Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • Iran yakosoa vitisho na mashinikizo wawakilishi wa Kongresi dhidi ya mahakama ya ICC

    Iran yakosoa vitisho na mashinikizo wawakilishi wa Kongresi dhidi ya mahakama ya ICC

    May 09, 2024 22:41

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amesema kuwa ni fedheha na jambo lenye kutia wasiwasi kuona baadhi ya wawakilishi wa Kongresi na Seneti ya Marekani wanatoa vitisho na kuwashinikiza waendesha mashtaka na majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Jinai (ICC).

  • AU yailaani Israel kwa kupanua mashambulizi yake hadi Rafah

    AU yailaani Israel kwa kupanua mashambulizi yake hadi Rafah

    May 08, 2024 23:01

    Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika amelaani vikali mashambulizi ya utawala haramu wa Israel katika mji wa Rafah, kusini mwa Ukanda wa Gaza.

  • Bahamas yaitambua rasmi Palestina kama nchi

    Bahamas yaitambua rasmi Palestina kama nchi

    May 08, 2024 08:22

    Wizara ya Mambo ya Nje ya Bahamas imetangaza rasmi kuwa inaitambua rasmi Palestina kama nchi.

  •  OIC yataka Israel ibebeshwe dhima kwa jinai dhidi ya Wapalestina

    OIC yataka Israel ibebeshwe dhima kwa jinai dhidi ya Wapalestina

    May 06, 2024 03:42

    Jumuiya ya Ushirikiano wa Kiislamu (OIC) imeitaka jamii ya kimataifa ichukue hatua na kuubebesha dhima utawala wa Kizayuni wa Israel, kutokana na jinai na mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Polisi waondoa kambi ya waungaji mkono wa Palestina katika Chuo Kikuu cha California Kusini

    Polisi waondoa kambi ya waungaji mkono wa Palestina katika Chuo Kikuu cha California Kusini

    May 06, 2024 01:09

    Polisi wa Los Angeles huko Marekani wameondoa kambi ya watu wanaoiunga mkono Palestina pambizoni mwa uwanja wa chuo kikuu cha California kusini.

  • Kiongozi wa HAMAS: Makubaliano ya usitishaji vita lazima yakomeshe uchokozi wa utawala wa Israel

    Kiongozi wa HAMAS: Makubaliano ya usitishaji vita lazima yakomeshe uchokozi wa utawala wa Israel

    May 05, 2024 23:03

    Mkuu wa Ofisi ya Kisiasa ya Harakati ya Muqawama wa Kiislamu ya Palestina HAMAS amesisitiza kuwa, harakati hiyo inataka kufikia makubaliano kamili na jumuishi ili kukomesha uchokozi wa utawala ghasibu wa Kizayuni.

  • Sisitizo la Iran kuhusu Palestina kupewa uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa

    Sisitizo la Iran kuhusu Palestina kupewa uanachama kamili katika Umoja wa Mataifa

    May 04, 2024 23:37

    Amir Saeid Iravani, Balozi na Mwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza umuhimu wa Palestina kuwa mwanachama kamili wa Umoja wa Mataifa.

  • Iran: Palestina inapaswa kuwa mwanachama kamili wa Umoja wa Mataifa

    Iran: Palestina inapaswa kuwa mwanachama kamili wa Umoja wa Mataifa

    May 03, 2024 00:47

    Mwakilishi wa Kudumu wa Iran katika Umoja wa Mataifa amesisitiza udharura wa kukubaliwa Palestina kama mwanachama kamili wa Umoja wa Mataifa.

  • Colombia yaamua kuvunja uhusiano na Israel kwa sababu ya mauaji ya kimbari ya Ghaza

    Colombia yaamua kuvunja uhusiano na Israel kwa sababu ya mauaji ya kimbari ya Ghaza

    May 01, 2024 23:55

    Colombia imeamua kuvunja uhusiano wake wa kidiplomasia na utawala wa Kizayuni wa Israel kutokana na vita vya kinyama na mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala huo haramu dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Ghaza.

  • UN: Ukatili wa polisi ya Marekani dhidi ya watetezi wa Palestina unatia wasiwasi

    UN: Ukatili wa polisi ya Marekani dhidi ya watetezi wa Palestina unatia wasiwasi

    May 01, 2024 03:49

    Kamishna Mkuu wa Haki za Kibinadamu wa Umoja wa Mataifa ameelezea wasiwasi wake juu ya unyanyasaji wa polisi wa Marekani dhidi ya wanafunzi wanaoiunga mkono Palestina.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS