-
Arab League yapinga rasmi msimamo wa Marekani dhidi ya Palestina kuhusu ujenzi wa vitongoji
Nov 26, 2019 04:35Mawaziri wa mambo ya nje wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Nchi za Kiarabu wametoa taarifa maalumu ya kuwaunga mkono wananchi wa Palestina dhidi ya uungaji mkono wa Marekani kwa utawala haramu wa Kizayuni wa Israel.
-
Wanachama wa Baraza la Usalama waikosoa vikali Marekani
Nov 22, 2019 23:08Rais Donald Trump wa Marekani amechukua msimamo wa kuunga mkono kwa hali na mali na bila ya masharti yoyote utawala haramu wa Israel na licha ya maazimio kadhaa ya Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa yanayopiga marufuku kuunganishwa ardhi zinazokaliwa kwa mabavu na utawala huo tokea mwaka 1967, ikiwemo miinuka ya Golan ya Syria, lakini bado serikali ya Washington inauchukulia ukaliaji mabavu huo wa utawala wa Kizayuni kuwa ni jambo halali na linaloruhusiwa.
-
Jumamosi, Novemba 23, 2019
Nov 22, 2019 23:07Leo ni Jumamosi tarehe 25 Mfunguo Sita Rabiul-Awwal 1441 Hijria mwafaka na tarehe 23 Novemba 2019 Miladia.
-
Mousavi: Hatua za Marekani kuhusiana na Palestina ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa
Nov 21, 2019 23:46Msemaji wa Wizara ya Mashauri ya Kigeni ya Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amesisitiza kuwa, hatua na matamashi ya viongozi wa Marekani kuhusiana na Palestina ni ukiukaji wa wazi kabisa wa sheria za kimataifa.
-
Luxembourg: Umoja wa Ulaya unapasa kulitambua rasmi taifa la Palestina
Nov 21, 2019 08:16Waziri wa Mambo ya Nje wa Luxembourg amesisitiza kwamba Umoja wa Ulaya ni lazima uitambue rasmi nchi huru ya Palestina.
-
Israel imewatia mbaroni mamia ya watoto wa Kipalestina
Nov 20, 2019 04:22Utawala wa Kizayuni wa Israel umewatia mbaroni watoto 745 wa Kipalestina wenye chini ya umri wa miaka 18, tangu mwazoni mwa huu hadi sasa.
-
Hatua mpya ya serikali ya Trump ya kuunga mkono hatua haramu za utawala wa Kizayuni
Nov 20, 2019 03:35Moja ya misingi ya wazi kabisa ya sera za kigeni za Marekani katika kipindi cha utawala wa Rais Donald Trump ni kuuunga mkono bila masharti utawala haramu wa Israel na kutekeleza kivitendo hatua ambazo marais waliotangulia wa nchi hiyo walijizuia kuzitekeleza.
-
Jumatano tarehe 20 Novemba 2019
Nov 19, 2019 23:02Leo ni Jumatano tarehe 22 Rabiul Awwal 1441 Hijria sawa na Novemba 20 mwaka 2019.
-
Palestina yalalamikia uamuzi wa Marekani wa kuunga mkono ujenzi haramu wa vitongoji unaofanywa na Israel
Nov 19, 2019 09:49Palestina imelalamikia uungaji mkono wa Marekani kwa ujenzi haramu wa vitongoji unaofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel katika Ufukwe wa Magharibi wa Mto Jordan kwa kuuandikia barua tatu Umoja wa Mataifa.
-
EU yatofautiana na US kuhusu uporaji wa ardhi za Wapalestina
Nov 19, 2019 04:36Umoja wa Ulaya umeshikilia msimamo wake kuwa ujenzi wa vitongoji vya walowezi wa Kiyahudi katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu ni haramu na kinyume cha sheria za kimataifa.