Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

njaa

  • Mauaji katika safu ya chakula

    Mauaji katika safu ya chakula

    Mar 06, 2024 06:42

    Karibuni kuwa nasi katika kipindi chetu cha leo cha Makala ya Wiki. Kipindi hiki kinatupia jicho mauaji yaliyofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Gaza waliokuwa katika safu za kupokea misaada ya kibinadamu huko Rafah.

  • Le Monde: Hakuna matumaini ya kukomeshwa vita hivi karibuni nchini Sudan

    Le Monde: Hakuna matumaini ya kukomeshwa vita hivi karibuni nchini Sudan

    Feb 11, 2024 08:37

    Ripoti iliyochapishwa na gazeti la Ufaransa la Le Monde imesema kwamba, baada ya zaidi ya miezi 9 ya vita kati ya Jeshi la Sudan linaloongozwa na Abdel Fattah al-Burhan na Vikosi vya Msaada wa Haraka chini ya uongozi wa Mohamed Hamdan Dagalo, hakuna uwezekano wa kumalizika vita hivyo karibuni.

  • Sudan yakanusha taarifa za UN kuhusu Al-Burhan kukubali kukutana na Hemedti nchini Uswisi

    Sudan yakanusha taarifa za UN kuhusu Al-Burhan kukubali kukutana na Hemedti nchini Uswisi

    Feb 09, 2024 04:40

    Ofisi ya Rais wa Jamhuri ya Sudan jana Alhamisi ilikanusha taarifa iliyotolewa na Mratibu wa Masuala ya Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa, Martin Griffiths, ambaye alidokeza kuwa Rais wa Baraza Kuu la Utawala nchini Sudan, Jenerali Abdel Fattah Al-Burhan, amekubali kukutana na Kamanda wa Kikosi cha Msaada wa Haraka, Mohamed Hamdan Dagalo (Hemedti), nchini Uswisi, kwa madhumuni ya kuwezesha kuwasili kwa misaada kwa watu walioathirika na vita huko Sudan.

  • UN: Nusu ya wakazi wa Gaza katika hatari ya kufa njaa

    UN: Nusu ya wakazi wa Gaza katika hatari ya kufa njaa

    Dec 15, 2023 07:08

    Afisa wa ngazi ya juu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuwa, asilimia 50 ya wakazi wa eneo la Palestina la Ukanda wa Gaza linalokaliwa kwa mabavu wapo hatari ya kupoteza maisha kutokana na makali ya njaa.

  • Njaa yaua watu 176 eneo la Tigray, Ethiopia

    Njaa yaua watu 176 eneo la Tigray, Ethiopia

    Dec 13, 2023 23:40

    Watu wasiopungua 176 wameaga dunia katika eneo la Tigray la kaskazini mwa Ethiopia kutokana na njaa iliyosababishwa na ukame ambao umeendelea kushuhudiwa katika baadhi ya maeneo ya nchi hiyo.

  • Ripoti: Karibu robo milioni ya watu wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula

    Ripoti: Karibu robo milioni ya watu wanakabiliwa na uhaba mkubwa wa chakula

    Sep 15, 2023 08:20

    Takriban watu milioni 238 wanasumbuliwa na viwango vya juu vya ukosefu wa usalama (utoshelevu) wa chakula katika nchi 48 duniani.

  • Mamilioni wahama makazi yao Somalia kutokana na ukame, migogoro

    Mamilioni wahama makazi yao Somalia kutokana na ukame, migogoro

    Aug 31, 2023 23:35

    Robo ya wananchi wote wa Somalia wamelazimika kuyahama makazi yao kutokana na ukame na migogoro.

  • Watoto milioni 3 katika hatari ya kufa njaa Sudan Kusini

    Watoto milioni 3 katika hatari ya kufa njaa Sudan Kusini

    Jul 28, 2023 08:35

    Maafisa wa serikali ya Sudan Kusini wamesema mamilioni ya watoto nchini humo wapo katika hatari ya kupoteza maisha kutokana na mgogoro wa njaa unaolikabili taifa hilo changa zaidi barani Afrika.

  • Mamilioni ya watoto wa Yemen wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa

    Mamilioni ya watoto wa Yemen wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa

    Jul 19, 2023 04:30

    Zaidi ya watoto milioni 6 nchini Yemen wanakabiliwa na hatari ya baa la njaa na kwamba, wanahitajia misaada ya haraka ya chakula na dawa.

  • UN: Kuongezeka kwa njaa duniani ni matokeo ya Corona na vita

    UN: Kuongezeka kwa njaa duniani ni matokeo ya Corona na vita

    Jul 14, 2023 04:32

    Umoja wa Mataifa umetangaza kwamba migogoro mingi, ikiwa ni pamoja na vita na maambukizi ya virusi vya Corona, imezidisha idadi ya watu wenye njaa duniani.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS