Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Putin

  • Putin: Ndege iliyombeba kiongozi wa Wagner iliripuka kwa maguruneti yaliyokuwemo ndani yake

    Putin: Ndege iliyombeba kiongozi wa Wagner iliripuka kwa maguruneti yaliyokuwemo ndani yake

    Oct 06, 2023 10:36

    Rais Vladimir Putin wa Russia amedokeza kuwa ajali ya ndege iliyomuua mkuu wa kikosi cha mamluki cha Wagner, Yevgeny Prigozhin ilisababishwa na mripuko wa maguruneti yaliyokuwemo ndani ya ndege hiyo.

  • Rais Putin: Uhusiano wa Russia na Iran ni 'mzuri mno'

    Rais Putin: Uhusiano wa Russia na Iran ni 'mzuri mno'

    Oct 05, 2023 13:10

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema uhusiano wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mzuri na wa kuridhisha.

  • Putin na Kim watilia mkazo kuwepo uhusiano wa karibu zaidi kati ya Russia na Korea Kaskazini

    Putin na Kim watilia mkazo kuwepo uhusiano wa karibu zaidi kati ya Russia na Korea Kaskazini

    Aug 16, 2023 02:48

    Rais Vladimir Putin wa Russia na Kiongozi wa Korea Kaskazini Kim Jong-un wameahidi kujenga ushirikiano wa karibu zaidi kati ya nchi zao mbili katika mawasiliano waliyofanya kwa barua kwa manasaba wa maadhimisho ya Siku ya Taifa ya Ukombozi wa Korea Kaskazini.

  • Putin: Russia iko tayari kushirikiaina kibiashara na nchi za Kiislamu

    Putin: Russia iko tayari kushirikiaina kibiashara na nchi za Kiislamu

    May 15, 2023 10:48

    Rais wa Russia ametangaza utayarifu wa nchi hiyo wa kuwa na ushirikiano mkubwa wa kibiashara na kiutamaduni na nchi za Kiislamu.

  • Putin asema: Wamagharibi wanataka kuigawa Russia

    Putin asema: Wamagharibi wanataka kuigawa Russia

    May 09, 2023 10:42

    Rais wa Russia ametangaza kwamba ustaarabu wa dunia unakabiliwa na mabadiliko makubwa, na kwamba lengo la Magharibi katika kueneza propaganda chafu dhidi ya Russia ni kuigawa nchi hiyo.

  • Erdogan: Uhusiano wangu na Putin ni wa

    Erdogan: Uhusiano wangu na Putin ni wa "ukweli na kuaminiana"; Macron "si mkweli"

    Jan 31, 2023 11:26

    Rais Recep Tayyip Erdoğan wa Uturuki amesema, uhusiano wake na Rais Vladimir Putin wa Russia na kwa ujumla kati ya nchi hizo mbili ni wa "ukweli na wenye msingi wa kuaminiana" na akamtaja Rais Emmanuel Macron wa Ufaransa kuwa "si mtu mkweli".

  • Moscow yatoa onyo baada ya Washington kutishia kumuua Rais wa Russia

    Moscow yatoa onyo baada ya Washington kutishia kumuua Rais wa Russia

    Dec 27, 2022 07:20

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Russia ametoa indhari baada ya maafisa 'wasiojulikana' wa Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) kutoa vitisho vya kumuua Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo.

  • Putin: Nina uhakika wa asilimia 100 tutayateketeza makombora ya Marekani ya Patriot Ukraine

    Putin: Nina uhakika wa asilimia 100 tutayateketeza makombora ya Marekani ya Patriot Ukraine

    Dec 26, 2022 02:17

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuhusu uamuzi wa Marekani wa kutuma mitambo ya makombora aina ya Patriot nchini Ukraine, kwamba ana uhakika wa asilimia 100 vikosi vya jeshi la nchi yake vitayateketeza makombora hayo ya ulinzi wa anga ya Washington.

  • Rais Putin wa Russia kutohudhuria mkutano ujao wa G20

    Rais Putin wa Russia kutohudhuria mkutano ujao wa G20

    Nov 11, 2022 03:09

    Ikulu ya Rais wa Russia (Kremlin) imesema Rais Vladimir Putin wa nchi hiyo hatoshiriki mkutano wa kundi la G20 unaotazamiwa kufanyika wiki ijayo mjini Bali nchini Indonesia.

  • Rais Putin: Kampuni kubwa 80 za Russia kwenda Iran wiki ijayo

    Rais Putin: Kampuni kubwa 80 za Russia kwenda Iran wiki ijayo

    Sep 16, 2022 04:07

    Rais Vladmir Putin wa Russia amesema Moscow imefanya kila iwezalo kuhakikisha kuwa Iran inakua mwanachama kamili wa Jumuiya ya Ushirikiano ya Shanghai (SCO).

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2025 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS