-
Uhispania na Ireland kujiunga na nchi zaidi ya 20 zitakazochukua 'hatua madhubuti' dhidi ya Israel
Jul 11, 2025 13:15Uhispania na Ireland zitajiunga na zaidi ya nchi 20 zitazokutana katika mji mkuu wa Colombia, Bogota wiki ijayo kutangaza "hatua madhubuti" dhidi ya ukiukaji wa sheria za kimataifa unaofanywa na utawala wa kizayuni wa Israel.
-
Upeo wa ukatili; Israel yaua Wapalestina zaidi ya 80 Gaza ndani ya saa 24
Jul 10, 2025 23:24Mashambulizi ya Israel katika maeneo mbali mbali huko Gaza yameua shahidi watu wasiopungua 82 tangu alfajiri ya jana, kwa mujibu wa Wizara ya Afya ya Gaza, wakati huu ambapo mazungumzo yanaendelea ya kusitisha mapigano hayo.
-
Unajua kwa nini Marekani imemuwekea vikwazo Ripota Maalumu wa UN kuhusu Maeneo ya Palestina Yanayokaliwa kwa Mabavu?
Jul 10, 2025 22:56Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Marco Rubio, alitangaza Jumatano, Julai 9, kwamba atamuwekea vikwazo Francesca Albanese, Ripota Maalumu wa Umoja wa Mataifa katika Maeneo ya Palestina Yanayokaliwa kwa Mabavu, kwa kile alichokiita "juhudi zisizo halali zinazohusiana na uchunguzi wake kuhusu vita vya Israel dhidi ya watu wa Gaza" na eti kwa kuchukua "hatua dhidi ya maafisa wa Marekani na Israel."
-
Al-Qassam yamwangamiza askari wa Kizayuni baada ya kutofanikiwa kumkamata mateka
Jul 10, 2025 09:40Brigedi za Izzuddinul-Qassam, tawi la kijeshi la Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS limetangaza kuwa limelazimika kumuangamiza mwanajeshi mmoja wa jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel katika mji wa Khan Younis, kusini mwa Ukanda wa Ghaza baada ya mazingira kwenye medani ya mapambano kutoruhusu kumkamata mateka.
-
HAMAS: Ghaza haitasalimu amri; Muqawama ndio utakaotoa masharti
Jul 10, 2025 04:05Kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS Izzat al-Rishq amesema, Ghaza haitasalimu amri, na ni Muqawama ndio utakaotoa masharti, si utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Kwa nini njama za utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina zimeshindwa licha ya kuzingirwa Gaza?
Jul 08, 2025 23:05Licha ya kuendelea mzingiro wa Gaza na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni dhidi ya wananchi wa Palestina, lakini makundi ya muqawama ya Palestina yanaendelea kusimama kidete na kukabiliana na njama za Wazayuni.
-
Jeshi la Israel lakiri askari wake 5 wameangamizwa, 14 wamejeruhiwa Ghaza
Jul 08, 2025 08:52Jeshi la utawala wa kizayuni wa Israel limetangaza kuwa askari wake watano wameuawa na wengine 14 wamejeruhiwa katika mapigano kaskazini mwa Ukanda wa Ghaza.
-
Rais wa Brazil ailaani waziwazi Israel kwa mauaji ya kimbari ya Ghaza katika kikao cha BRICS
Jul 06, 2025 15:58Rais Luiz Inacio Lula da Silva wa Brazil amesema dunia lazima ichukue hatua kukomesha kile alichokitaja kama "mauaji ya kimbari" yanayofanywa Israel huko Ghaza.
-
Hamas: Muqawama utaendelea kukabiliana na mashambulizi ya Israel
Jul 01, 2025 08:55Afisa wa ngazi ya juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) ameonya kuwa kuendelea mashambulizi na hujuma za Israel kunazidisha mapambano na muqawama wa wananchi wa Palestina dhidi ya maghasibu Wazayuni.
-
"Kuuawa viongozi wa Muqawama kunaimarisha irada ya Wapalestina"
Jun 08, 2025 23:19Harakati ya Jihadul Islami ya Palestina imelaani vikali mauaji ya Israel dhidi ya afisa mashuhuri wa Muqawama na watu wengine 30 katika mji wa Gaza na kusisitiza kuwa, mauaji hayo yanayolenga viongozi wa mrengo wa mapambano kamwe hayatadhoofisha uthabiti na azma ya wananchi wa Palestina.