Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Pakistan

  • Katibu Mkuu wa UN ataka India, Pakistan zipunguze uhasama

    Katibu Mkuu wa UN ataka India, Pakistan zipunguze uhasama

    Feb 20, 2019 04:31

    Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres ametoa wito kwa India na Pakistan zichukue hatua za haraka kupunguza uhasama baina yao kufuatia hujuma mbaya ya kigaidi huko Kashmir ambayo imepelekea kuwepo hatari ya kuibuka mapigano baina ya nchi hizo mbili zenye silaha za nyuklia.

  • India yaituhumu Pakistan kwa kuhusika na shambulizi la Kashmir

    India yaituhumu Pakistan kwa kuhusika na shambulizi la Kashmir

    Feb 19, 2019 12:21

    Kamanda wa jeshi la India katika eneo la Kashmir Luteni Jenerali G S Dhillon amesema kuwa shirika la ujasusi la Pakistan limehusika katika hujuma iliyolenga msafara wa askari usalama wa nchi hiyo wiki iliyopita ambayo imeua zaidi ya askari 40 wa India.

  • Bahram Qassemi: Madola ya Ulaya hayapaswi kufuatilia kukamilisha matakwa yao kutoka kwa Iran

    Bahram Qassemi: Madola ya Ulaya hayapaswi kufuatilia kukamilisha matakwa yao kutoka kwa Iran

    Feb 18, 2019 11:44

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema kuwa, subira na uvumilivu wa wananchi na serikali ya Iran una mipaka na kwamba, madola ya Ulaya hayapaswi kutumia muda kwa ajili ya kufuatilia kukamilisha matakwa yao kutoka kwa Iran.

  • Safari ya Bin Salman nchini Pakistan, mgeni aliyesusiwa na wenyeji

    Safari ya Bin Salman nchini Pakistan, mgeni aliyesusiwa na wenyeji

    Feb 18, 2019 07:29

    Mrithi wa Kiti cha Ufalme wa Saudi Arabia, Muhammad bin Salman aliwasili jana Jumapili nchini Pakistan akiandamana na ndege saba na akisindikizwa na ndege kadhaa za kijeshi za Pakistan. Safari hiyo inafanyika chini ya ulinzi mkali.

  • Mazungumzo ya Waziri Mkuu wa Pakistan na viongozi wa Qatar mjini Doha

    Mazungumzo ya Waziri Mkuu wa Pakistan na viongozi wa Qatar mjini Doha

    Jan 22, 2019 23:17

    Katika safari yake ya kwanza rasmi nchini Qatar, Waziri Mkuu wa Pakistan Jumatatu usiku alikutana na kufanya mazungumzo na mwenyeji wake Abdullah bin Nasser bin Khalifa Al Thani.

  • Takwa la Pakistan kwa Taliban la kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na serikali ya Afghanistan

    Takwa la Pakistan kwa Taliban la kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na serikali ya Afghanistan

    Jan 12, 2019 23:26

    Waziri wa Mashauri ya Kigeni wa Pakistan amelitaka kundi la wanamgambo wa Taliban kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na serikali ya Afghanistan bila ya kupitia kwa mtu mwingine ili kufanikisha malengo ya amani.

  • Jibu la Pakistan kwa matamshi ya hivi karibuni ya Waziri Mkuu wa India

    Jibu la Pakistan kwa matamshi ya hivi karibuni ya Waziri Mkuu wa India

    Jan 04, 2019 04:33

    Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Pakistan amelaani vikali vitisho na matamshi yaliyotolewa hivi karibuni ya Waziri Mkuu wa India dhidi ya Pakistan.

  • Sisitizo la maulamaa wa Pakistan la kuwa kitu kimoja Waislamu wa Kishia na Kisuni

    Sisitizo la maulamaa wa Pakistan la kuwa kitu kimoja Waislamu wa Kishia na Kisuni

    Dec 22, 2018 21:36

    Maulamaa wa Kishia na Kisuni wa Pakistan wametilia mkazo kuwepo umoja kati ya Waislamu nchini humo ili kukabiliana na njama za maadui wa Uislamu.

  • Rouhani: Madola ya kibeberu ndiyo yaliyounda makundi ya kigaidi duniani

    Rouhani: Madola ya kibeberu ndiyo yaliyounda makundi ya kigaidi duniani

    Dec 09, 2018 00:05

    Rais Hassan Rouhani wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesema madola ya kibeberu ndiyo yaliyounda na kuyafadhili kwa hali na mali makundi ya kigaidi duniani, na kwamba irada thabiti na jitihada za pamoja zinahitajika ili kulitokomeza jinamizi hilo linalotishia usalama wa dunia.

  • Mkutano wa maspika wa mabunge ya nchi sita wamalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa

    Mkutano wa maspika wa mabunge ya nchi sita wamalizika mjini Tehran kwa kutoa taarifa

    Dec 08, 2018 12:07

    Maspika wa mabunge ya nchi sita za Iran, Russia, Uturuki, China, Pakistan na Afghanistan umemalizika leo hapa mjini Tehran kwa taarifa ya pamoja ya kuimarisha uhusiano katika kupambana na ugaidi na kuongeza ushirikiano wao wa kieneo.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS