Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

onyo

  • Onyo la Russia kuhusu kuzuka vita vya nyuklia kufuatia ongezeko la kutumwa silaha za Magharibi nchini Ukraine

    Onyo la Russia kuhusu kuzuka vita vya nyuklia kufuatia ongezeko la kutumwa silaha za Magharibi nchini Ukraine

    Mar 25, 2023 02:18

    Dmitry Medvedev, Naibu Mkuu wa Baraza la Usalama wa Kitaifa la Russia, ameonya juu ya uwezekano wa kutokea vita vya nyuklia, akisema kuendelea kutumwa silaha nchini Ukraine kunaongeza maradufu uwezekano wa kuibuka hivi karibuni vita vya nyuklia karibu katika eneo.

  • Onyo la Putin kuhusu kukithiri kwa vitisho vya kigaidi nchini Afghanistan

    Onyo la Putin kuhusu kukithiri kwa vitisho vya kigaidi nchini Afghanistan

    Feb 12, 2023 02:34

    Rais wa Russia, Vladimir Putin amesema kwamba: "Tishio la ugaidi limeongezeka baada ya Marekani kuondoka Afghanistan."

  • Indhari ya Antonio Guterres kuhusu kubadilika vita vya Ukraine na kuwa vita vya dunia

    Indhari ya Antonio Guterres kuhusu kubadilika vita vya Ukraine na kuwa vita vya dunia

    Feb 08, 2023 03:17

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametahadharisha kwamba, hatua zozote za kuchochea mgogoro wa Russia na Ukraine huenda zikaitumbukiza dunia katika vita vipana na vikubwa zaidi.

  • Onyo la Russia kwa Netanyahu kuhusu msaada wa silaha kwa Ukraine

    Onyo la Russia kwa Netanyahu kuhusu msaada wa silaha kwa Ukraine

    Feb 04, 2023 02:14

    Russia imeuonya vikali utawala haramu wa Israel baada ya Waziri Mkuu wa utawala huo Benjamin Netanyahu kutangaza Jumatano usiku kwamba anachunguza suala la kutuma msaada wa kijeshi wa utawala huo nchini Ukraine.

  • Onyo la Russia kwa NATO kuhusu kuipa Ukraine mfumo wa makombora wa Patriot

    Onyo la Russia kwa NATO kuhusu kuipa Ukraine mfumo wa makombora wa Patriot

    Dec 15, 2022 09:15

    Serikali ya Russia imetangaza kuwa, uamuzi wa Jeshi la Nchi za Magharibi NATO wa kuipa Ukraine mfumo wa kujilinda kwa makombora wa Patriot umechukuliwa kwa lengo la kuishambulia Russia na hiyo ina maana ya kuihalalishia Moscow kuzishambulia nchi wanachama wa NATO.

  • Onyo la Russia kuhusu Wamagharibi kutuma magaidi nchini Ukraine

    Onyo la Russia kuhusu Wamagharibi kutuma magaidi nchini Ukraine

    Nov 04, 2022 12:15

    Katibu wa Baraza la Usalama wa Taifa la Russia, Nikolay Patrushev, ametangaza kuwa Marekani na Uingereza zinasajili na kuajiri magaidi wa kimataifa kwa ajili ya kushirikiana na jeshi la Ukraine katika vita dhidi ya Russia.

  • Onyo la Iran kwa Umoja wa Ulaya

    Onyo la Iran kwa Umoja wa Ulaya

    Oct 07, 2022 10:57

    Hossein Amir Abdollahian, Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Jumatano alifanya mazungumzo kwa njia ya simu na Josep Borrell, mkuu wa sera za kigeni wa Umoja wa Ulaya.

  • Onyo la Katibu Mkuu wa UN la kutokea vita vya nyuklia duniani

    Onyo la Katibu Mkuu wa UN la kutokea vita vya nyuklia duniani

    Aug 03, 2022 08:22

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ameonya kuhusu hatari ya kutokea vita vya nyuklia duniani. Alitoa onyo hilo Jumatatu, Agosti 1, 2022 wakati wa ufunguzi wa mkutano wa Kuangaliwa Upya Mkataba wa NPT wa Kuzuia Uzalishaji na Uenezaji wa Silaha za Nyuklia.

  • Onyo jipya la kijeshi la Marekani kwa China

    Onyo jipya la kijeshi la Marekani kwa China

    Apr 25, 2022 02:18

    Mashindano ya kijeshi na kiusalama baina ya Marekani na China katika eneo la Indo-Pasifiki yamechukua muelekeo mpya kutokana na jitihada za pande mbili za kujiimarisha kijeshi katika eneo hilo muhimu kistratijia.

  • Russia yaonya kuhusu kutumwa magaidi wa ISIS nchini Ukraine

    Russia yaonya kuhusu kutumwa magaidi wa ISIS nchini Ukraine

    Mar 06, 2022 04:49

    Idara ya Ujasusi wa Nje ya Russia (SVR) imesema katika taarifa yake ya siku ya Ijumaa kwamba Marekani inawapa mafunzo magaidi wa Daesh (ISIS) katika kituo cha Al-Tanf nchini Syria ili wapelekwe Ukraine.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS