-
Hadithi ya Uongofu (116)
Jul 11, 2018 08:00Assalaamu alaykum wapenzi wasikilizaji na karibuni katika sehemu nyingine ya kipindi hiki cha Hadithi ya Uongo. Kipindi chetu kilichopita kilizungumzia makundi ya watu ambao inaruhusiwa kuwasengenya.
-
Mufti Mkuu wa Beitul-Muqaddas: Ni haramu kuwapatia maadui ardhi za Palestina
Jul 11, 2018 03:10Mufti Mkuu wa Beitul-Muqaddas na ardhi zinazokaliwa kwa mabavu za Palestina ametangaza kuwa, kuwapatia maadui ardhi za Palestina ambazo ni mali ya Wapalestina ni haramu.
-
HAMAS: Hatujafanya mazungumzo na yeyote kuhusu "Muamala wa Karne"
Jul 09, 2018 21:54Mjumbe wa ngazi za juu wa Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS amekanusha vikali baadhi ya madai kuhusiana na kukubali kujadili viongozi wa harakati hiyo mpango wa "Muamala wa Karne".
-
UN, EU zaitaka Israel isibomoe kijiji cha Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Jul 05, 2018 09:38Umoja wa Mataifa na Umoja wa Ulaya zimeutaka utawala wa Kizayuni wa Israel usitishe mpango wake wa kubomoa kijiji cha Wapalestina katika Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan.
-
Wanajeshi wa Israel wawapiga wanawake wa Kipalesatina na kuwavua hijabu zao
Jul 05, 2018 03:22Wanajeshi wa Israel wametenda jinai nyingine baada ya kuwapiga, kuwadhalilisha na kuwavua hijabu wanawake wa Kipalestina katika kijiji cha Khan al-Ahmar mashariki mwa mji wa Quds.
-
Jeshi la Israel lashambulia maandamano ya wanawake wa Kipalestina, 134 wajeruhiwa
Jul 04, 2018 02:57Askari katili wa utawala wa Kizayuni wa Israel wameyashambulia kwa risasi hai maandamano ya wanawake wa Kipalestina katika Ukanda wa Gaza na kujeruhi 134 miongoni mwao.
-
Palestina yazitaka nchi za Afrika kukata uhusiano na Israel
Jul 02, 2018 09:17Waziri wa Mambo ya Nje wa Palestina ameziomba nchi za bara la Afrika zitazame upya uhusiano wao na utawala haramu wa Israel.
-
Waandamanaji wa Kipalestina watungua drone ya Israel
Jul 01, 2018 02:49Waandamanaji wa Kipalestina wamedondosha ndege ya kijasusi isiyo na rubani ya utawala wa Kizayuni wa Israel, katika Ukanda wa Gaza.
-
Utawala wa Kizayuni kubomoa nyumba 50 za Wapalestina Ukingo wa Magharibi
Jun 23, 2018 03:24Utawala wa Kizayuni wa Israel umetishia kubomoa zaidi ya nyumba 50 za Wapalestina kaskazini mwa Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan, ikiwa ni muendelezo wa sera kandamizi za Tel Aviv katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu kinyume cha sheria za kimataifa.
-
Algeria yalaani jinai za Israel huko Palestina na uungaji mkono wa Marekani
Jun 21, 2018 23:33Waziri Mkuu wa Algeria amesema Algiers inapinga vikali jinai na mauaji yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel huko Palestina licha ya uungaji mkono wa Marekani kwa utawala huo.