Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Jumamosi, Aprili 13, 2019

    Jumamosi, Aprili 13, 2019

    Apr 12, 2019 20:48

    Leo ni Jumamosi tarehe 7 Sha'aban 1440 Hijria, mwafaka na tarehe 13 Aprili 2019.

  • Waziri aongoza walowezi wa Kizayuni kuuhujumu Msikiti wa al Aqsa mjini Quds

    Waziri aongoza walowezi wa Kizayuni kuuhujumu Msikiti wa al Aqsa mjini Quds

    Apr 12, 2019 00:01

    Waziri mmoja wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameliongoza genge la walowezi wa Kizayuni katika kushambulia na kuvunjia heshima Msikiti mtukufu wa al-Aqsa na kibla cha kwanza cha Waislamu wote duniani.

  • Wizara: Israel inatumia gesi za sumu dhidi ya waandamanaji wa Kipalestina

    Wizara: Israel inatumia gesi za sumu dhidi ya waandamanaji wa Kipalestina

    Apr 09, 2019 10:08

    Msemaji wa Wizara ya Afya ya Gaza amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umekuwa ukitumia gesi za sumu dhidi ya waandamanaji wa Kipalestina katika ukanda huo.

  • Larijani: Nchi za Kiislamu zimeitelekeza Palestina

    Larijani: Nchi za Kiislamu zimeitelekeza Palestina

    Apr 08, 2019 03:28

    Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) Ali Larijani ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya nchi za Kiislamu ya kuitelekeza na kuiweka pembeni kadhia muhimu katika ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa, ambayo ni Palestina.

  • Uturuki yakosoa matamshi ya kijuba ya Waziri Mkuu wa Israel

    Uturuki yakosoa matamshi ya kijuba ya Waziri Mkuu wa Israel

    Apr 08, 2019 03:27

    Uturuki imekosoa vikali matamshi wa Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu aliyedai kuwa iwapo ataibuka mshindi katika uchaguzi mkuu ujao, basi atauunganisha rasmi Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na maeneo mengine ya Wapalestina yanayokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu, chini ya mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne".

  • Mfalme wa Jordan: Milima ya Golan ni ardhi ya Syria inayokaliwa kwa mabavu na Wazayuni

    Mfalme wa Jordan: Milima ya Golan ni ardhi ya Syria inayokaliwa kwa mabavu na Wazayuni

    Apr 06, 2019 10:14

    Mfalme Abdullah wa Pili wa Jordan amesema kuwa, kwa mujibu wa hati na maazimo yote ya kimataifa, milima ya Golan ni ardhi ya Syria isiyotenganishika na ardhi nyingine za nchi hiyo.

  • Ijumaa, Aprili 5, 2019

    Ijumaa, Aprili 5, 2019

    Apr 04, 2019 22:13

    Leo ni Ijumaa tarehe 29 ya mwezi Rajab 1440 Hijria ambayo inalingana na tarehe 5 Aprili 2019 Miladia.

  • Jumatano, 3 Aprili, 2019

    Jumatano, 3 Aprili, 2019

    Apr 02, 2019 20:46

    Leo ni Jumatano tarehe 27 Rajab mwaka 1440 Hijria sawa na Aprili 3 mwaka 2019.

  • Safari ya rais wa Brazil Palestina inayokaliwa kwa mabavu, tamaa ya Wazayuni yashindwa kutimia

    Safari ya rais wa Brazil Palestina inayokaliwa kwa mabavu, tamaa ya Wazayuni yashindwa kutimia

    Apr 02, 2019 03:01

    Kuingia madarakani Rais Jair Bolsonaro huko Brazil ambaye alianza kazi yake rasmi mwezi Januari mwaka huu wa 2019 kumepokewa kwa hisia tofauti.

  • Hamas yataka kurejeshwa haki za taifa la Palestina zilizoporwa na Wazayuni

    Hamas yataka kurejeshwa haki za taifa la Palestina zilizoporwa na Wazayuni

    Apr 01, 2019 20:26

    Dakta Mahmoud al-Zahar, kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, muqawama na mapambano yatawalazimisha wavamizi wa Kizayuni kurejesha haki za Wapalestina walizozipora.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS