Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Palestina

  • ICJ kuanza kusikiliza kesi ya mauaji ya kimbari inayoikabili Ujerumani Aprili

    ICJ kuanza kusikiliza kesi ya mauaji ya kimbari inayoikabili Ujerumani Aprili

    Mar 16, 2024 03:51

    Majaji wa Mahakama ya Kimataifa ya Haki ICJ wamesema kesi iliyowasilishwa na Nicagarua ikiishtaki Ujerumani kwa kuunga mkono utawala wa Kizayuni katika mauaji ya kimbari ya Wapalestina itaanza kusikilizwa mwezi ujao wa Aprili.

  • Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran: Hali ya Gaza inamfanya kila mwanadamu alie machozi ya damu

    Hatibu wa Swala ya Ijumaa ya Tehran: Hali ya Gaza inamfanya kila mwanadamu alie machozi ya damu

    Mar 15, 2024 10:01

    Khatibu wa Swala ya Ijumaa ya leo mjini Tehran amelitaja suala la Gaza na Palestina kuwa ndiyo kadhia ya kwanza ya Ulimwengu wa Kiislamu.

  • Mashambulio pacha ya jeshi la Kizayuni yaua Wapalestina 29 waliokuwa wakingojea msaada wa chakula Ghaza

    Mashambulio pacha ya jeshi la Kizayuni yaua Wapalestina 29 waliokuwa wakingojea msaada wa chakula Ghaza

    Mar 15, 2024 04:27

    Jeshi la utawala wa Kizayuni wa Israel limewaua shahidi Wapalestina wapatao 29 wakati wakisubiri msaada katika mashambulizi mawili tofauti lililofanywa dhidi ya Ukanda wa Ghaza uliozingirwa.

  • Maandamano ya kuiunga mkono Palestina karibu na ubalozi wa utawala wa Kizayuni Jordan

    Maandamano ya kuiunga mkono Palestina karibu na ubalozi wa utawala wa Kizayuni Jordan

    Mar 13, 2024 23:04

    Maandamano ya kuinga mkono Palestina yamefanyika karibu na ubalozi wa utawala wa Kizayuni huko Amman mji mkuu wa Jordan.

  • Iran na Iraq zasisitizia haja ya kusimamishwa mauaji ya kimbari Gaza

    Iran na Iraq zasisitizia haja ya kusimamishwa mauaji ya kimbari Gaza

    Mar 13, 2024 04:16

    Mawaziri wa Mambo ya Nje wa Iran na Iraq wametoa mwito wa kuchukua hatua zaidi hasa za kisiasa kwa ajili ya kusimamisha mauaji ya kimbari yanayofanywa na utawala wa Kizayuni dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • HAMAS yakanusha madai ya kukubali pendekezo la usitishaji vita

    HAMAS yakanusha madai ya kukubali pendekezo la usitishaji vita

    Mar 13, 2024 04:15

    Harakati ya Mapambano ya Kiislamu ya Palestina (HAMAS) imekadhibisha ripoti ya shirika la habari la al-Arabiya kwamba kundi hilo la muqawama limeafiki 'pendekezo la kimataifa' la usitishaji vita katika Ukanda wa Gaza.

  • Watunisia waandamana mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Tunis dhidi ya Israel

    Watunisia waandamana mbele ya ubalozi wa Marekani mjini Tunis dhidi ya Israel

    Mar 12, 2024 04:11

    Wananchi wa Tunisia jana waliandamana mbele ya ubalozi wa Marekani huko Tunis mji mkuu wa Tunisia kulaani mauaji ya kimbari yanayoendelea kufanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya raia wa Kipalestina wa Ukanda wa Gaza.

  • Raisi: Wajibu wa wakuu wa nchi za Kiislamu ni kudumisha amani miongoni mwa Waislamu

    Raisi: Wajibu wa wakuu wa nchi za Kiislamu ni kudumisha amani miongoni mwa Waislamu

    Mar 11, 2024 23:43

    Rais wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran amewapongeza viongozi na wananchi wa nchi za Kiislamu kwa mnasaba wa kuwadia mwezi mtukufu wa Ramadhani na kusema kuwa, ni wajibu wa viongozi wa nchi za Kiislamu kuhimiza na kudumisha amani na undugu baina ya Waislamu.

  • Iran: Msaada wa kimaonyesho wa US kwa Gaza ni mchezo mchungu wa kuigiza

    Iran: Msaada wa kimaonyesho wa US kwa Gaza ni mchezo mchungu wa kuigiza

    Mar 11, 2024 08:35

    Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran amelaani kile alichokitaja kuwa onyesho chungu la kipropaganda la Marekani na kueleza kuwa, hatua ya Washington ya kudai kuwapa misaada ya kibinadamu Wapalestina wa Gaza, na wakati huo huo inazuia juhudi za kimataifa za usitishaji vita katika eneo hilo lililozingirwa, ni kichekesho.

  • Syria: Kuunga mkono jinai za Netanyahu kumefichua dhati ya Wamagharibi

    Syria: Kuunga mkono jinai za Netanyahu kumefichua dhati ya Wamagharibi

    Mar 11, 2024 07:53

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Syria amezikosoa vikali nchi za Magharibi kwa kuendelea kuunga mkono jinai za kivita zinazofanywa na utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, uungaji mkono huo umefichua dhati halisi ya Wamagharibi.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS