizika

    Rais Buhari: Nitaachia ngazi muhula wangu wa uongozi ukimalizika

    Nov 26, 2019 00:45

    Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria ametoa hakikisho kwamba, ataachia ngazi mara tu muhula wake wa uongozi utakapomalizika na kwamba, hana mpango wa kubakia madarakani kwa njia yoyote ile.

  • Harakati ya Kiislamu ya Nigeria yasisitiza kukabiliana na vitisho vya serikali

    Harakati ya Kiislamu ya Nigeria yasisitiza kukabiliana na vitisho vya serikali

    Nov 24, 2019 23:57

    Ofisi ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imesisitiza katika ujumbe wake uliotuma kwamba watakabiliana ipasavyo na vitisho na hatua za serikali ya nchi hiyo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS