-
Wake wa wakuu wa nchi watoa wito wa kusitishwa uhalifu wa Israel huko Gaza
Nov 16, 2023 07:49Wake wa wakuu wa nchi na serikali wamelaani mashambulizi ya utawala haramu wa Israel yanayolenga raia, haswa watoto na wanawake, katika vita vya Gaza. Tamko la wake wa maraisi na viongozi wa nchi mbalimbali duniani limetolewa katika mkutano ulioandaliwa na Emine Erdoğan, mke wa Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan, huko Istanbul jana, Jumatano.
-
Belize yasimamisha uhusiano wa kidiplomasia na Israel
Nov 16, 2023 02:59Serikali ya Belize imetangaza kusimamisha uhusiano wake wa kidiplomasia na Israel kutokana na hatua ya utawala huo wa Kizayuni kukataa kusitisha vita; huku idadi ya mashahidi wa mashambulizi ya utawala huo pandikizi huko Gaza tokea Oktoba 7 hadi sasa ikikaribia watu 12,000.
-
Iran: Marekani inaipa Israel silaha zilizopigwa marufuku kimataifa
Nov 16, 2023 00:45Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kuipa Israel silaha zilizoharamishwa kimataifa kama vile mabomu ya fosforasi ili utawala huo wa Kizayuni utumie silaha hizo dhidi ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza.
-
Rais Erdogan wa Uturuki: Israel ni dola la kigaidi
Nov 16, 2023 00:45Rais wa Uturuki, Recep Tayyip Erdogan amesema Israel ni 'dola la kigaidi' ambalo linafanya jinai za kivita na kukanyaga sheria za kimataifa katika Ukanda wa Gaza, huko Palestina inayokaliwa kwa mabavu.
-
Abdollahian: Hakuna uwezekano wa Israel kushinda vita vya Gaza
Nov 15, 2023 10:19Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran ametoa mwito wa kusitishwa mara moja uvamizi na mashambulizi ya kikatili ya Israel dhidi ya Wapalestina wa Ukanda wa Gaza na kusisitiza kuwa, utawala huo wa Kizayuni hauna nafasi na uwezo wa kupata ushindi katika vita hivyo.
-
"Mauaji ya halaiki ya watu wa Gaza yanakanyaga sheria za kimataifa"
Nov 13, 2023 23:34Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran sajari na kulaani mauaji ya halaiki ya wananchi wa Palestina katika Ukanda wa Gaza amesisitiza kuwa, jinai zinazofanywa na Wazayuni katika eneo hilo lililozingira ni ukiukaji wa wazi wa sheria za kimataifa.
-
Amnesty International yalaani kimya cha Wamagharibi kwa jinai za Israel dhidi ya wakazi wa Gaza
Nov 12, 2023 23:23Katibu Mkuu wa Shirika la Msamaha Duniani la Amnesty International amelaani kimya cha nchi za Magharibi kuhusiana na jinai na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni wa Israel dhidi ya Ukanda wa Gaza.
-
Kuadhibiwa waungaji mkono wa Palestina katika vyuo vikuu vya Marekani
Nov 12, 2023 23:17Licha ya madai ya kuheshimiwa uhuru wa kujieleza katika nchi za Magharibi ikiwemo Marekani, lakini ukweli wa mambo ni kwamba kuna mistari miekundu katika uwanja huo, likiwemo suala la kutetea kadhia ya Palestina, ambapo waungaji mkono wa taifa hilo linalodhulumiwa hukabiliwa na vikwazo vya aina mbalimbali vikiwemo vya kuadhibiwa na kufungwa jela.
-
Wananchi wa Kano Nigeria waandamana kulaani jinai za Israel Ukanda wa Gaza
Nov 12, 2023 09:40Maelfu ya Waislamu na waungaji mkono wa Palestina katika mji wa Kano, Nigeria wameandamana na kulaani jinai za utawala haramu wa Israel dhidi ya wananchi madhulumu wa Palestina hasa wa Ukanda wa Gaza.
-
Maafisa zaidi ya 1,000 wa serikali ya Marekani wamwandikia barua Biden kumtaka akomeshe jinai za Wazayuni
Nov 12, 2023 03:24Wafanyakazi zaidi ya elfu moja wa Shirika la Maendeleo la Kimataifa la Marekani wamesaini barua ya wazi na kumpelekea rais wa nchi hiyo Joe Biden kumtaka asimamishe jinai na mashambulizi ya utawala wa Kizayuni katika Ukanda wa Gaza na kusitishwa vita haraka katika Ukanda huo.