-
Jumanne, tarehe 17 Septemba, 2024
Sep 17, 2024 02:27Leo ni Jumanne tarehe 13 Mfunguo Sita Rabiul Awwal 1446 Hijria sawa na Septemba 17 mwaka 2024.
-
Qalibaf asisitizia umoja wa Waislamu katika kadhia ya Palestina
Sep 15, 2024 07:32Spika wa Majlisi ya Ushauri ya Kiislamu ya Iran (Bunge) amesisitizia haja ya Waislamu kote duniani kuwa na umoja na mshikamano katika suala la Palestina.
-
Iran yalaani shambulio la Israel dhidi ya skuli ya UN Gaza
Sep 13, 2024 03:05Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani shambulizi la anga la Israel dhidi ya shule nyingine iliyogeuzwa makazi na wakimbizi katika Ukanda wa Gaza, na kusababisha vifo vya watu wasiopungua 18, wakiwemo wafanyakazi sita wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Wakimbizi wa Kipalestina (UNRWA).
-
Mashirika ya haki za binadamu yataka UN 'iwalinde' mateka wa Kipalestina
Sep 13, 2024 02:32Mashirika ya kutetea haki za binadamu yametoa wito kwa nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa kuchukua hatua za haraka "kuwalinda watu walionyimwa uhuru wao" katika ardhi za Palestina zinazokaliwa kwa mabavu.
-
Wazayuni waendelea kuangamizwa katika operesheni za kulipiza kisasi
Sep 08, 2024 11:32Kwa akali walowezi watatu wa Kizayuni wenye umri wa makamo wameangamizwa katika operesheni ya kulipiza kisasi karibu na kivuko daraja la Karama (Allenby) kwenye mpaka kati ya Ukingo wa Magharibi wa Mto Jordan unaokaliwa kwa mabavu na Jordan, huku mashambulizi ya anga ya Wazayuni dhidi ya Ukanda wa Gaza unaozingirwa yakiendelea.
-
Kan'ani: Wahalifu wa Tel Aviv ni wafyonza damu
Sep 04, 2024 07:23Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran ameashiria mauaji ya muigizaji maarufu wa Kipalestina yaliyofanywa na utawala ghasibu wa Israel na kusema kuwa, damu ya Rashad abu Skheileh na zaidi ya Wapalestina wengine 40,000 wa Ukanda wa Gaza ni ithibati ya roho chafu na ya kikatili ya utawala wa Kizayuni wa Israel.
-
Pezeshkian: Iran itaendelea kuunga mkono Muqawama wa Palestina
Sep 04, 2024 03:04Rais wa Iran, Masoud Pezeshkian amesema kuwa, serikali yake iko tayari kutoa uungaji mkono usiotetereka kwa ajili ya mapambano ya mataifa yote yanayodhulumiwa duniani kote, hususan Muqawama wa Palestina dhidi ya utawala ghasibu wa Israel.
-
Waziri Mkuu wa Senegal ataka kutengwa, kususiwa Israel
Sep 01, 2024 06:44Waziri Mkuu wa Senegal, Ousmane Sonko ameziasa nchi za Kiislamu kuususia utawala wa Israel na kuzidisha mashinikizo ya kulitenga dola hilo la Kizayuni.
-
Waisraeli 3 waangamizwa katika operesheni ya kulipiza kisasi karibu na al-Khalil
Sep 01, 2024 06:40Kwa uchache askari polisi wawili wa Israel na mlowezi mmoja wa Kizayuni wameangamizwa katika operesheni ya kulipiza kisasi karibu na mji wa al-Khalil, katika eneo la Palestina la Ukingo wa Magharibi.
-
Watengenezaji filamu wa Palestina walalamikia msimamo usio wa kibinadamu na wa kibaguzi wa Holywood
Aug 30, 2024 02:41Watengenezaji filamu wa Kipalestina wamesaini barua ya wazi wakipinga na kulalamika msimamo usio wa kibinadamu na wa kibaguzi wa Holywood.