Pars Today

Kiswahili
  • Nyumbani
  • Radio
  • Albanian shqip
  • Armenian Հայերեն
  • Assyrian ܐܬܘܪ̈ܝܐ
  • Azeri Azəri
  • Bangla বাংলা
  • Chinese 中文
  • Dari دری
  • English English
  • French français
  • German Deutsch
  • Hausa Hausa
  • Hebrew עברית
  • Hindi हिन्दी
  • Indonesian Bahasa Indonesia
  • Italian Italiano
  • Japanese 日本語
  • Kazakh қазақ тілі
  • Kiswahili Kiswahili
  • Pashto پښتو
  • Persian فارسی
  • Russian Русский
  • Spanish Español
  • Tajik Тоҷик
  • Taleshi Tolışə
  • Turkish Türkçe
  • Turkmen Türkmen
  • Uzbek узбек
  • Dunia
  • Asia Magharibi
  • Iran
  • Afrika
  • Dini
  • Parspedia
  • Disinfo

Putin

  • Erdogan: Marekani inayatumia makundi ya kigaidi katika eneo kudhamini usalama wa Israel

    Erdogan: Marekani inayatumia makundi ya kigaidi katika eneo kudhamini usalama wa Israel

    Oct 25, 2024 23:32

    Rais Recep Tayyip Erdogan wa Uturuki amesema, Marekani inayatumia makundi ya kigaidi katika Mashariki ya Kati kwa ajili ya kudhamnini usalama wa utawala wa Kizayuni wa Israel.

  • Putin: Sababu kuu kabisa  ya mvutano Asia Magharibi ni kutokuwepo taifa huru la Palestina

    Putin: Sababu kuu kabisa ya mvutano Asia Magharibi ni kutokuwepo taifa huru la Palestina

    Oct 25, 2024 04:02

    Rais Vladimir Pitin wa Russia ameelezea wasiwasi wake kuhusu kuzorota hali ya mambo katika eneo la Asia Magharibi, na kusema kuwa, sababu kuu ya mgogoro wa eneo hilo ni kutokuwepo taifa huru la Palestina.

  • Putin: Huenda BRICS ikaunda Bunge lake katika siku zijazo

    Putin: Huenda BRICS ikaunda Bunge lake katika siku zijazo

    Jul 11, 2024 23:34

    Rais Vladimir Putin amedokeza kuwa, yumkini kundi la BRICS la mataifa yanayoinukia kiuchumi duniani likaunda Bunge lake katika mustakabali wa karibu.

  • Putin asifu uhusiano unaokua kwa kasi kati ya Russia na Uturuki

    Putin asifu uhusiano unaokua kwa kasi kati ya Russia na Uturuki

    Jul 03, 2024 22:55

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa uhusiano kati ya nchi yake na Uturuki unakuwa kwa kasi licha ya changamoto zilizopo za kimataifa.

  • Putin: Kwa sasa hakuna mpango wa kuuteka mji wa Kharkiv huko Ukraine

    Putin: Kwa sasa hakuna mpango wa kuuteka mji wa Kharkiv huko Ukraine

    May 18, 2024 00:28

    Rais wa Vladimir Putin wa Russia amesema kuwa operesheni za mapigano katika eneo la Kharkiv nchini Ukraine zinalenga kuanzisha "ukanda salama" utakaozuia mashambulizi Ukraine kufika katika ardhi ya Russia.

  • Putin: 'Ni upuuzi tu' kudai kwamba Russia inapanga kuishambulia kijeshi NATO

    Putin: 'Ni upuuzi tu' kudai kwamba Russia inapanga kuishambulia kijeshi NATO

    Mar 28, 2024 06:38

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema, nchi yake haina nia ya kuingia kwenye makabiliano ya kijeshi na vibaraka wa Marekani wa Ulaya Mashariki.

  • Putin: Mgogoro wa Palestina umefikia kiwango cha maafa ya binadamu

    Putin: Mgogoro wa Palestina umefikia kiwango cha maafa ya binadamu

    Dec 05, 2023 05:58

    Rais wa Russia amesema, mzozo wa muda mrefu katika Palestina inayokaliwa kwa mabavu umefikia hali ya maafa halisi ya binadamu.

  • Radiamali ya Rais Putin kuhusu matamshi ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani

    Radiamali ya Rais Putin kuhusu matamshi ya hivi karibuni ya Rais wa Marekani

    Oct 18, 2023 03:03

    Rais wa Russia amesema katika radiamali yake kuhusiana na matamshi ya hivi karibuni ya Rais Joe Biden wa Marekani kwamba Marekani lazima ijifunze jinsi ya kuheshimu wenzake.

  • Putin: Ndege iliyombeba kiongozi wa Wagner iliripuka kwa maguruneti yaliyokuwemo ndani yake

    Putin: Ndege iliyombeba kiongozi wa Wagner iliripuka kwa maguruneti yaliyokuwemo ndani yake

    Oct 06, 2023 07:06

    Rais Vladimir Putin wa Russia amedokeza kuwa ajali ya ndege iliyomuua mkuu wa kikosi cha mamluki cha Wagner, Yevgeny Prigozhin ilisababishwa na mripuko wa maguruneti yaliyokuwemo ndani ya ndege hiyo.

  • Rais Putin: Uhusiano wa Russia na Iran ni 'mzuri mno'

    Rais Putin: Uhusiano wa Russia na Iran ni 'mzuri mno'

    Oct 05, 2023 09:40

    Rais Vladimir Putin wa Russia amesema uhusiano wa nchi hiyo na Jamhuri ya Kiislamu ya Iran ni mzuri na wa kuridhisha.

Onesha Zaidi
Pars Today

© 2026 PARS TODAY. All Rights Reserved.

Habari
    Dunia
    Asia Magharibi
    Iran
    Afrika
    Dini
    Parspedia
    Disinfo
Pars Today
    SISI NI
    Wasiliana Nasi
    RSS