Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

njaa

  • NGO's: Mtu mmoja hufariki dunia kwa njaa kila baada ya sekunde 36 kuanzia Sahel hadi Pembe ya Afrika

    NGO's: Mtu mmoja hufariki dunia kwa njaa kila baada ya sekunde 36 kuanzia Sahel hadi Pembe ya Afrika

    Apr 28, 2023 11:27

    Umoja wa Mataifa na mashirika yasiyo ya kiserikali yametangaza kwamba mtu mmoja hufariki dunia kwa njaa kila baada ya sekunde 36 katika nchi za Ethiopia, Kenya na Somalia, huku watu milioni 18.6 wakikabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula katika eneo la Sahel barani Afrika.

  • Ripoti: Ukame uliua watu zaidi ya 40,000 nchini Somalia 2022

    Ripoti: Ukame uliua watu zaidi ya 40,000 nchini Somalia 2022

    Mar 22, 2023 02:18

    Utafiti uliofanywa na Wizara ya Afya ya Uswisi, Shirika la Afya Duniani (WHO) na Shirika la Elimu, Sayansi na Utamaduni la Umoja wa Mataifa (UNESCO) umeonyesha kuwa, ukame ambao ni mrefu zaidi kuwahi kurekodiwa nchini Somalia umesababisha makumi ya maelfu ya watu kupoteza maisha.

  • Indhari ya UN: Njaa inatishia maisha ya mamilioni ya Wasyria

    Indhari ya UN: Njaa inatishia maisha ya mamilioni ya Wasyria

    Jan 29, 2023 07:48

    Shirika la Mpango wa Chakula la Umoja wa Mataifa (WFP) limetahadharisha kuhusu hatari inayotishia maisha ya mamilioni ya wananchi wa Syria kutokana na ukosefu wa chakula na njaa.

  • Afrika mhanga wa matokeo na taathira ya migogoro ya kimataifa

    Afrika mhanga wa matokeo na taathira ya migogoro ya kimataifa

    Oct 17, 2022 05:48

    Akthari ya mataifa ya Afrika ambayo katika miongo ya hivi karibuni yalifanya hima kubwa ya kujenga miundomsingi yao ya kiuchumi kwa minajili ya kuboresha hali ya uchumi wao, filihali yanahesabiwa kuwa wahanga wakubwa zaidi wa matukio ya sasa ulimwenguni.

  • Njaa yaua watu 900 katika eneo la Karamoja, Uganda

    Njaa yaua watu 900 katika eneo la Karamoja, Uganda

    Jul 26, 2022 07:54

    Mamia ya watu wamepoteza maisha kutokana na makali ya njaa katika eneo la Karamoja, kaskazini mwa Uganda.

  • Wakenya waipongeza serikali kwa kupunguza bei ya unga wa ugali

    Wakenya waipongeza serikali kwa kupunguza bei ya unga wa ugali

    Jul 19, 2022 12:31

    Wakenya wamefurahia hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi. Baadhi ya Wakenya wamejitokeza kwenye mitandao ya kijamii kushukuru hatua ya serikali kupunguza bei ya unga wa mahindi.

  • Wakenya milioni 14 wanasumbulia na njaa huku mgogoro wa chakula ukishtadi

    Wakenya milioni 14 wanasumbulia na njaa huku mgogoro wa chakula ukishtadi

    Jul 11, 2022 11:09

    Mashirika ya Umoja wa Mataifa yamesema Kenya ni miongoni mwa nchi 63 duniani zenye idadi kubwa ya watu wanaokabiliwa na lishe duni kutokana na uhaba wa chakula.

  • UN: Watu bilioni 2.3 walikumbwa na uhaba wa chakula 2021

    UN: Watu bilioni 2.3 walikumbwa na uhaba wa chakula 2021

    Jul 07, 2022 07:52

    Taasisi za Umoja wa Mataifa zimeonya kuwa, kupanda kwa bei za chakula, fueli na mbolea kote duniani kulikosababishwa na vita vya Ukraine kunaiweka dunia katika hatari ya kutumbukia kwenye mgogoro mkubwa wa chakula na baa la njaa.

  • UN: Utapiamlo umeua watoto 200 nchini Somalia

    UN: Utapiamlo umeua watoto 200 nchini Somalia

    Jul 06, 2022 06:16

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kuratibu Masuala ya Kibinadamu (OCHA) imesema kwa akali watoto 200 wamepoteza maisha nchini Somalia kutokana na utapiamlo.

  • Ripoti: Nusu ya watu wa Somalia wanahitaji msaada wa haraka wa chakula

    Ripoti: Nusu ya watu wa Somalia wanahitaji msaada wa haraka wa chakula

    Jul 04, 2022 10:58

    Maeneo ya kandokando ya mji mkuu wa Somalia, Mogadishu yamekumbwa na wimbi kubwa la wakimbizi wanaolazimika kukimbia makazi yao kutokana na njaa iliyosababishwa na ukame mkubwa huko kusini na magharibi mwa Somalia.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS