-
Mamia ya waliokuwa wakituhumiwa kuwa ni wanachama wa Boko Haram nchini Nigeria waachiliwa huru
Dec 02, 2019 09:01Jeshi la Nigeria limewaachilia huru mamia ya raia wa nchi hiyo waliokuwa wakishikiliwa kwa tuhuma za kuwa wanachama wa kundi la kigaidi la Boko Haram.
-
Rais Buhari: Nitaachia ngazi muhula wangu wa uongozi ukimalizika
Nov 26, 2019 00:45Rais Muhamadu Buhari wa Nigeria ametoa hakikisho kwamba, ataachia ngazi mara tu muhula wake wa uongozi utakapomalizika na kwamba, hana mpango wa kubakia madarakani kwa njia yoyote ile.
-
Harakati ya Kiislamu ya Nigeria yasisitiza kukabiliana na vitisho vya serikali
Nov 24, 2019 23:57Ofisi ya Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imesisitiza katika ujumbe wake uliotuma kwamba watakabiliana ipasavyo na vitisho na hatua za serikali ya nchi hiyo.
-
Waislamu Nigeria wakanusha madai ya polisi kumhusu Zakzaky
Nov 18, 2019 08:18Wafuasi wa Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria wamekanusha vikali madai ya Idara ya Kiitelejensia ya Nigeria kuwa polisi ya nchi hiyo inamzuilia mwanaharakati huyo wa Kiislamu kutokana na ombi na uamuzi wake mwenyewe.
-
Wakimbizi laki moja wakwama kambini kwa mafuriko Nigeria
Nov 13, 2019 23:12Wakimbizi wa Ndani (IDPs) zaidi ya laki moja wameshindwa kutoka makambini kutokana na mafuriko makubwa yaliyolikumba jimbo la Borno la kaskazini mashariki mwa Nigeria.
-
Watu zaidi ya 60 waaga dunia kwa ugonjwa wa kutatanisha uliozuka kaskazini ya Nigeria
Oct 30, 2019 23:03Ugonjwa wa kutatanisha uliozuka katika jimbo la Katsina kaskazini mwa Nigeria umeua zaidi ya watu 60 katika jimbo hilo.
-
Ufichaji mambo wa serikali ya Nigeria kuhusiana na hali ya Sheikh Zakzaky
Oct 27, 2019 23:08Familia ya Sheikh Ibrahim Zakzaky, Kiongozi wa Harakati ya Kiislamu ya Nigeria imetangaza kuwa, serikali ya nchi hiyo imekuwa ikificha na kukataa kutoa taarifa kuhusiana na hali ya kiafya ya kiongozi huyo pamoja na mkewe.
-
Polisi ya Nigeria yakomboa 'wanafunzi' wengine 150 Kaduna
Oct 20, 2019 04:12Polisi nchini Nigeria kwa mara nyingine tena imefanikiwa kuwaokoa watoto na vijana mabarobaro wapatao 150 kutoka katika kituo kimoja ambako walikuwa wakifanyiwa mateso kaskazini mwa nchi.
-
Polisi Nigeria yatumia risasi na mabomu kuvunja Arubaini ya Imam Hussein AS
Oct 19, 2019 09:50Polisi nchini Nigeria imetumia risasi hai na mabomu ya gesi ya kutoa machozi kuvunja matembezi ya amani ya waumini wa Kiislamu waliokuwa wakishiriki maombolezo ya Arubaini ya Imam Hussein (AS), mjukuu wa Mtume Muhammad (SAW) katika mji mkuu Abuja.
-
Nigeria: Hakuna fedha za kutosha kwa ajili ya kupambana na Boko Haram
Oct 16, 2019 22:09Mwenyekiti wa Kamisheni ya Ulinzi ya Bunge la Nigeria ametangaza kuwa, serikali ya nchi hiyo haina fedha za kutosha kwa ajili ya kugharamia mapambano dhidi ya kundi la kigaidi la Boko Haram