-
Wakristo waendelea kuilaani Israel, waiambia Yerusalemu si mji wenu
Jan 13, 2018 04:19Askofu Mkuu wa Kanisa la Rome Orthodox linalojulikana kwa jina rasmi la Orthodox Catholic Church katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu na Wazayuni, kwa mara nyingine tena amelaani jinai za Israel dhidi ya Wakristo na Waislamu na kusema kuwa, mji wa Quds (Yerusalemu) ni mali ya Wapalestina si mji wa Wazayuni.
-
Netanyahu: Makao ya Bunge na Serikali ya Israel yatakuwa Baitul Muqaddas
Jan 11, 2018 12:56Waziri Mkuu wa utawala wa Kizayuni wa Israel amesema makao ya bunge na serikali ya utawala huo haramu yatahamishiwa mji wa Baitul Muqaddas.
-
EU kufanya mkutano wa dharura wa wafadhili wa Palestina
Jan 11, 2018 04:21Umoja wa Ulaya na Norway zinatazamiwa kufanya kikao cha dharura cha nchi wafadhili wa Palestina karibuni hivi, baada ya Marekani kutishia kuikatia misaada taasisi ya Umoja wa Mataifa inayoshuughulikia wakimbizi wa Kipalestina.
-
Iran na Misri zatoa wito wa kuendelea kuungwa mkono Palestina
Jan 09, 2018 12:28Hossein Amir-Abdollahian, msaidizi maalumu wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika masuala ya kimataifa amesisitizia umuhimu wa kuendelea kuungwa mkono kadhia ya Palestina.
-
Utawala wa Kizayuni wakiri kuwauwa kwa umati Wapalestina
Jan 08, 2018 04:46Polisi ya utawala wa Kizayuni imetangaza kuwa Wapalestina 201 ambao kuanzia mwezi Oktoba mwaka 2015 walishiriki katika oparesheni dhidi ya utawala huo wameuliwa hadharani.
-
Maulamaa wa Palestina: Iran inaunga mkono kadhia ya Palestina
Jan 05, 2018 00:55Baraza la Maulamaa wa Kiislamu huko Palestina limetangaza kuwa, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imekuwa ikiunga mkono kwa hali na mali kadhia ya Palestina.
-
Serikali ya Palestina yatakiwa kubatilisha mapatano na Israel kwa ajili ya Quds
Jan 03, 2018 00:32Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (Hamas) imeitaka serikali ya Mamlaka ya Ndani ya Palestina inayoongozwa na Mahmoud Abbas kujiondoa katika Mapatano ya Oslo baina yake na utawala haramu wa Israel kama njia ya kulalamikia hatua ya Bunge la utawala wa Kizayuni wa Israel ya kupitisha muswada wa kudhibiti kikamilifu Quds Tukufu (Jerusalem).
-
Kuitetea Palestina ndiko kumefanya maadui wachochee ghasia Iran
Jan 03, 2018 00:31Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kimataifa ya Wanazuoni Wanamuqawama sambamba na kulaani machafuko yanayoendelea kushuhudiwa katika baadhi ya maeneo hapa nchini Iran, amesisitiza kuwa maadui Wamagharibi ndio waliochochea ghasia hizi kutokana na msimamo wa Jamhuri ya Kiislamu wa kuitetea Palestina na kuunga mkono harakati za muqawama.
-
Israel: Vita vijavyo kati yetu na HAMAS vitatudhoofisha kwa ndani
Jan 02, 2018 04:02Waziri wa Makazi wa Utawala Haramu wa Israel, Yoav Galant amesema kuwa uwezo wa shabaha wa makombora ya Brigedi ya Izzudeen Qassam tawi la kijeshi la Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina HAMAS, utaidhoofisha Israel kwa ndani.
-
Mahmoud Abbas: Wapalestina watabaki katika ardhi yao mpaka Palestina ikombolewe
Jan 01, 2018 04:42Rais wa Mamlaka ya Ndani ya Palestina amesisitiza kwamba: Wapalestina wataendelea kubaki katika aradhi yao hadi Palestina itakapokombolewa.