-
Jumamosi, Aprili 13, 2019
Apr 12, 2019 20:48Leo ni Jumamosi tarehe 7 Sha'aban 1440 Hijria, mwafaka na tarehe 13 Aprili 2019.
-
Waziri aongoza walowezi wa Kizayuni kuuhujumu Msikiti wa al Aqsa mjini Quds
Apr 12, 2019 00:01Waziri mmoja wa utawala wa Kizayuni wa Israel ameliongoza genge la walowezi wa Kizayuni katika kushambulia na kuvunjia heshima Msikiti mtukufu wa al-Aqsa na kibla cha kwanza cha Waislamu wote duniani.
-
Wizara: Israel inatumia gesi za sumu dhidi ya waandamanaji wa Kipalestina
Apr 09, 2019 10:08Msemaji wa Wizara ya Afya ya Gaza amesema utawala wa Kizayuni wa Israel umekuwa ukitumia gesi za sumu dhidi ya waandamanaji wa Kipalestina katika ukanda huo.
-
Larijani: Nchi za Kiislamu zimeitelekeza Palestina
Apr 08, 2019 03:28Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu (Bunge la Iran) Ali Larijani ameeleza kusikitishwa kwake na hatua ya nchi za Kiislamu ya kuitelekeza na kuiweka pembeni kadhia muhimu katika ulimwengu wa Kiislamu hivi sasa, ambayo ni Palestina.
-
Uturuki yakosoa matamshi ya kijuba ya Waziri Mkuu wa Israel
Apr 08, 2019 03:27Uturuki imekosoa vikali matamshi wa Waziri Mkuu wa utawala haramu wa Israel, Benjamin Netanyahu aliyedai kuwa iwapo ataibuka mshindi katika uchaguzi mkuu ujao, basi atauunganisha rasmi Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan na maeneo mengine ya Wapalestina yanayokaliwa kwa mabavu na utawala huo ghasibu, chini ya mpango wa Marekani wa "Muamala wa Karne".
-
Mfalme wa Jordan: Milima ya Golan ni ardhi ya Syria inayokaliwa kwa mabavu na Wazayuni
Apr 06, 2019 10:14Mfalme Abdullah wa Pili wa Jordan amesema kuwa, kwa mujibu wa hati na maazimo yote ya kimataifa, milima ya Golan ni ardhi ya Syria isiyotenganishika na ardhi nyingine za nchi hiyo.
-
Ijumaa, Aprili 5, 2019
Apr 04, 2019 22:13Leo ni Ijumaa tarehe 29 ya mwezi Rajab 1440 Hijria ambayo inalingana na tarehe 5 Aprili 2019 Miladia.
-
Jumatano, 3 Aprili, 2019
Apr 02, 2019 20:46Leo ni Jumatano tarehe 27 Rajab mwaka 1440 Hijria sawa na Aprili 3 mwaka 2019.
-
Safari ya rais wa Brazil Palestina inayokaliwa kwa mabavu, tamaa ya Wazayuni yashindwa kutimia
Apr 02, 2019 03:01Kuingia madarakani Rais Jair Bolsonaro huko Brazil ambaye alianza kazi yake rasmi mwezi Januari mwaka huu wa 2019 kumepokewa kwa hisia tofauti.
-
Hamas yataka kurejeshwa haki za taifa la Palestina zilizoporwa na Wazayuni
Apr 01, 2019 20:26Dakta Mahmoud al-Zahar, kiongozi mwandamizi wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amesema kuwa, muqawama na mapambano yatawalazimisha wavamizi wa Kizayuni kurejesha haki za Wapalestina walizozipora.